uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Misoprostol tablets!!
Usitusumbue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misoprostol tablets!!
Msipende kutuchokonolea mikoba yetu. Mtakuta makubwa mshindwe kuyahimili!!
Mbona hujanitakia heri ya mwaka mpya? Vibaya hivyo...Msipende kutuchokonolea mikoba yetu. Mtakuta makubwa mshindwe kuyahimili!!
Mnh...,.hayo tena ya dildo??!!Mbona hujanitakia heri ya mwaka mpya? Vibaya hivyo...
Jamaa yangu alikuwa na tabia hiyo ya kijinga mpaka siku alipokutana na bonge la dildo kwenye pochi. Ndo akajua kumbe ana kibamia na gemu haliwezi.
Sasa waache waendelee kupekua maana nasikia siku hizi dildo zimekuwa cha mtoto mbele ya chupa ya mirinda
Ndio dawa ya kuzuia kupekuana. Kuna jamaa wife alikuwa anamsachi sana kwenye wallet yake. Kila akamuuliza anabisha. Mabaharia tukampa maujanja akaweka condom moja... ndani ya kasha, akaisokomeza kwemye wallet.... Kwamba mbili zimeshatumika....Mnh...,.hayo tena ya dildo??!!
Heri ya mwaka mpya mwaya....
Vya kutoa mimbaMisoprostol tablets!!
kunakitu inaitwa free basics mkuu, pengine kutumia hiyo.Na kuanzisha thread hajatumia data?
Uchochezi....Ndio dawa ya kuzuia kupekuana. Kuna jamaa wife alikuwa anamsachi sana kwenye wallet yake. Kila akamuuliza anabisha. Mabaharia tukampa maujanja akaweka condom moja... ndani ya kasha, akaisokomeza kwemye wallet.... Kwamba mbili zimeshatumika....
Kilichotokea baraza la usuluhishi na madaktari wabobezi ndio tulisaidia kuweka mambo ya kijamii na kitabibu yarudie katika hali ya kawaida
Za kutoa mimba. Usiogope.Misoprostol tablets!!
Shika hiki mleta madaThis medication is used to prevent stomach ulcers while you take NSAIDs (e.g., aspirin, ibuprofen, naproxen), especially if you are at risk for developing ulcers or have a history of ulcers. Misoprostol helps to decrease your risk of serious ulcer complications such as bleeding. This medication protects your stomach lining by lowering the amount of acid that comes in contact with it.This medication is also used in combination with another drug (mifepristone) to end a pregnancy
Vya kutoa mimba
Shika hiki mleta mada
Usitusumbue
Haikua upekenyuaji ilikua kuna kitu alinambia nichukue nimpelekeeVya kutolea mimba hivyo.
Halafu na ww kwenye mkoba wa mwanamke unafata nini?? Umbea wa namna hiyo wanaume hatuufanyi sawa.
Usirudie tena.
Dogo hata ku-google tu alishindwa... Taifa la kesho lina kazi kubwa sana
SawaMkuu
Haikua upekenyuaji ilikua kuna kitu alinambia nichukue nimpelekee