Msaada tutani: Nimekuta hivi vidonge kwenye mkoba wa dem wangu. Je, vina kazi gan?

Msaada tutani: Nimekuta hivi vidonge kwenye mkoba wa dem wangu. Je, vina kazi gan?

Halafu unasikia tupo Uchumi wa kati na Raia kama hawa.

Hii nchi ndio maana hatuendelei sasa mtu unakutana na kitu hata kujiongeza kwenye google huko hajui

Simlaumu huyu jamaa. Tatizo ni mtaala wetu hautufundishi namna ya kutafuta taarifa au maarifa fulani

Sisi kila kitu ni kuuliza hata kama gadgets za kupata taarifa mtu anazo
Cc Profesa Ndalichako kama kwake kiingilishi shida itakuwaje sasa.
 
Back
Top Bottom