Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vyakutoa Mimba ,pia Wanatumia Watu wenye vidonda Vya TumboMisoprostol tablets!!
Labda alitaka kuujigijigi na mkoba wenyewe.Vya kutolea mimba hivyo.
Halafu na ww kwenye mkoba wa mwanamke unafata nini?? Umbea wa namna hiyo wanaume hatuufanyi sawa.
Usirudie tena.
Cc Profesa Ndalichako kama kwake kiingilishi shida itakuwaje sasa.Halafu unasikia tupo Uchumi wa kati na Raia kama hawa.
Hii nchi ndio maana hatuendelei sasa mtu unakutana na kitu hata kujiongeza kwenye google huko hajui
Simlaumu huyu jamaa. Tatizo ni mtaala wetu hautufundishi namna ya kutafuta taarifa au maarifa fulani
Sisi kila kitu ni kuuliza hata kama gadgets za kupata taarifa mtu anazo