Yan wanaume ni mtihani kwa kwelkabisa hasa hapa anamsifu zaidi kwa upande wa ngono pengine angemuoa angekinai na kutafuta kamchepuko kengine
Wanashangaza sana kufananisha maisha ya mke na mchepukokabisa hasa hapa anamsifu zaidi kwa upande wa ngono pengine angemuoa angekinai na kutafuta kamchepuko kengine
Wakati calculation za ndani zikianza za kodi, kujenga, ada, maradhi na mambo mengine mengi hata hizo raha anazozipata hazitakuepo sema mnaamua kukubali maisha na mwenzao na siku zinaenda huku mkikabli majukumu hayoWanashangaza sana kufananisha maisha ya mke na mchepuko
Wakati calculation za ndani zikianza za kodi, kujenga, ada, maradhi na mambo mengine mengi hata hizo raha anazozipata hazitakuepo sema mnaamua kukubali maisha na mwenzao na siku zinaenda huku mkikabli majukumu hayo
sidhani kama ni upendo bali ni
Inawezekana pia. Lakini naona wana strong bond aisee. Maana kuna wengi wako kwenye ndoa na hawana mapenzi. Ndoa zina mengi. Siamini lust itadumu kwa kiasi Chote hicho.sidhani kama ni upendo bali ni lust
Lust can last forever kikubwa msioane tuInawezekana pia. Lakini naona wana strong bond aisee. Maana kuna wengi wako kwenye ndoa na hawana mapenzi. Ndoa zina mengi. Siamini lust itadumu kwa kiasi Chote hicho.
Mkuu ujue nashangaa na nashindwa hata nianzie wapi kukushauri...hako katoto kalikuloga nini?
A scab never heal if you keep picking at it. Acha kuwasiliana nae na pia kwepa kukutana nae.
Kuna ugumu sana katika kufanya hivyo na utamkumbuka sana, na utahuzunika sana, ila ukiwa unajikumbusha ni kwanini hauwezi kuwa nae itakuwa ni rahisi.
Pole sana OP.
Hapo kwenye God fearing sasa na huku mlikuwa mnazini hiyo God fearing inatoka wapi
Punguza mawasiliano na mwisho wake yakate kabisa. Jaribu kuangalia ndoa yako nini kimekuweka na mke wako mpaka leo, wapi unaweza kuboresha..mke ana nafasi kubwa katika maisha yako, kama haziivi kabisa mchepuko ni a temporary solution to a long term problem
Ninadhani God Fearing ina maana pana sana. Ninapendekeza twende na mtazamo wake wa God Fearing.
Wako wengi kwenye ndoa na hawapendani. What I see is really mlipendana ndio maana iko hivyo. Ukishampenda mtu kumuondoa moyoni sio kazi rahisi. Endelea kumpenda na kumheshimu. Usi-deny kumpenda. Endelea kujifunza dhana ya love may sometime entail letting go. Cherish good memories mlikuwa nazo pamoja. Mengine yaache yatafanywa na muda.
Tatizo unadhania kuwa God fearing ndo hutendi dhambi. Acheni bhana jamaa alipata mchepuko sahihi
Si ndio hapo mkuu. Mfalme Selemani pamoja na mahekima na mabusara alivyokuwa nayo alikuwa na michepuko kadhaa. Mfalme daudi hali kadhalika.
Tatizo linakuja pale kila mtu anataka kuwa mkamilifu. Mungu ni mwema na amekaa Neema tele. Tusiache kumtegemea kwasababu sisi ni wadhambi.
Six years? Hujatueleza kama baadae ndomu mliweka pembeni.
Vitu vitamu huwa haviachwi.
Kalikuwa God fearing! Aiseee.Mbingu kweli ngumu
Mimi sina tatizo na wewe chief.
You are doing fine.