Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Msaada: Uliwezaje kumuacha mchepuko ilhali bado unampenda?

Juhudi za makusudi zifanyike kuusambaza huu uzi kwa michepuko yote. Mchepuko wa RomboMoshi umweka standards za hali ya juu ambazo zinapaswa kuigwa na michepuko mingine. Kwangu mimi huo ni zaidi ya mchepuko ni MCHATUKO
 
Fainali uzeeni
Sasa kwann ulimuoa kwan hizo piss Kali hukuziona wakati unaoa huyu ambae hana maajabu!!! Achen dharau jmn ndo nyie mnawatenda vibaya wake zenu ikifika utu uzima hakujal wala hakuthamin bize na watt wake kaz kwenda kuwatenbelea watt na watt wanamgombania unabak kusema watt na mke lao moja wamekutelekeza kumbe unalipa coz wakat unamfanyia mama yao vibweka na dhihaka kwamba hana mvuto, maajabu mjinga nk watt walikua wanaona!!!
 
Maandiko matakatifu yananambia ... ndoa naiheshimiwe na watu wote... Hio God fearing sijajua ikoje sijasoma comments zote, anyway.

Naunga mkono mwanamke akiwa mpole msikivu mnyenyekevu hana kelele nyumbani kuna noga sana.
 
Na si ajabu mkeo alikshakustukia mda tuu unajifarji kwamba hajui na hakuwah wakamata na ndo maana hata Pesa yk ulikua huiyon ht kwenye shda coz alijua yupo anaekupiga taff na kuchukua nafac yke ss ya nn upate huku na huku!!!alikua anawaangalia mwendo wenu tuu na mpk ss anakuangalia tuuu usifikie ni mjinga na punguan kiasi hiko!!! Believe me o nat mkuu mwanamke si wa kumchulia poa hata siku moja
Alinizuia yeye! Alisema haitaleta picha nzuri.
Basi ndiyo maana, kama hukuwa unamhitaji wewe ungemwacha kimya kimya bila kumshirikisha ili ionekane yeye sio sababu, hapo alijiuliza na kujipa jawabu, siku akimpata mwingine ampendaye zaidi yangu nami nitaachwa vile vile, bora kumwaga mboga haa haa haa, ila pole sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kwann ulimuoa kwan hizo piss Kali hukuziona wakati unaoa huyu ambae hana maajabu!!! Achen dharau jmn ndo nyie mnawatenda vibaya wake zenu ikifika utu uzima hakujal wala hakuthamin bize na watt wake kaz kwenda kuwatenbelea watt na watt wanamgombania unabak kusema watt na mke lao moja wamekutelekeza kumbe unalipa coz wakat unamfanyia mama yao vibweka na dhihaka kwamba hana mvuto, maajabu mjinga nk watt walikua wanaona!!!
Hilo huwa wanajifanya wamelisahau na kukumbuka walipo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Na si ajabu mkeo alikshakustukia mda tuu unajifarji kwamba hajui na hakuwah wakamata na ndo maana hata Pesa yk ulikua huiyon ht kwenye shda coz alijua yupo anaekupiga taff na kuchukua nafac yke ss ya nn upate huku na huku!!!alikua anawaangalia mwendo wenu tuu na mpk ss anakuangalia tuuu usifikie ni mjinga na punguan kiasi hiko!!! Believe me o nat mkuu mwanamke si wa kumchulia poa hata siku moja
Hajui mwanamke akiamua hua anapiga tukio moja utasikia tu matangazo, tayari kumepambazuka

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Chief ni hizi dini zetu acha tu.
Hivi bado uko na wasiwasi na hii issue?

We naeeee!
Si nimekwambia muache muache kidogo mambo yatakuwa tu sawa after sometime.

Concentrate na vitu vingine sa hiz.
Niamini mimi, the girl hamjaachana.
Anataka tu kutumika kitubio alichofanya kabla ya ndoa.
Ni swala la muda tu.
You just keep the good work, kimbiza fedha, relax, have your own time , take a good shower, nukia kiume, smart looking kila siku.

Imeisha hiyo.
 
Hivi bado uko na wasiwasi na hii issue?

We naeeee!
Si nimekwambia muache muache kidogo mambo yatakuwa tu sawa after sometime.

Concentrate na vitu vingine sa hiz.
Niamini mimi, the girl hamjaachana.
Anataka tu kutumika kitubio alichofanya kabla ya ndoa.
Ni swala la muda tu.
You just keep the good work, kimbiza fedha, relax, have your own time , take a good shower, nukia kiume, smart looking kila siku.

Imeisha hiyo.

For real even my self sijaagree kuachana nae!
 
Kuna michepuko mingine vichomi tuu,,,yaani mchepuko unapima hadi kiasi cha sperm na kutoa shutuma kuwa umeuza gemu kwingine.Ana sahau kuwa yeye ni side chick,halafu hapo hapo unakuta yeye ni mke na mama wa watoto kadhaa.Kwenye kuomba hela sasa ndiyo shida ilipoanzia (yaani mchepuko huo haukutaka kusikia habari ya kuwa kuna mchongo nausikilizia).Nilianza kujinasua taratiiibu akiomba laki natoa 25k, nasema mchongo ukitiki napunguza,,,mwishowe akala vitasa rasmi.Mpaka sasa ni mwaka sijawasiliana naye block imetembea kwenye platform zote.
 
Kuna michepuko mingine vichomi tuu,,,yaani mchepuko unapima hadi kiasi cha sperm na kutoa shutuma kuwa umeuza gemu kwingine.Ana sahau kuwa yeye ni side chick,halafu hapo hapo unakuta yeye ni mke na mama wa watoto kadhaa.Kwenye kuomba hela sasa ndiyo shida ilipoanzia (yaani mchepuko huo haukutaka kusikia habari ya kuwa kuna mchongo nausikilizia).Nilianza kujinasua taratiiibu akiomba laki natoa 25k, nasema mchongo ukitiki napunguza,,,mwishowe akala vitasa rasmi.Mpaka sasa ni mwaka sijawasiliana naye block imetembea kwenye platform zote.

Pole chief! Ila ulitumia mechanism nzuri kumpiga chini tena hilo lilikua ni linyonyaji halina wema na ww ht kdg.
 
Yaan hata hapa naandika neno mchepuko ili niweze kueleweka na kutofautisha ila jina la mchepuko sio jina lake kabisaa...she is a my other woman who helped and loved me a lot.
Somebody else's wife! You're defeated now, you need to surrender and forget!
 
Kuachana na mtu au mchepuko tu uliouzoea kuna tabu kidogo japo kuna time inafika inabd uchukue maamuzi magumu hasa kama yana faida upande wako mfano mm nlikuwa na kimchepuko kitaa hapa ambacho kilikuwa kinasoma chuo but kimepanga hapa kitaa sasa nkawa nanipooza na ofcoz nilikipenda sanaa nacho naamin linanipenda sasa kilipomaliza chuo kikapata kazi flani mkoa jirani japo sio mbali. Hapa ndo nkaanza kuwaza huyu sio mke wangu na huko anaishi mwenyewe bora hapa kitaa namuona muda mwingi huko aliko kuonana mpaka mwez labda upite ndo tupange appointment nkaona hapana maana hata wilaya anayoishi ni hatarishi so sababu kumcontrol na kummonitor ishakuwa ngumu njia pekee yamm na familia yangu kubaki safe ni kumpiga chini so nkamtafutia sababu tu basi japo alinisihi sanaaa tuendelee ila moyo wangu tayari ulikuwa hautaki maana nilishanusa hatari mbeleni so saiv tunawasiliana tu mara mojamoja kwa salam ila mapenz ndo basi niliyasitisha kwa usalama wangu
 
Back
Top Bottom