Senseless!Ili ufike mapema zaidi, epuka kupanda magari yanayopitia mwanza, yanachelewa zaidi.
In this case, magari ya Kampuni ya Kapricon ndo yanapita route hii na yanafika mapema zaidi kule. So wewe utakubali kulala Musoma ili kukicha ndo uende huko butiama kwa kutokea musoma, maana usiku huo ukiteremkia njiani, hutapata usafiri wa kwenda butiama.
Uliyeanzisha thread, jibu la swali lako liko hapa.Yes, panda gari ya Moro ... Musoma, zinafika usiku sana na hali ya ugeni itakuwia ugumu kufika chuoni.
Ushauri
Nenda hadi Musoma mjini, pakikucha ulizia magari yanayoenda Buhemba(haya yanapita kwenye geti kabisa la Mwl Nyerere Un), au panda magari yanayoenda Butiama then shukia Butuguri then daka boda anakupeleka chuoni chap
Hide your senselessness!Senseless!
Atafute magari yanayofika haraka halafu atatakiwa kulala stendi mpaka asubuhi yake, sasa maharaka ya njiani ya nini? Jifunze logic!
Asante sana mkuu, shukrani sanaYes, panda gari ya Moro ... Musoma, zinafika usiku sana na hali ya ugeni itakuwia ugumu kufika chuoni.
Ushauri
Nenda hadi Musoma mjini, pakikucha ulizia magari yanayoenda Buhemba(haya yanapita kwenye geti kabisa la Mwl Nyerere Un), au panda magari yanayoenda Butiama then shukia Butuguri then daka boda anakupeleka chuoni chap
Siku hizi kuna magari yanatokea Mwanza kwenda Buhemba kupitia Butiama.Unakwenda kijiji cha Butiama kwa Nyerere yalipo makao makuu ya wilaya?
Kama ndio, uliza basi zuri linalokwenda Tarime utashuka Kyabakari, pale kuna tax na Bodaboda uamuzi ni wako utapelekwa Butiama.
Unapotokea Mwanza mabasi hayapiti Butiama hivyo ni lazima ushuke hapo Kyabakari ndio upande Bodaboda au tax nauli ya kawaida tu watakupeleka hapo Butiama.
Route ni Morogoro, Dodoma, Singida, Igunga, Nzega, Shinyanga, Mwanza to Musoma.
Yeah nimeona boss ameelezea short and clear pia anaonekana anayefahamu vizuri hayo maeneo nimeelewa fresh nowUliyeanzisha thread, jibu la swali lako liko hapa.
Thread closed.
Jibu ni hilo usihangaike tena, sanasana ulizia lodge ya bei nafuu Musoma mjini kama bajeti yako iko vizuri ukifika ukapumzike kwanza.Asante sana mkuu, shukrani sana
Kwahiyo sisi wa Busegwe Sasa hivi unashuka barazani tu?Siku hizi kuna magari yanatokea Mwanza kwenda Buhemba kupitia Butiama.
Hazipiti Buswege. Zinakatiza bypass ya Kiabakari Butiama center kwenda Buhemba.Kwahiyo sisi wa Busegwe Sasa hivi unashuka barazani tu?
Huyo tayari ameshapata option hapa Sasa nijibu Mimi, kama unapitia Butiama utafikaje Buhemba bila kupitia Busegwe?Hazipiti Buswege. Zinakatiza bypass ya Kiabakari Butiama center kwenda Buhemba.
Kama huyo anaenda Chuoni maana yake ni Buswege, aidha ashuke Butiama center au Makutano apande gari ndogo.
Na wewe ni product ya Mara landKipo Butiama kama alivyoeleza.Anaweza kufika hapo Makutano na kupata usafiri unaopita katikati kuiacha njia ya Mwanza na kuelekea Butiama moja kwa moja.Au akaendelea kutoka Makutano na kuelekea hadi Nyamisisye.Halafu atafute usafiri kwenda moja kwa moja Butiama kupitia Nyankanga.Hapo vipi?
Msome Synod ameeleza njia nyepesi.Asante.Unaweza kunielekeza straight natokea MOROGORO napanda bus la kwenda wapi nashukia wapi na naelekea wapi Ili kufika hapo butiama, just short and clear boss wangu fanya hivyo asee.
Nilieleza kwamba zote ni njia za kufika.Tofauti ufupi au urefu wa safari.Hii shida yote ya nini wakati akipanda basi la Tarime na kushuka Kyabakari anapanda Bodaboda tu kwenda Butiama, ni kwa nini ajisumbuwe na mzunguko usiokuwa na tija yoyote?
Ukiwa unatokea wapi?Huyo tayari ameshapata option hapa Sasa nijibu Mimi, kama unapitia Butiama utafikaje Buhemba bila kupitia Busegwe?
Yani dalada litoke Buguruni kwenda kariakoo si lazima lipite Ilala?
Inawezekana, zungumza na wenye mabus.Hivi wadau kwani inawezekana, ukakata ticket gari ya kutoka DAR kwenda MUSOMA, halafu ukaisubiria itoke Dar Ili uje kuipanda ikifika Morogoro ?
Maana wengine kusafiri comfortably inabidi upate seat namba mbili, tukipanda za mbali bhas ni full kizungu zungu na kutapika njiani. So hiyo huduma inasaidia kusecure seat unayoitaka. Vipi hiyo inawezekana wadau ?
Sawa boss, ShukraniInawezekana, zungumza na wenye mabus.
Hide your senselessness!
Umejuaje hana watu wa kumpokea? Na ningekuwa nakurupuka kama wewe unadhani ningemwambia hizo options za kufika mapema na kuchelewa?