Msaada usafiri kutoka Morogoro kwenda Butiama

Senseless!

Atafute magari yanayofika haraka halafu unamwambia atatakiwa kulala stendi mpaka asubuhi yake, sasa maharaka ya njiani ya nini? Jifunze logic!
 


Falcon , Happy Nation,Kapricon

Hizo Zinatoka Dar Es Salaam ~Musoma Moja Kwa Moja


Ukiwa Morogoro Zipo Abood, Nyahunge, Ally's Lakini Mwisho Mwanza
 
Uliyeanzisha thread, jibu la swali lako liko hapa.

Thread closed.
 
Hide your senselessness!

Umejuaje hana watu wa kumpokea? Na ningekuwa nakurupuka kama wewe unadhani ningemwambia hizo options za kufika mapema na kuchelewa?
 
Asante sana mkuu, shukrani sana
 
Siku hizi kuna magari yanatokea Mwanza kwenda Buhemba kupitia Butiama.
 
Kwahiyo sisi wa Busegwe Sasa hivi unashuka barazani tu?
Hazipiti Buswege. Zinakatiza bypass ya Kiabakari Butiama center kwenda Buhemba.

Kama huyo anaenda Chuoni maana yake ni Buswege, aidha ashuke Butiama center au Makutano apande gari ndogo.
 
WADAU NINGEPENDA NITOE SHUKRANI KWA WOTE MLIOJITOKEZA KUNIELEKEZA MAWAZO YENU WOTE YAKO HELPFUL KWANGU.

NASHUKURU SANA🙏
 
Hazipiti Buswege. Zinakatiza bypass ya Kiabakari Butiama center kwenda Buhemba.

Kama huyo anaenda Chuoni maana yake ni Buswege, aidha ashuke Butiama center au Makutano apande gari ndogo.
Huyo tayari ameshapata option hapa Sasa nijibu Mimi, kama unapitia Butiama utafikaje Buhemba bila kupitia Busegwe?

Yani dalada litoke Buguruni kwenda kariakoo si lazima lipite Ilala?
 
Na wewe ni product ya Mara land
 
Unaweza kunielekeza straight natokea MOROGORO napanda bus la kwenda wapi nashukia wapi na naelekea wapi Ili kufika hapo butiama, just short and clear boss wangu fanya hivyo asee.
Msome Synod ameeleza njia nyepesi.Asante.
 
Huyo tayari ameshapata option hapa Sasa nijibu Mimi, kama unapitia Butiama utafikaje Buhemba bila kupitia Busegwe?

Yani dalada litoke Buguruni kwenda kariakoo si lazima lipite Ilala?
Ukiwa unatokea wapi?

Kama unatokea Musoma Mjini unaweza kupita Busegwe pia.
 
Hivi wadau kwani inawezekana, ukakata ticket gari ya kutoka DAR kwenda MUSOMA, halafu ukaisubiria itoke Dar Ili uje kuipanda ikifika Morogoro ?



Maana wengine kusafiri comfortably inabidi upate seat namba mbili, tukipanda za mbali bhas ni full kizungu zungu na kutapika njiani. So hiyo huduma inasaidia kusecure seat unayoitaka. Vipi hiyo inawezekana wadau ?
 
Inawezekana, zungumza na wenye mabus.
 
Hide your senselessness!

Umejuaje hana watu wa kumpokea? Na ningekuwa nakurupuka kama wewe unadhani ningemwambia hizo options za kufika mapema na kuchelewa?

angekuwa na watu wa kumpokea wangeshamweleza wapi pa kumpokea na anafikaje hapo pa kumpokelea kutoka Morogoro. Use your noodles.

Eti atafute magari yanayokwenda fasta ili awahi kulala stendi! You need a frontal lobe transplant.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…