Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
- #21
NyakatoMwanza maeneo gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NyakatoMwanza maeneo gani mkuu
Hawaelewi, maana ni tatizo jipya kwenye ukoo.Wazazi na babu/bibi wanasemaje kuhusu hilo tatizo
Dah sa itakuaje?Dogo kaonja nyama ya binadam tyari
Mpeleke kwenye maombi/ dua/ au tiba yoyote ya asili; mkichelewa hapo mambo yatakuwa mengineHawaelewi, maana ni tatizo jipya kwenye ukoo.
Jadilianeni hilo suala kwa upana zaidi mkiona itafaa kwenda kwa watalaam bas tutapeana connection nzuri.Nyakato
Ila chonde chonde msije changanya madawa, huyu akaenda Kwenye maombi na huyu akaenda Kwa mganga wote Kwa tatizo la Mtu mmoja Mungu hachanganywiSawa mkuu tutalifanyia kazi
Hata kula ashindwe kula, hiyo pressure ikishuka unajikuta uko makaburini mnafanya Ibada ya mazishiHii hutokea kwa watu wengi tu na Jibu ni rahisi sana
Ukiamka ghafla kutoka usingizini mara nyingi pressure hushuka ghafla kwa sababu ya change in position kitaalam tunaina postrual hypotension….
Ushauri ukiamka kaa kidogo kitandani kabla ya kusimama!
Tutalizingatia hilo mkuuIla chonde chonde msije changanya madawa, huyu akaenda Kwenye maombi na huyu akaenda Kwa mganga wote Kwa tatizo la Mtu mmoja Mungu hachanganywi
Achana na science uchwara.Hata kula ashindwe kula, hiyo pressure ikishuka unajikuta uko makaburini mnafanya Ibada ya mazishi
hapana unachangia pesa ya dawa tu wwVisomo ni bure au
Mgonjwa yupo Mwanza
Mkuu piga 0764663662 NI maombi Tu Kwa JINA la Yesu atasema kila KITU hata Huko kwenye mazishi atafunguka yote mpigie huyo utakuja kunishukuru HAKUNA malipo NI maombi Tu.Mgonjwa yupo Mwanza
17yrsHuyo dogo ana umri gani?