Msaada wa haraka kwenye tatizo hili la kiafya/ Ulozi

Msaada wa haraka kwenye tatizo hili la kiafya/ Ulozi

Nilisikia kitu kama hiki kwa mama mmoja ambaye kijana wake alikuwa fom six huko iliboru.

Almost the same na hii yako.

If you don't care nifuate nikuunge na huyo madame
 
Chunguza kwa makini mwenendo wa dogo, marafiki zake wa karibu, chunguza kwa makini begi lake na madaftari yake, angalia aliandika nini miezi sita ya nyuma hadi alipobadilika. Pata taarifa na mwenendo wake shuleni katika kipindi hicho utagundua kitu. Mshirikishe mwalimu wake wa darasa.
Siku hizi vijana wa umri huo wanaharibika kwa kufuata mkumbo, kuvuta bangi,mihadharati,madawa ya kulevya,pombe, dawa za kuongeza nguvu,zikiwemo zile za kuongeza nguvu za kiume.
Fanya mawasiliano na watalaamu wa saikologia ukiwakosa mtafute Daktari au hata nesi aliyesomea magonjwa ya akili....atakuwa msaada kwako. Kila la kheri!.
 
Chunguza kwa makini mwenendo wa dogo, marafiki zake wa karibu, chunguza kwa makini begi lake na madaftari yake, angalia aliandika nini miezi sita ya nyuma hadi alipobadilika. Pata taarifa na mwenendo wake shuleni katika kipindi hicho utagundua kitu. Mshirikishe mwalimu wake wa darasa.
Siku hizi vijana wa umri huo wanaharibika kwa kufuata mkumbo, kuvuta bangi,mihadharati,madawa ya kulevya,pombe, dawa za kuongeza nguvu,zikiwemo zile za kuongeza nguvu za kiume.
Fanya mawasiliano na watalaamu wa saikologia ukiwakosa mtafute Daktari au hata nesi aliyesomea magonjwa ya akili....atakuwa msaada kwako. Kila la kheri!.
asante mkuu tutalifanyia kazi.
 
Mbona umetutisha mkuu? Japo yana ukweli ndani yake ... ngoja nitoe ushuhuda kidogo

Mimi naishi hapa dar ila kuna siku usiku niliamka kwwda haja ndogo nlipo fika toilet baada ya kumaliza haja nlipata kizungu zungu cha gafla
Mwili wote uka toka jasho

Nlijitahidi kutoka nje japo kwa tabu sana nikajikongoja hadi mlangoni nlipo pigwa na upepo kidogo nikajiskia afadhali ikanibidi nikae chini kwanza notafakari hali iliyo nipata ilinichukua kama dk 10 ivi ndo nkawa sawa ndipo nikaingia ndani

Mpaka Leo cjajua ile hali ilisababishwa na nini
Na kwenda toilet usiku ilikoma
Aisee na mim ninakama cku tatu hii hali imenikuta
 
Mbona umetutisha mkuu? Japo yana ukweli ndani yake ... ngoja nitoe ushuhuda kidogo

Mimi naishi hapa dar ila kuna siku usiku niliamka kwwda haja ndogo nlipo fika toilet baada ya kumaliza haja nlipata kizungu zungu cha gafla
Mwili wote uka toka jasho

Nlijitahidi kutoka nje japo kwa tabu sana nikajikongoja hadi mlangoni nlipo pigwa na upepo kidogo nikajiskia afadhali ikanibidi nikae chini kwanza notafakari hali iliyo nipata ilinichukua kama dk 10 ivi ndo nkawa sawa ndipo nikaingia ndani

Mpaka Leo cjajua ile hali ilisababishwa na nini
Na kwenda toilet usiku ilikoma
Unapotoka usingizi mwili unakua haujakaa sawa yani nguvu za mwili hazijabalance vilivyo.

Unapoingia chooni mule kuna mikojo ambayo ina chloride.... Ukivuta chloride lazima upate kizunguzungu so unapoingia chooni ghafla kabla mwili hauja stabilize lazima uishiwe nguvu...

So unashauriwa unapoamka usikimbilie chooni wacha upumzike kwanza.

Pia usafi wa vyoo ni muhimu.

Pia kwa kuongezea unapoamka usijimwagie maji kichwani ghafla ndio maana wengi huanguka bafuni kwa presha..
 
Mim hii hali ilinikuta sikuwa nimetoka kulala ila nlikuwa nachek movie mkojo ukanibana so nkaenda kukojoa
Yaan nlihis kama nataka kufa vle kizunguzungu cha ajab na kichwa kuuma sana..
 
asante mkuu tutalifanyia kazi.
Nakushauri kwanza utafute mtaalamu ambaye ataweza kukwambia kama hilo tatizo ni la kiafya au ulozi, kwa sababu hapo hujui uende hospitali au kwa mganga au kwenye visomo/maombi. Unaweza mkajikuta mnaenda kupoteza muda sehemu ambayo si sahihi na kuzidi kuhatarisha hali ya mgonjwa.

Naweza kukusaidia kumpata mtu ambaye ataweza kukusaidia kwenye hilo.
 
Nilisikia kitu kama hiki kwa mama mmoja ambaye kijana wake alikuwa fom six huko iliboru.

Almost the same na hii yako.

If you don't care nifuate nikuunge na huyo madame
asante sana madam. Sasa tumempa muda wa kumtizama hali yake. Leo ni siku ya kwanza, kapita bila kuonesha iyo hali. So ikijurudia tena nitakutafuta. Nitaomba unipokee.
 
Nakushauri kwanza utafute mtaalamu ambaye ataweza kukwambia kama hilo tatizo ni la kiafya au ulozi, kwa sababu hapo hujui uende hospitali au kwa mganga au kwenye visomo/maombi. Unaweza mkajikuta mnaenda kupoteza muda sehemu ambayo si sahihi na kuzidi kuhatarisha hali ya mgonjwa.

Naweza kukusaidia kumpata mtu ambaye ataweza kukusaidia kwenye hilo.
asante sana mkuu. Sasa tumempa muda wa kumtizama hali yake. Leo ni siku ya kwanza, kapita bila kuonesha iyo hali. So ikijurudia tena nitakutafuta. Nitaomba unipokee.
 
Let me cut the bullshit and hit the point.

Leo nimepokea simu kutoka nyumbani, Napewa taarifa kuwa mdogo wangu wakiume amepata matatizo anapoteza fahamu.
Tatizo limeanza siku chache zilizopita( yani ijumaa ya tarehe 04.02.2022). Kijana aliondoka asubuhi sana kwenda shule, mashuhuda wanasema aliwahi sana siku hiyo isivyokawaida yake maana Kijana aliondoka sa kumi na Moja (11) alfajiri.
Mdogo wangu njiani alikutana na wenzie wawili na kufanya msafara uwe wa wanafunzi wa tatu.

Watatu hao walijongea mpaka shuleni. Baada ya kukaa kwa muda kidogo, dogo aliwaacha wenzie kuelekea chooni. Ila uko chooni dogo alikaa sana mpaka wenzie wakashuku kuwa kunakitu hakipo sawa, ikabidi waenda kumuangalia. Kufika uko dogo wakamkuta amedondoka chini hajitambui na ni kama amenyooka hivi.
Hivyo wakafanya utaratibu wa kumpeleka hospitali ila huko hakubahatika kupata nafuu wala kugundulika anatatizo lolote la kiafya ilihali dogo alikua bado hajitambui na amegangamara.

Siku hiyo hiyo ya Ijumaa ikabidi dogo apelekwe kwenye maombi kanisani.
Maombi yalifanya kuanza sa tatu asubuhi mpaka sa kumi na mbili jioni dogo akazinduka.

Jumamosi ya jana dogo siku nzima aliitumia kanisani (sabato). Ila kimbembe leo tena Jumapili, naambiwa dogo ameamka sa 11 alfajiri anajiandaa kuelekea shule, shuhuda dada wa kazi. Kumuuona vile akaenda kumshitua faza hausi. Dogo alivyokua "busted" pale pale kazima tena.

Duh ikawa ni noma sana, maombi yalifanyika na nyimbo, dogo akawa sawa. Dogo akaulizwa anakumbuka nini alivyoviona ama kuviishi muda mchache iliyopita. Dogo anasema alikua malaloni wanaofanya mazishi, anaulizwa mazishi ya nani hasemi.

Muda wa chakula cha mchana umefika dogo anasema ameshiba, eti ameshakula, anaulizwa umekula nini anasema kala nyama masibani. Watu duh!!!!

SASA NIMEKUJA KWAKO WANA JAMII FORUM.
Nakukaribisha utoe mchango wako wa mawazo ilituweze kumuundolea adha hii mdogo wetu mana hali ni mbaya japo siku ni chache. Ila pale anapokua amepoteza fahamu pia haja zote mdogo na kubwa hutoka bila kujizuia.

Ulishawahi kusikia kesi kama hii?
Je, mtu aliekubwa na hali hii alitibiwaje?

Am open kupokea kila aina ya tiba utakayoipendekeza iwe hospitali, ya kiimani au asili.

MCHANGO WAKE NI MUHIMU SANA KWA MDOGO WETU
Check malaria mkuu .
 
Zidisheni maombi MKUU.. msitoke kwenye njia yenu ya imani mtakufuru.. Kikubwa ni chuki na wivu tu vinawasumbua watu dhidi ya mdogo wenu kizuri zaidi wakiona dogo ni mtulivu na muelewa na wakiringanisha na watoto wao wasiosikia lolote basi ndio kinawasumbua wanaona baada ya miaka 20 hatakuwa makini sana kutokana na utulivu wake.. mpiganieni kwa maombi atakuwa sawa tu
 
Back
Top Bottom