Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
-
- #61
aminaZidisheni maombi MKUU.. msitoke kwenye njia yenu ya imani mtakufuru.. Kikubwa ni chuki na wivu tu vinawasumbua watu dhidi ya mdogo wenu kizuri zaidi wakiona dogo ni mtulivu na muelewa na wakiringanisha na watoto wao wasiosikia lolote basi ndio kinawasumbua wanaona baada ya miaka 20 hatakuwa makini sana kutokana na utulivu wake.. mpiganieni kwa maombi atakuwa sawa tu
Acha ubinafsi Wachungaji na Mapadri wanashinda kwa wagaganga wa kienyeji kushughulia matatizo yao na ndunguzaoIla chonde chonde msije changanya madawa, huyu akaenda Kwenye maombi na huyu akaenda Kwa mganga wote Kwa tatizo la Mtu mmoja Mungu hachanganywi
Hili nalitambua sana kwani liliwahi kunitokea. Tafadhali sana, usikurupuke tu mara uamkapo kwenda chooni. Kaa kwanza kitandani kwa muda ndiposa usimame na kuendelea na Safari yako kwenda msalani.Hii hutokea kwa watu wengi tu na Jibu ni rahisi sana
Ukiamka ghafla kutoka usingizini mara nyingi pressure hushuka ghafla kwa sababu ya change in position kitaalam tunaina postrual hypotension….
Ushauri ukiamka kaa kidogo kitandani kabla ya kusimama!
amenPoleni sana Mkuu Mwenyezi Mungu wa rehema amponye mja wake Amen
Ubinafsi gani? Sawa kama mapadri na wachungaji wanakuja huko hakumfanyi na yeye aje huko, ndio Maana nimemtahadharishaAcha ubinafsi Wachungaji na Mapadri wanashinda kwa wagaganga wa kienyeji kushughulia matatizo yao na ndunguzao
dah inasikitishaAcha ubinafsi Wachungaji na Mapadri wanashinda kwa wagaganga wa kienyeji kushughulia matatizo yao na ndunguzao
Hata haisikitishi, ni kweli kuna baadhi ya wachungaji na mapadri wanaenda Kwa waganga kupata nguvu na dawa ya kivutio Ili kanisa lijae watu, hao ninwatumishi was shetani sasa sio Kwa sababu eti wachungaji wanaenda huko ndio na wewe uende, mtumaini Mungu kuwa anaweza kuponya basidah inasikitisha