exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
- Thread starter
- #41
Je kama naupande wa pili ingekua nilivyoeleza ungeshauli nini , maana naona anamahaba ya kuondoka na watotoHizi kesi nina uzoefu nazo sana tena zingine ni za hapa hapa JF! Nimejifunza kutotoa hukumu ama ushauri mpaka nipate nafasi ya kusikia upande wa pili