Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita
Mkuu upo nyankumbu,mwatulole,kalangalala,shelabela au ,nilijua tu we uko geita maana hujui tofauti ya r na l.
Wewe na mkeo utoto unawasumbua
 
Nipe namba yake mkuu,mimi ni mshauri mzuri nitampa ushauri,atatulia na kujua umuhimu wa ndoa na maelewano mema kwenye familia.
 
Mwache aende mali zinatafutwa mwambie akuachie nguo tu za kubadili nyingine pia aondoke nazo
 
Hizi kesi nina uzoefu nazo sana tena zingine ni za hapa hapa JF! Nimejifunza kutotoa hukumu ama ushauri mpaka nipate nafasi ya kusikia upande wa pili

Kabisa ukiwakalisha hawa pamoja unaweza ukabakia mdomo wazi
 
Nilisikia mke akidai taraka hakuna kugawana mali? Ni kifungu namba ngapi msaidieni mdau
 
Haondoki bana ,mpe muda tu atakaa sawa,ila usimpe nauli
 
Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita
Rosi[emoji706]

Rakn[emoji706]

Ameshawakalili[emoji706]

Yaani wewe kupata hasara ni halali yako maana kama kuandika tu hujui unategemea ufanye biashara kweli?
 
Sumu za Fasihiii

Wachagizaji, ni Wanyanyasaji, wengi wao hawatokei hapa Afrika

Ukisoma lugha zao ni za Kudumaza

Siwezi kumwonea Huruma mtu kama huyu anayesambaza sumu kwenye Jamii.
 
Mkuu usijipe Stress, Mali zinatafutwa, kuna mjuba anapiga hapo. Pita hivi mapema
 
Rosi[emoji706]

Rakn[emoji706]

Ameshawakalili[emoji706]

Yaani wewe kupata hasara ni halali yako maana kama kuandika tu hujui unategemea ufanye biashara kweli?

We mpumbavu mwenye uwezo wa kuandika ndio unaweza fanya biashara?

#YNWA
 
Na hizo mali ulishamwonyesha zote?
Niliachana na mke wangu miradi yangu mingi nikaiweka chini ya kampuni "Sole" ambayo niliifungua kabla sijamuoa, tukaishi nae miaka sita vitu vingi naviweka chini ya kampuni alipokuja kudai talaka akaambulia nyumba moja na vitu vyote vilivyokuwa chini ya Kampuni vikapona imiwemo biashara ambazo alizikuta, nyumba na maghala na mtaji. Na mali kibao nilizificha kwa ndugu alikuwa hazijui ila nyumba niliyomjengea "ya kishikaji" niliona nimwachie akae na watoto wake yaani ni ya watoto. Vitu vya ndani vyote alichukua na gari moja ikauzwa na biashara moja niliyomfungulia ikapigwa panga mtaji tukagawana, shamba moja nilinunua alime na kufuga likauzwa, ila niliokoa zaidi ya 80% ya mali zangu na mtaji ambazo nilikuwa nimezificha kupitia kampuni na ndugu hasa mshua.

Ishi na mwanamke uliemuoa kwa ndoa kwa akili, usijisahau ukafikiri hakuna kesho. Wenzetu wakienda Mahakamani basi wanapewa uzito sana na sheria zetu, ningeshakuwa masikini maana ilikuwa pasu kwa pasu, 50:50 kila kitu.
Usiombe mke wa ndoa akupeleke mahakamani na talaka iamuliwe unafilisika dakika chache tuu na mali zako wanaenda kula watakao mgegeda baada ya yako.
 
Back
Top Bottom