Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mtaalam hiki ni ki-Congoman au ?dawa uliyolishwa iishenvuvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaalam hiki ni ki-Congoman au ?dawa uliyolishwa iishenvuvu.
Mhe, mtu akishaonesha nia ya kuachana nawe kubali tu, akiondoka sawa, akitaka mgawane mgawie afu anza upyaHebu zingatia hii sentence!
Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana,
Siku niliyotambua kuwa WANAUME HAWAPENDI MWANAMKE MWENYE KELELE ndio siku niliyozidi kuweka nukta za uzungumzaji 8 years in marriage mume wangu hajawahi hata kunifinya, wengi hatujui kuwasilisha malalamiko yetu.
Kama ni mjinga sawa ...mali zitaliwa.Na hizo mali ulishamwonyesha zote?
Niliachana na mke wangu miradi yangu mingi nikaiweka chini ya kampuni "Sole" ambayo niliifungua kabla sijamuoa, tukaishi nae miaka sita vitu vingi naviweka chini ya kampuni alipokuja kudai talaka akaambulia nyumba moja na vitu vyote vilivyokuwa chini ya Kampuni vikapona imiwemo biashara ambazo alizikuta, nyumba na maghala na mtaji. Na mali kibao nilizificha kwa ndugu alikuwa hazijui ila nyumba niliyomjengea "ya kishikaji" niliona nimwachie akae na watoto wake yaani ni ya watoto. Vitu vya ndani vyote alichukua na gari moja ikauzwa na biashara moja niliyomfungulia ikapigwa panga mtaji tukagawana, shamba moja nilinunua alime na kufuga likauzwa, ila niliokoa zaidi ya 80% ya mali zangu na mtaji ambazo nilikuwa nimezificha kupitia kampuni na ndugu hasa mshua.
Ishi na mwanamke uliemuoa kwa ndoa kwa akili, usijisahau ukafikiri hakuna kesho. Wenzetu wakienda Mahakamani basi wanapewa uzito sana na sheria zetu, ningeshakuwa masikini maana ilikuwa pasu kwa pasu, 50:50 kila kitu.
Usiombe mke wa ndoa akupeleke mahakamani na talaka iamuliwe unafilisika dakika chache tuu na mali zako wanaenda kula watakao mgegeda baada ya yako.
Hakuna mjinga wala mwerevu kwenye talaka hasa ya mahakamani.Kama ni mjinga sawa ...mali zitaliwa.
Naomba nijibu kwa uelewa wangu. Tangu kwenye ile bustani..adui alijua kutukamata vinywa vyetu. Sisi tangu tuumbwe kwa kiranga tukaenda piga soga na shetani daddekkk...Hawa akaenda kupiga umbea. Hapo hapo tukategwa katika vinywa vyetu..shetan sijui alijua kwamba huyu nikimfanya aongee tu najua atamkosea muumba wake.
Hamna talaka hapo..hao wamechoka sasa mi cha kuwashauri ampe nauli aende akapumzike kidogo kwao...they need space kidogo. Akishaona ujinga alofanya atarudi tu. Mungu hawezi kumbariki mtu asiye na msamaha. Anachukia kuachana inshort hasa kwa unreasonable stuff kama hizi. Kweli kaka kakosea lakin its a matter of forgiving. Unless ana option ingine inayomletea jeuri. We need The Grace of forgiveness in our heart.Divorce is a legal theft from a man.
Talaka utaona ni ishu ndogo ila ikifika mahakamani ni ishu kubwa na mwanamke anapewa uzito sana.
Sasa si ndio wife anachotaka kufanya aiseeeeeee ..... Wife anataka kusepa nowWatoto wako wanashindishwa njaa na chakula kipo, aisee mimi sikupigi nakubonda kama ngoma mamaeh..halafu unachukua begi lako unaenda kwenu, kwani shilingi ngap kugawana mali, afungue hio kesi tugawane
Ni ushauri mzuri umetoa mkuu. Aone mazingira ya kumrudisha kwao akapumzike kama atakubali na kutii hilo.Hamna talaka hapo..hao wamechoka sasa mi cha kuwashauri ampe nauli aende akapumzike kidogo kwao...they need space kidogo. Akishaona ujinga alofanya atarudi tu. Mungu hawezi kumbariki mtu asiye na msamaha. Anachukia kuachana inshort hasa kwa unreasonable stuff kama hizi. Kweli kaka kakosea lakin its a matter of forgiving. Unless ana option ingine inayomletea jeuri. We need The Grace of forgiveness in our heart.
Embu niulize swali kwann watu wanakimbilia mambo ya kugawana mali. I don know lakin nikimsikia mwanamke anawahi kusema "tugawane" kuna alarm mbaya sana inagonga akilin mwangu. Either ni washauri effect, kiburi cha uzima effect ama elimu effect..na inakua haijamkomboa by the way. Am open to correction anyways...wanawake embu mnitonye hapa..kwann tunawahia mali??Mi Kuna kipind wife aliwahi kunisababishia loss hivyo hivyo,milivomnyoosha akaibukia kwny kudai kugawana mali. Nilichomfanyia
Hatosahau maishani,
Nilimnyoosha mpk leo hawezi thubutu huo upumbavu, Hata nimzingue neno kugawana hawez kuthubutu kutamka
Mwache aende vuta jiko jipya. Mwanamke gani anaringa nyakati hizi za AZOLEWakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.
Naenda kuelezea...
Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.
Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.
Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.
Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.
Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.
Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.
Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.
Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.
Nisiwachoshe.
Exalioth yuda
jf_geita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nianze kusomba vitu
Ulimnyoshaje mkuu tupe mbinuMi Kuna kipind wife aliwahi kunisababishia loss hivyo hivyo,milivomnyoosha akaibukia kwny kudai kugawana mali. Nilichomfanyia
Hatosahau maishani,
Nilimnyoosha mpk leo hawezi thubutu huo upumbavu, Hata nimzingue neno kugawana hawez kuthubutu kutamka
Soon as possibleMtoa mada Ngoja nitulie nije nilete Uzi wangu kwa nilichomfanyia wife mpk akanyooka na kuacha hiyo tabia,
Nikitype hapa kwny Uzi wako hapatatosha.
Nataka nianzifafanue in detail,
tulianzia wapi,tukafikaje kwny kugawana mpk nikamnyoosha. NTAULETA SOON
hakuna mwanamke ambae hana maneno mabayaa amini yaniii so ukisema eti umuache mwanamke kisa mdomo utaishia kutesa watotoo tu...hawa ni kupigaa makofi kadhaa ananyooka akingangania talakaa unampaaa ila sio wew ndo uanze kumpa talakaWewe na mkeo wote vilaza kama sio viazi..
Sasa mwanamke anamdomo mchafu bado unang’ang’ana kwake wa nini sasa...Acha upuzi wako na ulemavu wafikra hapo kwa huyo mwanamke hamna upendo wala Amani...Kama watoto wake anawatesa kwa njaa kisa ugomvi wenu ipo siku atakuwekea sumu ufe kabla ya wakati wako...Anaangalia mali huyo hamna mapenzi, Tafuta njia nyingine mbadala juu ya malezi ya watoto huku ukijipanga na maisha mapya...JF kitugani wewe potea na ujipange tena kimaisha acha ujinga...