Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Hebu zingatia hii sentence!
Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana,
Mhe, mtu akishaonesha nia ya kuachana nawe kubali tu, akiondoka sawa, akitaka mgawane mgawie afu anza upya
 
Mtoa mada Ngoja nitulie nije nilete Uzi wangu kwa nilichomfanyia wife mpk akanyooka na kuacha hiyo tabia,

Nikitype hapa kwny Uzi wako hapatatosha.

Nataka nifafanue in detail,
tulianzia wapi,tulivogombana na tukafikaje kwny kugawana mali mpk nikamnyoosha.

Nauleta soon....
 
Hivi kwanini wanawake..
1. Huwa na midomo michafu
2. Huwa na midomo ya "WANAONGEA balaa"
3. Yaani ni kupepeta tu midomo.

Hivi Mungu alivyoumba "Mwanamke" alimuwekea nini mdomoni?

Beesmom To yeye amadala Lovelovie

Na wanawake wengine wotee JF

KWANINI WANAWAKE WANA MIDOMO SANAA?

#YNWA
Siku niliyotambua kuwa WANAUME HAWAPENDI MWANAMKE MWENYE KELELE ndio siku niliyozidi kuweka nukta za uzungumzaji 8 years in marriage mume wangu hajawahi hata kunifinya, wengi hatujui kuwasilisha malalamiko yetu.
A man deserves respect doing so doesn't make you inferior.
Mwanaume asie na msimamo Trust me ndio huwa wananaoelekeshwa kama mtoa mada.
A Bible says, Mwanamke amuheshimu mume wake na Mwanaume ampende mkewe...... Biblia ilisena hivyo kwa sababu ilijua Nikazi hawa viumbe kutoa upendo na mwingine heshima. Muishi nasi kwa akili.
 
Na hizo mali ulishamwonyesha zote?
Niliachana na mke wangu miradi yangu mingi nikaiweka chini ya kampuni "Sole" ambayo niliifungua kabla sijamuoa, tukaishi nae miaka sita vitu vingi naviweka chini ya kampuni alipokuja kudai talaka akaambulia nyumba moja na vitu vyote vilivyokuwa chini ya Kampuni vikapona imiwemo biashara ambazo alizikuta, nyumba na maghala na mtaji. Na mali kibao nilizificha kwa ndugu alikuwa hazijui ila nyumba niliyomjengea "ya kishikaji" niliona nimwachie akae na watoto wake yaani ni ya watoto. Vitu vya ndani vyote alichukua na gari moja ikauzwa na biashara moja niliyomfungulia ikapigwa panga mtaji tukagawana, shamba moja nilinunua alime na kufuga likauzwa, ila niliokoa zaidi ya 80% ya mali zangu na mtaji ambazo nilikuwa nimezificha kupitia kampuni na ndugu hasa mshua.

Ishi na mwanamke uliemuoa kwa ndoa kwa akili, usijisahau ukafikiri hakuna kesho. Wenzetu wakienda Mahakamani basi wanapewa uzito sana na sheria zetu, ningeshakuwa masikini maana ilikuwa pasu kwa pasu, 50:50 kila kitu.
Usiombe mke wa ndoa akupeleke mahakamani na talaka iamuliwe unafilisika dakika chache tuu na mali zako wanaenda kula watakao mgegeda baada ya yako.
Kama ni mjinga sawa ...mali zitaliwa.
 
Hivi kwanini wanawake..
1. Huwa na midomo michafu
2. Huwa na midomo ya "WANAONGEA balaa"
3. Yaani ni kupepeta tu midomo.

Hivi Mungu alivyoumba "Mwanamke" alimuwekea nini mdomoni?

Beesmom To yeye amadala Lovelovie

Na wanawake wengine wotee JF

KWANINI WANAWAKE WANA MIDOMO SANAA?

#YNWA
Naomba nijibu kwa uelewa wangu. Tangu kwenye ile bustani..adui alijua kutukamata vinywa vyetu. Sisi tangu tuumbwe kwa kiranga tukaenda piga soga na shetani daddekkk...Hawa akaenda kupiga umbea. Hapo hapo tukategwa katika vinywa vyetu..shetan sijui alijua kwamba huyu nikimfanya aongee tu najua atamkosea muumba wake.

Vinywa vyetu ni adui mkubwa sana wa maisha yetu sisi wanawake. Kwa wote wenye au wasio na ndoa. Tunajionea sawa tu tunavyosifiwa na wanasaikolojia kwamba "ooh mwanamke ana maneno mengi kwa siku sijui 10,000..basi tunajionea sawa kuongea sana. Tunajisahau tunapofungua midomo yetu adui anakuja hapo mbele mpaka tumkosee Mungu ndo anaondoka. Kinywa chako mwanamke ni adui yako...mkubwa...unless uamue kutafuta maarifa katika vitabu vya dini ili upate mngojezi katika kinywa.

We need heaven control in our mouths ili tusikosee ndugu, rafiki,watoto, wazazi, waume, wapenzi, wachumba wetu.
Mdomo dada, mama, bibi, auntie, mimi...mdomo huu!!
 
Divorce is a legal theft from a man.
Talaka utaona ni ishu ndogo ila ikifika mahakamani ni ishu kubwa na mwanamke anapewa uzito sana.
Hamna talaka hapo..hao wamechoka sasa mi cha kuwashauri ampe nauli aende akapumzike kidogo kwao...they need space kidogo. Akishaona ujinga alofanya atarudi tu. Mungu hawezi kumbariki mtu asiye na msamaha. Anachukia kuachana inshort hasa kwa unreasonable stuff kama hizi. Kweli kaka kakosea lakin its a matter of forgiving. Unless ana option ingine inayomletea jeuri. We need The Grace of forgiveness in our heart.
 
Watoto wako wanashindishwa njaa na chakula kipo, aisee mimi sikupigi nakubonda kama ngoma mamaeh..halafu unachukua begi lako unaenda kwenu, kwani shilingi ngap kugawana mali, afungue hio kesi tugawane
Sasa si ndio wife anachotaka kufanya aiseeeeeee ..... Wife anataka kusepa now

Amwache aende basi mbona kaja tena hapa kulia kulia Lol

Ushauri wangu:

- Mke anapigwa kwa upande wa kanga tu.
 
Hamna talaka hapo..hao wamechoka sasa mi cha kuwashauri ampe nauli aende akapumzike kidogo kwao...they need space kidogo. Akishaona ujinga alofanya atarudi tu. Mungu hawezi kumbariki mtu asiye na msamaha. Anachukia kuachana inshort hasa kwa unreasonable stuff kama hizi. Kweli kaka kakosea lakin its a matter of forgiving. Unless ana option ingine inayomletea jeuri. We need The Grace of forgiveness in our heart.
Ni ushauri mzuri umetoa mkuu. Aone mazingira ya kumrudisha kwao akapumzike kama atakubali na kutii hilo.
 
Mi Kuna kipind wife aliwahi kunisababishia loss hivyo hivyo,milivomnyoosha akaibukia kwny kudai kugawana mali. Nilichomfanyia

Hatosahau maishani,
Nilimnyoosha mpk leo hawezi thubutu huo upumbavu, Hata nimzingue neno kugawana hawez kuthubutu kutamka
Embu niulize swali kwann watu wanakimbilia mambo ya kugawana mali. I don know lakin nikimsikia mwanamke anawahi kusema "tugawane" kuna alarm mbaya sana inagonga akilin mwangu. Either ni washauri effect, kiburi cha uzima effect ama elimu effect..na inakua haijamkomboa by the way. Am open to correction anyways...wanawake embu mnitonye hapa..kwann tunawahia mali??
 
Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita
Mwache aende vuta jiko jipya. Mwanamke gani anaringa nyakati hizi za AZOLE
 
Mi Kuna kipind wife aliwahi kunisababishia loss hivyo hivyo,milivomnyoosha akaibukia kwny kudai kugawana mali. Nilichomfanyia

Hatosahau maishani,
Nilimnyoosha mpk leo hawezi thubutu huo upumbavu, Hata nimzingue neno kugawana hawez kuthubutu kutamka
Ulimnyoshaje mkuu tupe mbinu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Yani analaza watoto njaa kisa mmegombanaa mbwa hiyoo ungepigaaa mpaka ilazweee
 
Wewe na mkeo wote vilaza kama sio viazi..

Sasa mwanamke anamdomo mchafu bado unang’ang’ana kwake wa nini sasa...Acha upuzi wako na ulemavu wafikra hapo kwa huyo mwanamke hamna upendo wala Amani...Kama watoto wake anawatesa kwa njaa kisa ugomvi wenu ipo siku atakuwekea sumu ufe kabla ya wakati wako...Anaangalia mali huyo hamna mapenzi, Tafuta njia nyingine mbadala juu ya malezi ya watoto huku ukijipanga na maisha mapya...JF kitugani wewe potea na ujipange tena kimaisha acha ujinga...
hakuna mwanamke ambae hana maneno mabayaa amini yaniii so ukisema eti umuache mwanamke kisa mdomo utaishia kutesa watotoo tu...hawa ni kupigaa makofi kadhaa ananyooka akingangania talakaa unampaaa ila sio wew ndo uanze kumpa talaka
 
Yaani hicho kitu mke wangu ndio anakiogopa sana Talaka kukidai kwangu. Maana anajua akili yangu kwenye hili,sina simile.
Wewe badala ya kufurahia umeepukana na matatizo wewe tena unasikitika?. Tena kwa uelewa huo na maneno hayo ya mkeo,shangilia kuachana nae. Haraka wewe mwambie afuate sheria.
Hata usipompa leo Talaka bado atakusumbua sana ksbb tayari akili yake ina tamaa. Iko kwenye vitu.
Na kikubwa wengi mnafocus kwenye Mali badala ya kujali moyo wako uwe Salama. Tena ukiachana na huyo nakuhakikishia utapiga hatua sana. Kuwa willing tu kuachana nae. Usifikirie Mali. Fikiria moyo wako kwanza. Mali umezipata hapa hapa duniani. Akiendelea kukujeruhi moyo ni maumivu ya kudumu huko mbele.
Wanawake ilikuwa wale mama zetu. Siku hizi hamna mke.
 
Back
Top Bottom