Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

Hiyo game iliandaliwa ndugu Cha msingi Wewe mwambie sipo tayali tuachane bado unampenda

Msimamo wako uwe huo mpaka mahakamani Aki force mahakama itampa taraka lakini Mali Hari ruhusiwa kuzigusa

Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Ex

👉Mwanamke anaye taka kukupiga chini hakuombi nauli mkuu
👉Mwanamke anaye taka muachane hawezi kufkia kwenu mkuu
👉Bado anakupenda ispo kuwa anataka usahau lile Deni la 50000/= Kisha uanze kuwaza kupihwa taraka.

naweza kusema Ana kubadilishia topic kutoka A kwenda B

CHAKUFANYA MWAMBIE NAULI NTAKUPA NGOJA SAIDI ANILETEE HELA NNAYO MDAI

baada ya hapo endelea na Mambo yako Ila hakikisha chakula ndani kipo majinyapo na umeme upo

HAKUNA SHUJAA MBELE YA NJAA MKUU
 
Mbona mbali sana huko jamani.Kakesi hako si wanamaliza wenyewe tu chumbani hako mbona kadogo.Amuulize mkewe..unadhani kwanini nimekupiga kibao?je nimekuonea?Halafu ampe nasaha kwa lugha ya upole kesi itakuwa imeisha mbona.
Wkt mwingine kudundwa kidogo ni sunnah.Kwanza unaweza wewe mwenyewe ukakubali kabisa moyoni kuwa kwa kosa hili nililofanya afadhali ya kudundwa kuliko ningerudishwa kwetu maana ningewatia wazee wangu aibu.
Noo huyu mkewe inaonekana ana vitu vingi kavitunza moyoni ndio maana ile kaulo ya kusema leo ndo mwisho wa ndoa hawezi kusema mwisho wa ndoa kwa kikosa hiki tu, hawa ndani ya nyumba kutakua na chokochoko nyingi ambazo huwa hazisolviki
 
Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita
Inaonekana Mali ni za mwanamke thus why unaogopa kugawana nae Mali huto Baki na chaamaana.

Kama ndio hivyo kama mwanaume ulitakiwa uji pange na kuhakikisha una kuwa huru hasa katika maswala ya kifedha.

Ukiona una gombana na mtu Ana kimbia kwenye Kuachana basi tambua hapo haupo kwenye mikono salama hupendwi una lazimisha mahusiano

Pole ila cha kufanya ni kujikubali kuwa unaweza ishi kamwe usitegemee furaha kutoka kwa watu wengine
 
Hivi kwanini wanawake..
1. Huwa na midomo michafu
2. Huwa na midomo ya "WANAONGEA balaa"
3. Yaani ni kupepeta tu midomo.

Hivi Mungu alivyoumba "Mwanamke" alimuwekea nini mdomoni?

Beesmom To yeye amadala Lovelovie

Na wanawake wengine wotee JF

KWANINI WANAWAKE WANA MIDOMO SANAA?

#YNWA
Hawana njia nyingine ya kutoa stress mnazowapa zaidi ya kuongea tofauti na nyie mna njia nyingi za kutoa stress kama kuchepuka, kupiga, kuacha
 
Embu niulize swali kwann watu wanakimbilia mambo ya kugawana mali. I don know lakin nikimsikia mwanamke anawahi kusema "tugawane" kuna alarm mbaya sana inagonga akilin mwangu. Either ni washauri effect, kiburi cha uzima effect ama elimu effect..na inakua haijamkomboa by the way. Am open to correction anyways...wanawake embu mnitonye hapa..kwann tunawahia mali??
Wanawake wakikaa kwny vikundi vikundi wanashauriana Ujinga Sana, Happ wanadhan wanamkomesha mwanaume kumbe wanajikomesha
 
Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita

Man weapon is his confidence, mwambie talaka hutoi, nauli hutoi aende anapo enda . Nakupa wiki tu
 
Siku niliyotambua kuwa WANAUME HAWAPENDI MWANAMKE MWENYE KELELE ndio siku niliyozidi kuweka nukta za uzungumzaji 8 years in marriage mume wangu hajawahi hata kunifinya, wengi hatujui kuwasilisha malalamiko yetu.
A man deserves respect doing so doesn't make you inferior.
Mwanaume asie na msimamo Trust me ndio huwa wananaoelekeshwa kama mtoa mada.
A Bible says, Mwanamke amuheshimu mume wake na Mwanaume ampende mkewe...... Biblia ilisena hivyo kwa sababu ilijua Nikazi hawa viumbe kutoa upendo na mwingine heshima. Muishi nasi kwa akili.
Dada, shukuru Mungu una mwanaume anayejielewa, nasema tena shukuru Mungu una mwanaume anayejielewa
 
Mi Kuna kipind wife aliwahi kunisababishia loss hivyo hivyo,milivomnyoosha akaibukia kwny kudai kugawana mali. Nilichomfanyia

Hatosahau maishani,
Nilimnyoosha mpk leo hawezi thubutu huo upumbavu, Hata nimzingue neno kugawana mali hawez kuthubutu kulitamka tena
Ulimfanyia nn mkuu namimi hiyo njia uliotumia inisaidie
 
Mtoa mada Ngoja nitulie nije nilete Uzi wangu kwa nilichomfanyia wife mpk akanyooka na kuacha hiyo tabia,

Nikitype hapa kwny Uzi wako hapatatosha.

Nataka nifafanue in detail,
tulianzia wapi,tulivogombana na tukafikaje kwny kugawana mali mpk nikamnyoosha.

Nauleta soon....
Mwaga uzi
 
Hujiwezi kwake ndyo maana unampiga huna maamuzi binafsi wanawake wanakera sans ila zuia hasira zako acha kumpiga mwili wake piga akili yake ukianza kupiga akili yake ata kupanua mdomo kwako atakuwa anafikiria Mara mbili
Yeaaah piga akili.. punisb.ent za kisaikolojia
 
Hiyo game iliandaliwa ndugu Cha msingi Wewe mwambie sipo tayali tuachane bado unampenda

Msimamo wako uwe huo mpaka mahakamani Aki force mahakama itampa taraka lakini Mali Hari ruhusiwa kuzigusa



[emoji117]Mwanamke anaye taka kukupiga chini hakuombi nauli mkuu
[emoji117]Mwanamke anaye taka muachane hawezi kufkia kwenu mkuu
[emoji117]Bado anakupenda ispo kuwa anataka usahau lile Deni la 50000/= Kisha uanze kuwaza kupihwa taraka.

naweza kusema Ana kubadilishia topic kutoka A kwenda B

CHAKUFANYA MWAMBIE NAULI NTAKUPA NGOJA SAIDI ANILETEE HELA NNAYO MDAI

baada ya hapo endelea na Mambo yako Ila hakikisha chakula ndani kipo majinyapo na umeme upo

HAKUNA SHUJAA MBELE YA NJAA MKUU
asante
 
hakuna mwanamke ambae hana maneno mabayaa amini yaniii so ukisema eti umuache mwanamke kisa mdomo utaishia kutesa watotoo tu...hawa ni kupigaa makofi kadhaa ananyooka akingangania talakaa unampaaa ila sio wew ndo uanze kumpa talaka
Umeelewa mada lkn, Huyo mwanamke alitaka talaka na anaomba nauli akaanze hiyo mipango huko...So what next do you think about this negro!
 
Mtoa mada Ngoja nitulie nije nilete Uzi wangu kwa nilichomfanyia wife mpk akanyooka na kuacha hiyo tabia,

Nikitype hapa kwny Uzi wako hapatatosha.

Nataka nifafanue in detail,
tulianzia wapi,tulivogombana na tukafikaje kwny kugawana mali mpk nikamnyoosha.

Nauleta soon....
Mkuu tayar?
 
Nimeishia hapo ulipompiga.
🚮🚮🚮🚮
 
Wakuu Niseme Tu Kila Kukicha Na Makucha Yake, Leo Tena Kumekucha Sio Siku Nzuri Kwaupande Wangu.

Naenda kuelezea...

Tumegombana na mkewangu usiku wa jana na akasema leo ndio mwisho wa ndoa yetu anaenda kufatilia nimpe talaka tuachane.

Kisa cha ugomvi ni kutoka kwenye biashara yetu tulipata rosi tukiwa wote kibandani tulipata wateja wa vifaa vya shule tukawauzia katka kuwafungia mzigo wife akawazidishia vyenye samani ya sh.50000/=.

Kwakua sikuwakalili vizuri rakn shule wanayosomea hao wateja naijua na vifaa kama mabegi ya mgongoni ikabidi jana j3 asubuhi nijaribu bahati yangu niende shule kufatilia rakn sikufanikiwa nikarudi nyumbani.

Badae Jioni saa kumi sikuepo kibandani nikapigiwa simu na mkewangu ananiambia wale watu tuliowazidishia mzgo amewaona na ameongea nao wamesema watarudisha ikabidi niende haraka kazini.

Nafika namuuliza wanasomea shule gani na wamekupa majina yao na wanaishi maeneo gani, Mkewangu anakuaga na mdomo mchafu , jibu nililojibiwa naambiwa ooh ningejua nisinge kuambia maana maswali yamekua mengi.

Akasema ameshawakalili nikamwambia wasipoleta atafatilia kwakua yeye ameshawakalili akasema hawezi hata kwa dawa, nkamwambia wife hii hela tunayotafuta sio kwa manufaa yangu binafsi kwanini unashindwa kunielewa Kanuna kaenda nyumbani.

Nmefka nyumbani hajapika saa3 watoto wamelala njaa aseee nilipiga vibao nikamlazimisha kupika Tukala hakula yeye akasema lazma hii kesi tuachane et tugawane kila kitu kumekucha asubuhi ananiomba nauri aende kwetu et akawaeleze ili afatilie swala la talaka tugawane mali.

Nimemwambia sikupi nauli kuchezea hela kwamaana sioni kosa la kuachana we kaa tulia haelewi, Wakuu Naomba mnipe mbinu maana tukigawana ndio mwisho wa kuona humu jf maisha yangu yatakua magumu sana, shemeji yenu nimezaa nae watoto wawili miaka 3_5.

Nisiwachoshe.

Exalioth yuda
jf_geita
We.mwanaume umaskini unakusumbua...elfu hamsin ndio unafuatilia mpk keroooo,tafuta kwanza hela brooooo ukipata tutakuambia Cha kufanyaaa
 
Back
Top Bottom