Msaada wa Haraka: Rafiki yangu kagundua Mchumba wake ni Msaliti, kachanganyikiwa hajui la kufanya Mpaka sasa

Msaada wa Haraka: Rafiki yangu kagundua Mchumba wake ni Msaliti, kachanganyikiwa hajui la kufanya Mpaka sasa

mazaga one

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
2,514
Reaction score
4,042
Habari Wana JF.

Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.

Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.

Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...

Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
 
Habari Wana JF.Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.
Mwambie jamaa wewe hauna ushauri juu ya Hilo.
 
Tozo zisumbue na mwanamke asumbue tena...

Kata mti, panda mti wachuchu wapo wengi hadi wengine wanalilia wanaume...
 
Habari Wana JF.Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.

Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.

Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...

Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
Hii sinema haina pop corn, Ina bangi, let us take it huenda tukaishi milele
 
Mwanamke aliekusaliti kwa wakati ambao wewe ulikua mwaminifu kwake hafai kurudia hata bure...
Kama hawezi kumpiga chini mazima, yeye ajifanye amemsamehe then atafute pisi nyingne ya mahali alipo huyo msaliti aendelee kumtafuna kisela kuepusha maumivu ya kumuacha!
 
Mwanamke aliekusaliti kwa wakati ambao wewe ulikua mwaminifu kwake hafai kurudia hata bure...
Kama hawezi kumpiga chini mazima, yeye ajifanye amemsamehe then atafute pisi nyingne ya mahali alipo huyo msaliti aendelee kumtafuna kisela kuepusha maumivu ya kumuacha!
Comment hii nimeipokea pia
 
Mallya: maana ya terrorists ni nini?
Shahidi: ni ugaidi.
Mallya: maana ya terrorism ni nini?
Shahidi: ni masuala ya utarii.
😂😂😂😂😂

Hii case ya rafk yako ni ya ki-terrorism yani binti ni terrorists😂😂😂

Sijui umenielewa. Mbowe akifungwa na huyo mwanamke apewe kibuti. Nimemaliza🙏
 
Pole kwa yaliyokukuta najua ni wewe sio rafiki yako
Sio Mimi Mzee,Mimi ningefanya maamuzi ya kuachana nae mapema tu,Mwanamke msaliti sio wa kumvumilia kabisa...Hili jambo la rafiki yangu,najua JF Kuna wajuvi wa mambo ndio Maana nimekuja huku,Ili kama Mimi Rafiki wa jamaa yangu nikampe Ushauri sahihi
 
Sio Mimi Mzee,Mimi ningefanya maamuzi ya kuachana nae mapema tu,Mwanamke msaliti sio wa kumvumilia kabisa...Hili jambo la rafiki yangu,najua JF Kuna wajuvi wa mambo ndio Maana nimekuja huku,Ili kama Mimi Rafiki wa jamaa yangu nikampe Ushauri sahihi
Kumuacha mpenzi hufundishwi inakuja tu yenyewe ,na sio kazi rahisi kumuacha mtu unayempenda,aangalie moyo wake unamtumaje
 
Back
Top Bottom