Mkuuu just a little beatsafi sana....tukisema punguzeni mapenzi kwa kiumbe mwenzako hamtaki kusikia
humu kila siku tunatoa mbinu za kukwepa maumivu ya mapenzi, ikiwa ni pamoja na kujiwekea back-up, lkn mijitu mibishi, acha wakutane na matokeo yao.
sas huyo bwege kingemkuta kama kilichonkuta mimi si lingejiua[emoji41]
MmmmmmmhhhKatika kitu kinachonishangaza ni mtu kuumia kisa kasalitiwa..... Kinanishangaza sanaa.
Sababu nowdays ni kitu cha kawaida sanaaa.
Ulijuwaje, tena mimi kula kulala kabisa nakaa kwa shemeji.Usikute una comment kwa nguvu nyiingi kumbe hata mke huna!! wala mchumba.....
Jamaa haelewi kabisaSasa akimwacha huyo mdada, huyo jamaa ataacha wangapi? maana cku hizi kila mdada ana-cheat.. amsamehe tu huyo demu waendelee na uhusiano
Kila mdada anacheat ulifanya wapi utafiti huu na kwa methodology ipi?Sasa akimwacha huyo mdada, huyo jamaa ataacha wangapi? maana cku hizi kila mdada ana-cheat.. amsamehe tu huyo demu waendelee na uhusiano
Hakuna mke wa peke yako kama njiwa . Labda awe na sura mbuzi .Habari Wana JF.
Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.
Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.
Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...
Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
Umeoa?Hakuna mke wa peke yako kama njiwa . Labda awe na sura mbuzi .
Vumilia ni kawaida hasa mnapoishi mbali mbali namna hiyo.
Nimeshastaafu hata kuzaa (60s)Umeoa?
Hahahaha Ubaya bidada anajitangaza Kwa Watu asaidiwe Kuombewa msamaha Kwa jamaa,Sasa jamaa kanisimulia ndio Maana nimeamua Kuleta huku wajuvi mseme nenoMwanakulifind, mwanakuligeti.
Mwambie aache ujinga, kuchapiwa siri ya ndani.
Polee sana kwa kuchapiwa mkuu.Hahahaha Ubaya bidada anajitangaza Kwa Watu asaidiwe Kuombewa msamaha Kwa jamaa,Sasa jamaa kanisimulia ndio Maana nimeamua Kuleta huku wajuvi mseme neno
Mdau asee sio Mimi kakaPolee sana kwa kuchapiwa mkuu.
Polee sana kwa kuchapiwa mkuu.
Mwambie afute kila kinachomuhusu huyo Mwanamke na Aanze Kuwaza Mabaya ya huyo dem tu asiwaze mazuri yake, Yani Kila akikaa awaze huyu Mwanamke angekuja kunisababishia kuea mtoto si wangu huyu, Yani Awaze Negatively mwanzo Mwisho na Ajipe moyo kwamba Mungu kaniepusha na Balaa, Wanawake mbona wamejaa kibaaao tuHabari Wana JF.
Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.
Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.
Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...
Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
Habari Wana JF.
Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.
Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.
Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...
Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
"Wanalilia wanaume "Tozo zisumbue na mwanamke asumbue tena...
Kata mti, panda mti wachuchu wapo wengi hadi wengine wanalilia wanaume...
Kwani tatizo ni simu?Tumshauri nini wakati alichokitafuta amekipata?
Simu ya mwanamke wewe ya nini? Ni ujuha tu.