Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Msaada wa Haraka; RC Makonda Asaidiwe Kisaikolojia ana tatizo Linamtesa na Anajidanganya kwa Drama

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.

Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.

Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?

Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?

Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?

Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?

Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
 

Attachments

  • All_Video_Downloader_habarimpyatv__AQMwGNJuvSzQ7H04b55gOKalM_cKqdlvHLCIuPByQ8CVsLzMoLyUkiCXFS2...mp4
    9.9 MB
Anamengi amewapitisha wenzie
Ana mengi anajutia...
Huenda anamshukuru Mungu pia kwa kumwepusha na kifo hiyo sumu walimwekea...
Tukiwa kwenye maombi tunalia na mengi...ni sehemu ambayo unaweza kupona bila kuombewa.
Dunia Ina mambo mengi yanayoumiza,iwe kwa kutenda au kutendewa.
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Damu za watu wasiokuwa na hatia alioua ndiyo zinamtesa na bado ipo siku atavua nguo zote hadharani akijidai kuomba toba.
 
Kinachomsumbua ni kunyima wenzake haki ya kuishi


View: https://x.com/SecPompeo/status/1223307597194854400?t=vBaHjT6IbfiCf0oo6Pa5Uw&s=19
20241209_155008.jpg
 
Makonda keshamaliza wala hajali na habari mjadala umebaki nao wewe mzee chakaza!
Mzee mwenzangu Kipara! Huyo hajamaliza bado ndio maana vilio kila siku hadharani kama binti mdogo aliyetolewa usichana (bik..) bila hiari.
Na kuropoka ropoka! Sasa mambo ya kurogwa Rais katika nchi isiyotambua uchawi si tunaonekana wehu? Na jee aliambiwa hayo na Rais wakiwa wapi? Mashaka makubwa haya, majibu mengi kwa swali hilo tuu!
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Nakuomba uutafute wimbo wa Senzo unaitwa Guilty
 
Mzee mwenzangu Kipara! Huyo hajamaliza bado ndio maana vilio kila siku hadharani kama binti mdogo aliyetolewa usichana (bik..) bila hiari.
Na kuropoka ropoka! Sasa mambo ya kurogwa Rais katika nchi isiyotambua uchawi si tunaonekana wehu? Na jee aliambiwa hayo na Rais wakiwa wapi? Mashaka makubwa haya, majibu mengi kwa swali hilo tuu!
Huwezi kumjua mchawi bila nawe kuwa mchawi......ukaribu wa Rc na mamlaka ni wa kitambo saaaaana sidhani kama kuna linamsumbua Rc ni mambo yake ya kuendelea kuishi juu ya kilele cha mlima kilimanjaro si unaona wakina chalamila wanavyokosa ubunifu!
 
Vijana acheni dhambi......hivyo viheka mnavyolipwa vinawanyima raha na kuwatesa mpaka mkifa
 
Kama Mtanzania na niseyependa mtu apogee au apoteze wengine naomba hili lifanyike.
Makonda amesikika kama kawaida yake kuropoka maneno yenye utata kuwa Rais Samia anaongoza hapa nchini kwa kurogwa sana na pia karudia tabia ile ya kulialia hovyo hadharani kwa kivuli cha kufanya maombi na kuombewa.
Jee ana makosa gani hayo yanamtafuna kiasi hicho mpaka anahitaji sympathy ya kuombewa na mikusanyiko ya watu kwa kivuli cha uongo kuombea nchi?
Mbona maombi hayo ni kuombea amani tuu bila kuiombea HAKI?
Viongozi wa serikali, wa dini hata wazee wamchukue huyu bwana na kumpa ushauri wa kisaikolojia awaambie nini kinamnyima furaha moyoni na kumpa hofu?
Kwa nini anatumia maneno ya kuchafua nchi kama hilo la "kurogwa Rais"? hadharani au yeye Rais ndio anamtuma? Na kama anamtuma kwa hiyo Rais wetu ni mshirikina na mwoga wa kurogwa? Anatufaa kweli kwa hulka hizo?
Nifanyacho hapa nikuomba mwenye uwezo ajitokeze kumsaidia maana naona kuna viongozi wa dini za mchongo wanamtumia kimaslahi tuu.
Lengo la maombi ilikuwa yeye ndiye aombewe?

😅😅😅
 
Back
Top Bottom