Msaada wa haraka unahitajika kuhusu ujauzito wangu

Msaada wa haraka unahitajika kuhusu ujauzito wangu

Unachosema ni sahihi lakn kwa hili naweza kuamini majibu haya ya utrasound
Maana hata tumbo langu sio kubwa
Mwanzo nilidhani labda ndio maumbile yangu maana ndio uzazi wa kwanza
Lakini hata mtoto akiwa na 2.2kg at 35 week bado una wiki nne au tano anauwezo mkubwa wa kuongezeka 200g per wiki ni kawaida sanaa by 40th wiki akawa na 3.2kg kawaida sanaa unless imediagonise tatizo lingine kutoka kwako linalo effect uzito wa mtoto.
 
Punguza mawazo kwamba mumeo kila aspokuwepo nyumbani au kurudi usiku Yuko kuchepuka
Nitazingatia hili labda stress za kazi
Lkn baba K wala hanipi sababu ya kumdoubt
 
Relaaaaax madamu,,mimi adi naenda kujifungua hakuna aliye amini tumbo lilikua dogo balaa.

mtoto altoka na 2.8.
Ms R nakushukuru
Vipi alivyotoka na uzito huo hakukua na complications zozote kwa mtoto!
Yaan afya yake haikua na shida yoyote?
 
Ms R nakushukuru
Vipi alivyotoka na uzito huo hakukua na complications zozote kwa mtoto!
Yaan afya yake haikua na shida yoyote?
Hakuna shida yoyote na wala hajawah nisumbua kusema kwel,,,we relax tu usipungue zaid ya apo ila jitahid uongeze
 
Ukisoma comments za members wengi hapa wamekusihi kuhusu kuzingatia lishe.

Inaonekana huli vizuri (mlo Kamili) ama umekuwa mvivu sana wa kula

Kwa kuwa upo mwishoni kuelekea kujifungua, almost wiki 3 ama 4 zijazo jitahidi kuboresha ratiba yako ya Kula bila kusahau muda mrefu wa Kulala.

Kwa Wazazi wajao, ni vyema mkajifunza kuwahi kufanya check up za mara Kwa mara ikiwemo kuangalia maendeleo ya mimba zenu Kwa wakati (Utra-sound)

Waambieni Waume/wapenzi wenu watenge fedha kwaajili ya kula yako hasa milo kamili kwaajili ya Afya Bora kwako kama Mama pamoja na mtoto aliye tumboni.

Sio vibaya kama Mume, kumtengea Mkeo/Mpenzi wako order maalumu ya Maini Kila Siku kwenye mlo wake (almost shilingi 200,000) Kwa Mwezi.

Maini ni muhimu sana Kwa Mama Mjamzito
 
Ukisoma comments za members wengi hapa wamekusihi kuhusu kuzingatia lishe.

Inaonekana huli vizuri (mlo Kamili) ama umekuwa mvivu sana wa kula

Kwa kuwa upo mwishoni kuelekea kujifungua, almost wiki 3 ama 4 zijazo jitahidi kuboresha ratiba yako ya Kula bila kusahau muda mrefu wa Kulala.

Kwa Wazazi wajao, ni vyema mkajifunza kuwahi kufanya check up za mara Kwa mara ikiwemo kuangalia maendeleo ya mimba zenu Kwa wakati (Utra-sound)

Waambieni Waume/wapenzi wenu watenge fedha kwaajili ya kula yako hasa milo kamili kwaajili ya Afya Bora kwako kama Mama pamoja na mtoto aliye tumboni.

Sio vibaya kama Mume, kumtengea Mkeo/Mpenzi wako order maalumu ya Maini Kila Siku kwenye mlo wake (almost shilingi 200,000) Kwa Mwezi.

Maini ni muhimu sana Kwa Mama Mjamzito
samahani ni kutaka kujua zaid pia,,, mbona nilisikia maini sio mazur kwa mama mjamzito wanasema kuna ile nini sjui(wenye kuijua wanisaidie) inaitwa kiutaalam ni nying sana kwaio sio nzur kwa kiumbe!!?
 
Lakini hata mtoto akiwa na 2.2kg at 35 week bado una wiki nne au tano anauwezo mkubwa wa kuongezeka 200g per wiki ni kawaida sanaa by 40th wiki akawa na 3.2kg kawaida sanaa unless imediagonise tatizo lingine kutoka kwako linalo effect uzito wa mtoto.
Nashukuru sana

Kumbe bado nina nafasi Wallah leo nilichanganyikiwa
Tangu nirudi hospital nimekosa amani
 
Ondoa hofu dear. Mimi nilishauriwa kuwa makini na ninachokula maana kwanzia wiki ya 36 hadi 40 mtoto anakuwa kwa kasi ya ajabu sana. Hizo wiki mtoto anakuwa amemaliza kujiumba sasa ni kuongezeka ukubwa na kilo tu.
Wewe jitahidi kula kwa kiasi ukila sana utajifungua mtoto mkubwa hadi utashangaa.
 
Mo
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu .
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35 .
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg

Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .

Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia

Naombeni ushauri wenu
Ahsantenii

Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu .
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35 .
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg

Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .

Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia

Naombeni ushauri wenu
Ahsanteni
Daktari huyo asikutishe wiki chache zilizopita mke wangu alijifungua mtoto wa kike wiki 39 kilo 2.5 na mtoto hana shida yoyoye panda kama una changamoto nyingine.
 
samahani ni kutaka kujua zaid pia,,, mbona nilisikia maini sio mazur kwa mama mjamzito wanasema kuna ile nini sjui(wenye kuijua wanisaidie) inaitwa kiutaalam ni nying sana kwaio sio nzur kwa kiumbe!!?
Sio Daktari Kwa taaluma ila nafahamu umuhimu wa maini kwenye mlo wa Mama Mjamzito.

Of course maini hayatakiwi yawe mengi as wanasema Vitamin A ikizidi mwilini inaweza kuwa na madhara Kwa mtoto

Ndiyo maana Kwa bajeti niliyoweka hapo juu kwenye maoni yangu (shilingi 200,000) Kwa Mwezi ni wastani wa maini nusu kilo Kila Siku.

Anaweza kula Mchana kidogo na usiku kidogo
 
Ukisoma comments za members wengi hapa wamekusihi kuhusu kuzingatia lishe.

Inaonekana huli vizuri (mlo Kamili) ama umekuwa mvivu sana wa kula

Kwa kuwa upo mwishoni kuelekea kujifungua, almost wiki 3 ama 4 zijazo jitahidi kuboresha ratiba yako ya Kula bila kusahau muda mrefu wa Kulala.

Kwa Wazazi wajao, ni vyema mkajifunza kuwahi kufanya check up za mara Kwa mara ikiwemo kuangalia maendeleo ya mimba zenu Kwa wakati (Utra-sound)

Waambieni Waume/wapenzi wenu watenge fedha kwaajili ya kula yako hasa milo kamili kwaajili ya Afya Bora kwako kama Mama pamoja na mtoto aliye tumboni.

Sio vibaya kama Mume, kumtengea Mkeo/Mpenzi wako order maalumu ya Maini Kila Siku kwenye mlo wake (almost shilingi 200,000) Kwa Mwezi.

Maini ni muhimu sana Kwa Mama Mjamzito
Upo sahihi mkuu

Miezi 4 ya mwanzo nilikua napata shida ya kupoteza hamu ya kula kabisa
Maana nilikua nikila chakula hata kidogo tumbo lilikua linajaa sana mpk nashindwa kuhema vzr yaan kama mtu aliuekimbia
So chakula changu kikuu ni maziwa pamoja na matunda
 
Upo sahihi mkuu

Miezi 4 ya mwanzo nilikua napata shida ya kupoteza hamu ya kula kabisa
Maana nilikua nikila chakula hata kidogo tumbo lilikua linajaa sana mpk nashindwa kuhema vzr yaan kama mtu aliuekimbia
So chakula changu kikuu ni maziwa pamoja na matunda
Sijui kama hiyo mimba ya kwanza ama ya ngapi...

Muhimu ujirekebishe mimba zijazo

Lakini Kwa haraka, hilo suala la kupoteza hamu ya kula itakuwa imechangiwa na ulaji wako wa Chakula usiobadirika.

Jitahidi kubadirisha msosi

Unaweza kula ugali Samaki

Mlo mwingine ukala mtori wa nyama

Next time ukala wali maini n.k

Usisahau pia matunda ama juisi ya matunda kwenye Kila mlo

Kila la heri Mama Kijacho 🙏🙏
 
Ondoa hofu dear. Mimi nilishauriwa kuwa makini na ninachokula maana kwanzia wiki ya 36 hadi 40 mtoto anakuwa kwa kasi ya ajabu sana. Hizo wiki mtoto anakuwa amemaliza kujiumba sasa ni kuongezeka ukubwa na kilo tu.
Wewe jitahidi kula kwa kiasi ukila sana utajifungua mtoto mkubwa hadi utashangaa.
Ahsante dear
Mungu ni mwema naamin ataongezeka uzito
Maana kuna mdau kasema alijifungua mwanae akiwa na 2.8kg na hakua na shida yyt
 
Sio Daktari Kwa taaluma ila nafahamu umuhimu wa maini kwenye mlo wa Mama Mjamzito.

Of course maini hayatakiwi yawe mengi as wanasema Vitamin A ikizidi mwilini inaweza kuwa na madhara Kwa mtoto

Ndiyo maana Kwa bajeti niliyoweka hapo juu kwenye maoni yangu (shilingi 200,000) Kwa Mwezi ni wastani wa maini nusu kilo Kila Siku.

Anaweza kula Mchana kidogo na usiku kidogo
anhaa,, asante
 
Sijui kama hiyo mimba ya kwanza ama ya ngapi...

Muhimu ujirekebishe mimba zijazo

Lakini Kwa haraka, hilo suala la kupoteza hamu ya kula itakuwa imechangiwa na ulaji wako wa Chakula usiobadirika.

Jitahidi kubadirisha msosi

Unaweza kula ugali Samaki

Mlo mwingine ukala mtori wa nyama

Next time ukala wali maini n.k

Usisahau pia matunda ama juisi ya matunda kwenye Kila mlo

Kila la heri Mama Kijacho 🙏🙏
Hii ni ya kwanza
Katika safari ya ujauzito kuna mengi nimejifunza
 
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu .
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35 .
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg

Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .

Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia

Naombeni ushauri wenu
Ahsanteni
UNataka kuongeza Uzito wa mtoto kwenye Ujauzito wa wiki 35 Ambao ni 2.71 kg?

Uzito Normal kwa mtoto Wa week ya 35 Huwa ni 2.3kg mpaka 2.5 kg..

Nilifikiri Ungeanza kufanya jitihada za kupunguza Lishe unayokula ili usijifungue Big Baby??

Daktari aliyekushauri kwamba Kilo za mtoto Chache kwa umri wake maybe ali overlook..

Hizo kilo ziko sawa na zimepita Uzito wa Normal ya Mtoto..
So Kuwa na amani kabisa
 
Back
Top Bottom