Msaada wa haraka unahitajika kuhusu ujauzito wangu

Sijui ni dokta gani mi nilijifungua week 36 mtoto wa 2.5 kg. vizuri tu ila kadogoo.clinic ya Kwanza siku 48 alikuwa na kg 5 .clinic ya pili 6kg ya Tatu 7.8kg na nilinyonyesha tu.hakuna shida yoyote pokea mwanao upambane nae duniani
 
Hauna shida Wala usipanic kula vizuri na pumzika ,mtoto atazaliwa salama bila tabu yoyote
Mwanangu wa kwanza nimemzaa na kg 2.8,kalikuwa kadogo hadi niliogopa but he was ok
Saiv ni bonge la kijana,hadi mtaan wamempachika jina la bongenyanya
Watoto wanaozaliwa wadogo ndo huwa wanakuwa haraka nimeamini iliyokea kwangu pia mkuu
 
Kula sana mayai
Kuna mama Kei mmoja nilikuwa namuona

Umri wa mtoto na uzito hata haipo vibaya kwani ni kwenye range sahihi kabisa...

Ila kama anataka mtoto akuwe kwa haraka zaidi anatakiwa aongeze kula vyakula vyenye hamirojo (protein) ambapo mayai ni mojawapo, aongezee na maziwa, beans, nyama nyeupe n.k
 
Hii ni ya kwanza
Katika safari ya ujauzito kuna mengi nimejifunza
Vyema kama umejifunza ila usiache kuomba msaada nyumbani kwenu hasa Kwa Mama/Bibi/shangazi wangeweza kukushauri vyema juu ya ujauzito wako hasa kuhusu msosi/Kulala/kazi/mazoezi n.k
 
Ile siku tulipo kutana nikajua weni Me kwa namna ulivyo kua umevaa pale mpirani.

Najua haukunitambua sema nilikutunza kama spare tyre..😊

Sema wedada una chamba hata left hand ikasome..😜
 
Ina wezekana kweli alioverlook
Ndio maana nimeleta hoja yangu kwa wataalam wengine wa afya wanisaidie
Maana kwa mujibu wa google iliniambia ni normal weight
 
Sijui ni dokta gani mi nilijifungua week 36 mtoto wa 2.5 kg. vizuri tu ila kadogoo.clinic ya Kwanza siku 48 alikuwa na kg 5 .clinic ya pili 6kg ya Tatu 7.8kg na nilinyonyesha tu.hakuna shida yoyote pokea mwanao upambane nae duniani
Ahsante mpnz ninavyomsubiri kwa hamu
Stress kidogo unapanic
 
Ina wezekana kweli alioverlook
Ndio maana nimeleta hoja yangu kwa wataalam wengine wa afya wanisaidie
Maana kwa mujibu wa google iliniambia ni normal weight
Ni normal Sana..
Na usiwe na tabu yoyote wala mawazo yoyote
 
Ile siku tulipo kutana nikajua weni Me kwa namna ulivyo kua umevaa pale mpirani.

Najua haukunitambua sema nilikutunza kama spare tyre..😊

Sema wedada una chamba hata left hand ikasome..😜
Ushimen mkuu
Rudi nyumbn kilevi kimeshakuzidi
Ona sasa unachanganya madesa
 
Uzito wa kawaida huo, asikutishe.
Huyo daktari wa mchongo.
 
2.7 kg hatarishi?? Huyo Dr anakuletea drama zisizo na maana. Mtoto akiwa mkubwa sana ni tatizo pia, itakuwa shughuli kupita hapo chini.
 
Huyo daktari ni gyno au wa kawaida? Kua naye makini
 
Yan huyo dr wako mimba ya wiki 35 anataka mtoto awe na kilo tatu mbona hizo kilo n sawa hata hivo mpaka wiki ya 40 kwa 42 mtoto huwa anakuwa kwa kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…