Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Utajifungua mtoto wa kiume nakuombea heri ujifungue salamaPoleni na mihangaiko ya mchana kutwa
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu.
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35.
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg
Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .
Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia
Naombeni ushauri wenu.
Ahsanteni
Hapana inawekana alikuwa na mambo mengi tuMungu amsaidie Huyu Dr
Nilikua nategemea kwenda kujifungua katika hii hosp lakini kwa hili imebd niwaze pengine
Hosp ganiIna wezekana kweli alioverlook
Ndio maana nimeleta hoja yangu kwa wataalam wengine wa afya wanisaidie
Maana kwa mujibu wa google iliniambia ni normal weight
Dr nashukuru nilifuata ushauri huu na Alhamdulillah nilipunguza baadhi ya protein na ndio katoka na 3.5kgUNataka kuongeza Uzito wa mtoto kwenye Ujauzito wa wiki 35 Ambao ni 2.71 kg?
Uzito Normal kwa mtoto Wa week ya 35 Huwa ni 2.3kg mpaka 2.5 kg..
Nilifikiri Ungeanza kufanya jitihada za kupunguza Lishe unayokula ili usijifungue Big Baby??
Daktari aliyekushauri kwamba Kilo za mtoto Chache kwa umri wake maybe ali overlook..
Hizo kilo ziko sawa na zimepita Uzito wa Normal ya Mtoto..
So Kuwa na amani kabisa