Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Nenda Kibadamo Hotel pale ilipokuwa stendi ya mabasi Ubungo wanapojenga East African Commercial Hub. 35K unapata chumba kizuri tu chenye AC, maji ya moto na kila kitu. Na asubuhi unagonga breakfast...

20231016_151352.jpg
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Nenda buza hata hotel za 30k zipo ila buza kwa Mama kibonge

Au nenda songea kuna hotel inaitwa mfalanyaki Ile ukiwa na 20k kama kwako yani

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Mamilo Inn, Temeke. 40,000/=. Breakfast free. Check B10 JKIA.
 
Enzi zimebadilika. Sio kila ndugu anapenda ukakae kwake ukiwa na mambo yako ya kikazi.... Kumbuka hilo.
Unaongea ivyo sio wewe Bali kahela uliko nako mfukoni ama uwezo wako ndio unaofanya unaongea ivyo. Let us assume uko at the Rock bottom umepanda Lori huna nauli,pakula huna huwezi ukatafuta. Hakuna Zama zilizobadilika bado human behaviors , emotions,needs and wants Ni zile zile tokea kuumbwa kwa dunia. Kwanza hii dunia na teknolojia tuliyo nayo iko chini mno compared of millions of years iliyopita. Soma history vizuri.
Ila naomba tukubaliane kuwa ukiwa na hela lugha unayoongea sio sawa sawa na lugha unayoongea ukiwa huna pesa.
Ama tuweke lugha za mtu akiwa na hela na akiwa Hana Hela
 
Yaani rombo green view hapo Lego...imetulia sana na bei rafiki kabisa..

Nikipata vichenchi vya betting naendaga kuchakatia pale....kishua flani...maana ni ghorofa...

Manzi anajua nnazo ...akisikia jina Hotel
Jengo kwa nje tu.
Ni hotel ya hovyo, fenicha za zamani, mabafu yamechakaa.
Temeke kuna hotel safi kuliko hiyo.
Giraffe, vyumba vya 50k ni vizuri, Mamillo, JS (Chang'ombe Police) na Kilimanjaro mountain lodge (hii ipo maghorofani Tandika).
Hizo ni hotels za uswazi lakini zipo vizuri.
Hotels za kiswazi nzuri na safi utazipata Sinza, manzese na Temeke/Tandika.
Hotels za Ubungo, Kimara ni za hovyo sana.
 
Jengo kwa nje tu.
Ni hotel ya hovyo, fenicha za zamani, mabafu yamechakaa.
Temeke kuna hotel safi kuliko hiyo.
Giraffe, vyumba vya 50k ni vizuri, Mamillo, JS (Chang'ombe Police) na Kilimanjaro mountain lodge (hii ipo maghorofani Tandika).
Hizo ni hotels za uswazi lakini zipo vizuri.
Hotels za kiswazi nzuri na safi utazipata Sinza, manzese na Temeke/Tandika.
Hotels za Ubungo, Kimara ni za hovyo sana.
Giraffe pale ule msululu wa wanawake nyakati za jioni si poa. Mimi Huwa napaona pa hovyo sana. Mamilo pametulia sana. Hakuna kelele kabisa. Rooms ziko poa.
 
Giraffe pale ule msululu wa wanawake nyakati za jioni si poa. Mimi Huwa napaona pa hovyo sana. Mamilo pametulia sana. Hakuna kelele kabisa. Rooms ziko poa.
Wale wanaenda club, hawawezi kuingia pande za Hotel wanaishia restaurant na Club labda mtu aingize kutoka club ila hamna muingiliano kabisa na milango ipo tofauti.
Pia chini pale kuna vijiwe vya kahawa na alkasusu, jiko lao limetulia na pamezungukwa na kila kitu utakachotaka asubhi, mchana na jioni.
namaanisha kila kitu. pia ni wasafi, a/c na maji moto yapo na breakfast asubuhi free ingawa siifagilii.
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.

nenda hapo temeke kuna moja n 25000 tu
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.

au nyingine iko mbagala zakhem tumain hotel bei n 20k tu kifup temeke na mbagala n bei rahis kuliko sehemu zote
 
Back
Top Bottom