Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

IMG_9804.jpg

IMG_9805.jpg

IMG_9806.jpg

IMG_9807.jpg

IMG_9808.jpg

IMG_9809.jpg

IMG_9810.jpg
 
1. Wanyama hotel sinza
2. Lantana hotel sinza
3. Shamool hotel sinza
4. Mambosasa hotel sinza
5. Kings hotel sinza
 
Njoo jayz highlands lodge. Ipo makuburi external opposite na shule ya sekondary makamba
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Utakapofanikiwa utupe mrejesho🙏
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Mwidasy hotel pale Manzese darajani,unapata room nzuri tu
 
Unaongea ivyo sio wewe Bali kahela uliko nako mfukoni ama uwezo wako ndio unaofanya unaongea ivyo. Let us assume uko at the Rock bottom umepanda Lori huna nauli,pakula huna huwezi ukatafuta. Hakuna Zama zilizobadilika bado human behaviors , emotions,needs and wants Ni zile zile tokea kuumbwa kwa dunia. Kwanza hii dunia na teknolojia tuliyo nayo iko chini mno compared of millions of years iliyopita. Soma history vizuri.
Ila naomba tukubaliane kuwa ukiwa na hela lugha unayoongea sio sawa sawa na lugha unayoongea ukiwa huna pesa.
Ama tuweke lugha za mtu akiwa na hela na akiwa Hana Hela

Mbona mimi sio tajiri nina pesa ya kubangaiza tu ila naweza kumudu kulala hotel ya70k sio zaidi kwa wiki na nina ndugu dar wengi tuu wanao nipenda kupindukia na wanaishi downtown, nazungumzia mitaa ya msimbazi upanga karume na posta ya zaman but sijawahi kwenda dar nikalala kwao hua nipo radhi nikalale kigest house hata cha 15 ili nioge na kuweka mizigo yangu ila sio kwa ndugu, kama sina kitu kabsa heli nikalale kwenye maroli ya washikaji nikimaliza kufunga mizigo yangu kariakoo naondoka zangu na roli bila shida.

Kufikia kwa ndugu hua ni maamuzi ya mtu labda kama unashida ya afya au ni shida ya ghafla kama msiba and etc apo nakubal ila unaenda kwa mishe zako binafsi ambazo unaweza kuziplan kabla ya safari af useme shida ndo imekufanya ufikie kwa mtu iyo nakataa.
 
Njoo Massawe hotel Ununio


Bei 8,000 kwa siku

Chai ipo, lunch , massage, Dinner

Ila sharti ni Moja tu uwe CCM na kadi yako ya uanachama
 
Mbona mimi sio tajiri nina pesa ya kubangaiza tu ila naweza kumudu kulala hotel ya70k sio zaidi kwa wiki na nina ndugu dar wengi tuu wanao nipenda kupindukia na wanaishi downtown, nazungumzia mitaa ya msimbazi upanga karume na posta ya zaman but sijawahi kwenda dar nikalala kwao hua nipo radhi nikalale kigest house hata cha 15 ili nioge na kuweka mizigo yangu ila sio kwa ndugu, kama sina kitu kabsa heli nikalale kwenye maroli ya washikaji nikimaliza kufunga mizigo yangu kariakoo naondoka zangu na roli bila shida.

Kufikia kwa ndugu hua ni maamuzi ya mtu labda kama unashida ya afya au ni shida ya ghafla kama msiba and etc apo nakubal ila unaenda kwa mishe zako binafsi ambazo unaweza kuziplan kabla ya safari af useme shida ndo imekufanya ufikie kwa mtu iyo nakataa.
Kwa iyo wewe ndugu zako huwapendi uwasalimie mfahamiane ama Ni umasikini kujikomba kwa ndugu bure.
Hiyo Ni hela usiidharau Kuna mtu anatafuta kibarua Cha 70 kwa wiki kinakosa so shukuru aliye sirini
 
Back
Top Bottom