Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Nenda SAFINA kijitonyama pametulia
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Kagame hoteli nyuma ya ubungo plaza
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
1. Sparrow
0672297877
0657025981

2. Golden Park
Sinza kumekuja just Near KKKT Kanisani
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Fanya 120 nikuelekeze chap
 
Hivi mtu unaenda hotel za zamani kama Kagame ,Kibadamo na nyinginezo utegemee washroom zisitoe harufu za uvundo,mito ya kulalia imefubaa na vumbi ,vishuka vimechokaa

Bora logde mpya inayonukia rangi tiles na masink bado havijashika ukoko.Ikishafisha mwaka siendi tena natafuta mpya.
 
Nenda Kibadamo Hotel pale ilipokuwa stendi ya mabasi Ubungo wanapojenga East African Commercial Hub. 35K unapata chumba kizuri tu chenye AC, maji ya moto na kila kitu. Na asubuhi unagonga breakfast...
Kweli ni pazuri pasafi wamejua ku maintain ubora. Hata chakula Chao ni kizuri
 
Habarini kaka na dada zangu.

Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.

Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.

Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.

Asanteni kwa muda wenu.
Watu wa short time utawajua
 
Back
Top Bottom