Nenda SAFINA kijitonyama pametuliaHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Lubumbashi hotel mbeziMi natafuta ya elfu 8 kwa watakaokujibu na mimi wanijibu pia
Kagame hoteli nyuma ya ubungo plazaHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
1. SparrowHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Fanya 120 nikuelekeze chapHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
My favourite hotel,ni pazuri sana...Nenda Silver paradise iko manzese bei nadhani ina anzia 50,000 pazuri sana.
Mbokomu utaokoa na buku ya vocha.Mi natafuta ya elfu 8 kwa watakaokujibu na mimi wanijibu pia
Duuh! mtu mzima miaka hii loji zimejaa hivi,afikie kwa ndugu?Hauna Ndugu Dar
Zipo kibao Manzese, Shekilango,Ubungo nkMi natafuta ya elfu 8 kwa watakaokujibu na mimi wanijibu pia
Na vile vitanda vyao vimekaa kama kaburi[emoji3]Njoo madake, reca court hotel.... Kuna rooms za 30k mpaka 60k, pako vzr
Kweli ni pazuri pasafi wamejua ku maintain ubora. Hata chakula Chao ni kizuriNenda Kibadamo Hotel pale ilipokuwa stendi ya mabasi Ubungo wanapojenga East African Commercial Hub. 35K unapata chumba kizuri tu chenye AC, maji ya moto na kila kitu. Na asubuhi unagonga breakfast...
Watu wa short time utawajuaHabarini kaka na dada zangu.
Naomba msaada wa Hotel nzuri hapo Dar. Budget yangu ni Tshs 40,000 mpaka 50,000 kwa night.
Natarajia kukaa week nzima hapo Dar es Salaam.
Vitu navyozingatia ni utulivu na usafi wa sehemu.
Asanteni kwa muda wenu.
Hio tumain naionaga hapo barabarani sijui Saba Saba ya mpili mbona naona ipo very local...au nyingine iko mbagala zakhem tumain hotel bei n 20k tu kifup temeke na mbagala n bei rahis kuliko sehemu zote