Msaada wa hotel nzuri Dar es Salaam isiyozidi 50,000

Enzi zimebadilika. Sio kila ndugu anapenda ukakae kwake ukiwa na mambo yako ya kikazi.... Kumbuka hilo.


Kuna baadhi ya watu wamekuja na mapovu kibao kwenye hii comment niliyotoa... Wakati ndio uhalisia wa baadhi ya watu....

Haya .... Ushahidi wa kwanza huu hapa😂






Haya.... Ushahidi wa pili huu hapa😂😂






Haya.... Ushahidi wa tatu huu hapa😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20231109-035315.jpg
    199 KB · Views: 19
  • Screenshot_20231109-045345.jpg
    154.2 KB · Views: 18
Kwa iyo wewe ndugu zako huwapendi uwasalimie mfahamiane ama Ni umasikini kujikomba kwa ndugu bure.
Hiyo Ni hela usiidharau Kuna mtu anatafuta kibarua Cha 70 kwa wiki kinakosa so shukuru aliye sirini

Soma vizuri, nimesema ela ya hotel ninamudu ila kwa maamuzi au uchumi ukiyumba naweza kulala hata kwenye maroli ila sio kwa ndugu labda itokee emergency kama nilivyotaja juu.

Sio kwamba sipendi ndugu ila sipendi kukaa kwa watu, binafsi hua najiona kuna namna najibana pia wao nawabana.
 
Ongeza 20k mkuu uende double view hotel iko Sinza Mapambano! Usiku unajirusha pale La Charlz Club unapata na misosi wa maana!
 
Unajua hotel kweli.
nenda zile zinazoandikwaga vyumba vipo/vimejaa ndo za bei hiyo, zinaitwa guest house
Umewahi kulala hotel yoyote Dar? Hiyo bei anapata hotel kibao, hata akisoge UBUNGO atakutana na hotel kibao za bei hiyo. GUEST na LODGE za DAR bei zake ziko buku 10 hadi 20, acheni kungopea watu, kama mnaishi kwa dada zenu msitake kuwaongopea watu.
 
Be free. You owe me nothing and me too
 
Ubungo yote hotel maji yake no chumvi,mabafu yamefubaa, taulo zimechakaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…