[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] sasa mbona maelezo haya yanapishana na unachokiamini.Nasikitika kukwambia hujui kuhusu uislamu. Yeyote anaefahamu kuhusu uislamu basi hawezi hangaika na dini zingine.
Wacha kudanganya watu kuna hadithi tamu kama wimbo ulio bora? Ile ni ngono live.[emoji23]Cheki huyu naye.wewe kweli rofa.
Ila hadithi tamu kuliko zote ni kukabws na mapepo pangoni, uliishasimuliwa hii???
Weka jibu boss.maana wasoma biblia wenzio pia wanakuja na majibu tofauti.Tatizo lako kuu ni UVIVU na uzembe kila jibu la swali lako lipo kwenye Bible huwezi isoma tulia acha papara
ANZA LEO KUISOMA UKIMALIZA SOMA TENA NATENA NATENA usipende kutafuniwa kila kitu
Heheheheh asanteee. jibu liko wapi? Kama huna jibu acha vijembe vya kike. Mara ngapi nikwambie kama huna majibu ya maswali yangu tulia chini utafakari? Unapelekwa kama ng'ombe?[emoji3] [emoji3] kelele unazisikiaje kwenye maandishi wewe???
Swali lako limajibiwa ila hutaki jibu unachagua kama mama mjamzito anachagua maembe.
Uislamu unatufunza kua ukijua jambo jema lifikishe kwa wenzio usikae nalo. Na tunapoona mtu anaabudu sanamu au mtu mwenzie lazima tuseme. Kama povu linakutoka tulizana jikoni upike[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] sasa mbona maelezo haya yanapishana na unachokiamini.
Nawewe haujui uislamu, au waislam wote hamuujui uislam maana mnahangaika na ukristo mpaka mnakonda.
Yesu ni bwana.... sawa.Yesu ni BWANA,Yesu ni MUNGU, na kila goti litapigwa kwake,na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI MUNGU,asante
Yeye alikuwako kwa baba, yeye alie uzima na nuru ya ulimwengu, yeye ndie mwana wa Mungu, pasipo yeye wala husingekuwepo uumbaji, vyote vimembwa kwa ajili yake, yeye ni mwana wa Mungu, yeye ni mtume wa Mungu, yeye ni nabii wa Mungu, yeye ni upatanisho wa njia ya haki, yeye mwenye nguvu ya Mungu, yeye aliezaliwa kwa roho matakatifu KATIKA kabila la yuda , MUNGU hawez kujitokeza uso kwa uso mbele ya binadam kama ilivikuwa kwa Adam, baada ya anguko la mwanadam Mungu akandaa mpango wa kuwakutanisha binadam na MUNGU, YESU alitakiwa azaliwe aishi kama sisi ili atakapo sulubiwa msalabani na kufa pia nakuzikwa azikwe na dhambi ya ulimwengu,akifufuka na nguvu ya Mungu
Taarab asili yake ni pwani kwenye waislam.sishangai.Uislamu unatufunza kua ukijua jambo jema lifikishe kwa wenzio usikae nalo. Na tunapoona mtu anaabudu sanamu au mtu mwenzie lazima tuseme. Kama povu linakutoka tulizana jikoni upike
Kama waislam mnampenda YESU na kumfuata mafundisho yake, [HASHTAG]#swali[/HASHTAG],Pole ndugu. Nikufunze Jambo ambalo ulikua hulifahamu. Waislamu tunampenda sana Yesu. Na Mambo mengi sana alioyafundisha Yesu sio ndio tunayafuata na kuyatekeleza .ukitaka ushahidi ntakupa.
Suala la uarabu halihusiani kabisa na dini ya kiislamu. Kuna warabu wengi tu ambao sio waislamu tena. Inaonesha unachuki binafsi na waarabu hivyo nakupa pole.
Tatu Anti-christ ni mpinga Yesu and so far mie naona wakristo wengi ndio mnaompinga Yesu maanq mnaenda kinyume kabisa na yote alioyafunza.
Sasa kama umeshindwa kujibu maswali niliyoyauliza ni bora ungekaa kimya tu kuliko kuongea vitu visivyo na maana yoyote.
Hebu nipe andiko ambalo Yesu yeye mwenyewe anasema kua ni Mungu. Au sehemu yoyote ambayo Yesu anasema wamuabudu Yeye.Yesu ni BWANA,Yesu ni MUNGU, na kila goti litapigwa kwake,na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI MUNGU,asante
Kila kinywa kitamtaja kuthibitisha unabii kukifikia.Yesu ni BWANA,Yesu ni MUNGU, na kila goti litapigwa kwake,na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI MUNGU,asante
Dr hiyo maana yake ni kwamba Yesu alikuwepo kabla ya uumbaji.Ukisoma kitabu cha Yohana 1:1-5,Yohana 17:5Hii bado haijaeleweka hasa namba 3 [emoji30]
Kwaiyo Yesu ni Bwana wako?Yesu ni BWANA,Yesu ni MUNGU, na kila goti litapigwa kwake,na kila ulimi utakiri kuwa YESU NI MUNGU,asante
Hilo ni neno pekee ambalo MUNGU amekufungulia ufahamu wako, ukaweza kulitambua, kwanni hujiuliz nan alimtuma na kwa sababu gani alitumwa? Au unajifunza ku-quote?Porojo ndefu wakati Yesu Umwenyewe anasema yeye katumwa.
Yes.subiri kila jambo na wakati wake.huu ni wakati wako kutojua ukifika wa kujua hutahitaji msaada ,utajua tu.Ohh kumbe hatutakiwi kufahamu? Tunatakiwa tusubirie tu?
Unabisha kwasababu humtambui Roho mtakatifu na kazi zake.Biblia inasema wote wanaoongozwa na Roho ndio wana wa Mungu.Kwanza
nasikitika sana kukwambia biblia haikuongozwa na roho mtakatifu. Ukibisha ntakupa ushahidi.
Pili
Hivi kama nikikupa miungu wawili. Halafu mmoja katika miungu hiyo akasema kwamba mwenzie ndio mkuu kuliko yeye. Hapo utamwamini Mungu yupi katika hao wawili?