Msaada wa kimawazo

Chukua million 20 weka UTT hizo risk nyingine unazoziwaza zipo kila mahali, then kwenye million 30 inayobaki chukua million 20 fungua ofisi ya wastani ya printing and branding.

Nunua large format ndogo moja, heat place ya kuchoma logos kwa Tshirst na vikombe pamoja na plotter if necessary. Now kampeni zinakuja so mabango na matshirt ya chama or vyama yataprintiwa sana hasa yale yenye sura za watu kwahiyo ukifanya marketing vizuri na ukawa unaenda outdoor kutafuta tenda utapiga pesa, and trust me hii biashara unaweza kustruggle miezi sita ya mwanzo coz ya ugeni wa ofisi ila baada ya hapo hautabaki kama ulivyo.

Hiyo million 10 nyingine itie bank kama akiba yako na matumizi ya hapa na pale... kila la heri young man.
 
Bhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana πŸ”₯
Khaah πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ hujawah kua na akili,,mimi na magauni wap na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…