Unanitafutia ban nyokoo wewe πΉπΉπΉKimewaka π₯
We naweAende akiwa msafi
Mwenye kisu kikali ndio mla nyama au siyo πNjoo kwangu basi dish langu lipo timamu mtani wangu Mbaga hatomaindi
nafuta nambako sasaiv πNisamehe boss π
Nimeacha πUnanitafutia ban nyokoo wewe πΉπΉπΉ
Wewe na mbaga mna tofauti gani? πΉπΉπΉNjoo kwangu basi dish langu lipo timamu mtani wangu Mbaga hatomaindi
Wewe baki kwa aunt, na December nampa funguo za gariMwenye kisu kikali ndio mla nyama au siyo π
Bhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana π₯nafuta nambako sasaiv π
Mxiewwww vijana wa Arusha wote wadudu tyuu.!! πΉπΉπΉMm sio mhuni babe, mm n muimba kwaya kanisani kwetu
Kibuyu weweWewe na mbaga mna tofauti gani? πΉπΉπΉ
Eh labla funguo za gettoWewe baki kwa aunt, na December nampa funguo za gari
Mm sio wadudu japokuwa nna dyudyu πMxiewwww vijana wa Arusha wote wadudu tyuu.!! πΉπΉπΉ
We jishaue πΉπΉNimeacha π
Kumbe hadi namba mnazoBhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana π₯
Chukua million 20 weka UTT hizo risk nyingine unazoziwaza zipo kila mahali, then kwenye million 30 inayobaki chukua million 20 fungua ofisi ya wastani ya printing and branding.Habari yako mwana jf
Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,
Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50
Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni
Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.
Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni
πΉπΉπΉ ww na mbaga wote vibuyuKibuyu wewe
Nyumba ghali kuliko gari ujueEh labla funguo za getto
Khaah π€£π€£π€£π€£ππππππΎππΎππΎ hujawah kua na akili,,mimi na magauni wap na wapiBhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana π₯
Sawa na usiniite tenaπΉπΉπΉ ww na mbaga wote vibuyu
πΉπΉπΉ nouma sana.!!Kumbe hadi namba mnazo