Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Unanitafutia ban nyokoo wewe ๐น๐น๐นKimewaka ๐ฅ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitafutia ban nyokoo wewe ๐น๐น๐นKimewaka ๐ฅ
We naweAende akiwa msafi
Mwenye kisu kikali ndio mla nyama au siyo ๐Njoo kwangu basi dish langu lipo timamu mtani wangu Mbaga hatomaindi
nafuta nambako sasaiv ๐Nisamehe boss ๐
Nimeacha ๐Unanitafutia ban nyokoo wewe ๐น๐น๐น
Wewe na mbaga mna tofauti gani? ๐น๐น๐นNjoo kwangu basi dish langu lipo timamu mtani wangu Mbaga hatomaindi
Wewe baki kwa aunt, na December nampa funguo za gariMwenye kisu kikali ndio mla nyama au siyo ๐
Bhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana ๐ฅnafuta nambako sasaiv ๐
Mxiewwww vijana wa Arusha wote wadudu tyuu.!! ๐น๐น๐นMm sio mhuni babe, mm n muimba kwaya kanisani kwetu
Kibuyu weweWewe na mbaga mna tofauti gani? ๐น๐น๐น
Eh labla funguo za gettoWewe baki kwa aunt, na December nampa funguo za gari
Mm sio wadudu japokuwa nna dyudyu ๐Mxiewwww vijana wa Arusha wote wadudu tyuu.!! ๐น๐น๐น
We jishaue ๐น๐นNimeacha ๐
Kumbe hadi namba mnazoBhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana ๐ฅ
Chukua million 20 weka UTT hizo risk nyingine unazoziwaza zipo kila mahali, then kwenye million 30 inayobaki chukua million 20 fungua ofisi ya wastani ya printing and branding.Habari yako mwana jf
Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,
Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50
Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni
Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.
Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni
๐น๐น๐น ww na mbaga wote vibuyuKibuyu wewe
Nyumba ghali kuliko gari ujueEh labla funguo za getto
Khaah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐๐พ๐๐พ๐๐พ hujawah kua na akili,,mimi na magauni wap na wapiBhana usifute namba yangu, napenda wasap status zako zilivyo za moto afu kile kigauni cha jana ๐ฅ
Sawa na usiniite tena๐น๐น๐น ww na mbaga wote vibuyu
๐น๐น๐น nouma sana.!!Kumbe hadi namba mnazo