Msaada wa kisheria: Mazingira anayolelewa mwanangu wa mwaka mmoja si salama nataka nimchukue

Msaada wa kisheria: Mazingira anayolelewa mwanangu wa mwaka mmoja si salama nataka nimchukue

Mwakitombeo

Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
59
Reaction score
73
Mwaka 2019 mwezi wa tano nilibahatika kuzaa na binti mmoja ambae nilimpenda sana ila tulikuja kushindwana baada ya kuwa na tabia za kiswahili na kuwa mtu wa starehe yale maisha yalinishinda tukatengana.

Nikawa natoa huduma za mtoto kipindi yupo kwao kitu kilicho nifanya mpaka naandika uzi huu namuonea huruma mwanangu kwani mama yake amekua mtu club anarudi amelewa akienda club mtoto anamuachia mdogo wake wa kiume kinacho niuma kuna siku nime mweleza ukweli akanitumia meseji kuanzia leo tusijuane mtoto alietuunganisha amesha fariki niliumia sana sijui alifikilia nini kunitumia meseji kama iyo.

Mwanangu nimefanana nae sana je sheria inasemaje nataka kumchukua mwanangu nimlee mwenye we kwa nazingira anayolelewa na mama yake sio salama wajuzi wa sheria mje mnisaidie kijana mwenzenu.
 
Duh kaza moyo ndg yangu hopeful wajuzi watakuja
 
Nenda dawati la jinsi wanaweza kukusaidia
Ila lazima ueleze kwa undani mtoto Hugo atakwenda kuishi na nan ?

Mm mtot Wang mama yake alimchukua Ila alimshidwa akanirudishia nwenywe nipo nae mpaka sasa yupo darasa la pili
 
Kupewa mtoto labda iwe hiari tu ya mama yake. Sheria inasema mtoto anatakiwa kukaa na mama yake mpaka miaka nane 8
 
Hii kitu inasumbua sana.
Mimi nina mtoto wa miezi 9 sasa mama yake kamkimbiza anaishi nae kwao. Inaniuma sana mwanangu kuishi mbali na mimi kwani uwezo wa kumtunza ninao ila tofauti zetu ndio zinafanya mtoto alelewe mbali na mimi.
 
Back
Top Bottom