Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok,sawa.Mimi bandidu zaid ya anco magu
ngosha nchi ya watu wote hiiNaona unanishambulia kwani ukiwa msukuma unakosa haki ya kuyafungulia kes mafisad
Mfupa uliomshinda fisi wewe panya utauweza wapi? Hilo haliwezekani, hata mamlaka husika zimepiga faint, wachana nalo, watu kwa sasa tunawaza jinsi ya kuwashughulikia Acacia wezi wa mchana, jiunge nasi!Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
CCM ndiyo imetufikisha hapa. Si unamuona bwana yule mweny roho mbaya mpaka kafuta ajira, na sasa hiv anakula rambi rambi za watu.Mimi bandidu zaid ya anco magu
tuliza kijambio usivamie jijiNi waziri wa kwenu mirembe
Nenda mahakama ya Mafisadi ukiwa na ushahidi 'Wanakusubiri kwa hamu'Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Unacgejesha ndugu.Jamaa aliondoka kabla ya dili kutiki ila waliobaki huko ndo walilamba kila kitu wakaishia kupiga kelele za mwizi mwizi! Kwa hiyo kabla hujathubutu angalia usje kuwa unatafuta kiAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
tafuta kiki za kijingaHayo ya kumuona aki sign niachie mimi wewe subili kumuona nikimubuluta lupango tu