Msaada wa kisheria namna ya kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu aliyekwapua pesa za Richmond

Msaada wa kisheria namna ya kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu aliyekwapua pesa za Richmond

ww utakuwa msukuma, eti kumutupa,nitamufikisha ww lowasa ajahusika kwenye madini,richmond sio madini
Naona unanishambulia kwani ukiwa msukuma unakosa haki ya kuyafungulia kes mafisad
 
Kajiabisha bure huyu jamaa,
ndo tatizo la kutosoma,yaani unakuwa unarukia tu ukidhani umepatia kumbe wapi.
In short kijana nanyupu hakuna kitu kinaitwa pesa za Richmond..
Umechemsha..
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Mfupa uliomshinda fisi wewe panya utauweza wapi? Hilo haliwezekani, hata mamlaka husika zimepiga faint, wachana nalo, watu kwa sasa tunawaza jinsi ya kuwashughulikia Acacia wezi wa mchana, jiunge nasi!
 
Corruption Court Ipo
Muhimu Fuata Utaratibu Tu
 
Mimi bandidu zaid ya anco magu
CCM ndiyo imetufikisha hapa. Si unamuona bwana yule mweny roho mbaya mpaka kafuta ajira, na sasa hiv anakula rambi rambi za watu.
Itakuwa vizuri sana, miaka inayokuja lazima nifanye vugu vugu tupate katiba mpya na tume huru. Ili kuwakomesha watu wanaojifanya miungu watu
 
nyie ndio mnao dangqnywa kuwa Richard + monduli= Richmond,wakati Richmond ni mji uko usa
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Nenda mahakama ya Mafisadi ukiwa na ushahidi 'Wanakusubiri kwa hamu'
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Unacgejesha ndugu.Jamaa aliondoka kabla ya dili kutiki ila waliobaki huko ndo walilamba kila kitu wakaishia kupiga kelele za mwizi mwizi! Kwa hiyo kabla hujathubutu angalia usje kuwa unatafuta ki
 
Back
Top Bottom