Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 582
imevamiwa na nani?jf imevamiwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imevamiwa na nani?jf imevamiwa sasa
We c mzalendo mkuu fanya kuutafuta nayeye umsweke rumande or nikupe ushahidi umshughulikieUshaid wa huyo kuhusu huo wiz sina
Ripoti ya MAKWEMBE ndiyo ipi hiyo?????? Lumumba mna shida kweli, hivi huyu naye mnamlipa???Ushaid ninao ripot nzima ya makwembe nimeipitia
Alinunua meli mbovu akaikabidhi jeshi akaanza kututishia, (Eti mnaoendelea kuijadili hii meli jueni mnajadili manuari ya kijeshi na jeshi haijadiliwi)CCM NDIYO IMETUFIKISHA HAPA. Ni vizuri kijana wangu. Nenda kweny mahakama ya mafisadi ila usisahau kumshitaki pia yule bwana mwenye roho mbaya kuliko viongozi wote tz
1. Aliyefuta ajira
2. Kafuta increment
3. Kaongeza makato ya helsb 15% bila ridhaa ya watu
4. Kala rambi rambi
5. Kamwacha fisadi wa elimu Bashite
6. Aliuza nyumba za serikali
7. Kafuta fao la kujutoa
Ha ha ha haAlinunua meli mbovu akaikabidhi jeshi akaanza kututishia, (Eti mnaoendelea kuijadili hii meli jueni mnajadili manuari ya kijeshi na jeshi haijadiliwi)
Hadi afikishe 40 atakuwa ametesa sana na siasa za Tanzania.Kumbe una miaka 25?Hongera kijana
Jaribu kwanza Kumpeleka Baba yako na Mama yako Mahakamani kwanzaa kwa Kuzaa Kijana mpumbavu kama weweAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka