Msaada wa kisheria namna ya kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu aliyekwapua pesa za Richmond

Msaada wa kisheria namna ya kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu aliyekwapua pesa za Richmond

Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Fukua Makaburi
 
Wapitie akina Lissu na Chadema, wakupe zile data walizokuwa nazo, zilizowapa nguvu ya kumuweka kwenye Tovuti yao kama LIFISADI NUMBER ONE. Wakikupa hilo na umuajiri LISSU kama wakili wako, basi utamfunga huyu fisadi.

Lissu akikuringia unaweza kumshitaki TLS
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka


Huwezi kumushitaki Lowassa bila Kikwete. Pigania katiba ibadilishwe ili wote wawili wawekwe kizimbani kwa kuhujumu uchumi wa Watanzania millions 55
 
Ushaid ninao ripot nzima ya makwembe nimeipitia
Sasa msaada unaotaka ni UPI au akili yako imejaa uji uji maana ushahidi unao Na we we ni mtanzania,go go to the court,ila angalia usije ishia hukohuko usirudi ten kitaa.
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Haya ni mawazo ya chooni wakati unasukuma divi.
 
Huo ni mfupa uliomshinda fisi achana nao ndugu.. Huna locus standi
 
Tatizo siyo yeye anayejua mchongo wote ni DHAMBI Mwakyembe aliyeficha hadharani. Mm ningependa amwage mboga tu
 
ok kijana mimi nitakusaidia kurekebisha mashitaka,mimi kitaluma ni wakili ntakusaidia hii case kwa gharama ndogo sana,

kwani uko wapi tukutane tupange mkuu..
Ila usimwambie mtu yeyote kuwa unaenda kukutana na mwanasheria,iwe siri yako
Home kwangu ni igoma hapa ndama biashara ni mjin rwagasore mjin mwanza
 
6267b4153d706973590d3a7ca0daf6db.jpg
nafikili mmoja kati ya hawa atakupa ushahidi na atakusaidia kwa kiasi kikubwa. Ova
Lakin hao hawawez kunipa ushilikiano wa kutosha maana ni wachumia tumbo na kitambo washapokea mgao wao
 
Andaa furushi la matusi,kejeli na mengineyo mengi kutoka kwa nyumbu wasioona,sikia juu ya malaika wao ambaye muda si mrefu alikuwa shetani wao
Matus yao kwangu wala hata hayanitishi
 
Hivi kati ya waziri mkuu na Rais nani boss wa mwenzie je inawezekana waziri Mkuu akafanaya Jambo Rais akawa ajui
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond

Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo

Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka


!
!
Kiroporopo wa kukurupuka aliahidi mahakama ya Mafisadi katika nchi ya dang andika. Subiri subiri
 
Back
Top Bottom