Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengine hakuyaandika , aliogopa nchi kutikisika .Ninao nimeuchspisha
This is to say, wakati ule tunahangaika na mgao mkali Wa umeme uliozaa Richmond huyu dogo alikua na miaka 14.. Yaani ndio alikua darasa la 6/7..!! Leo kapata Smartphone anataka kumshtaki mzee Ngoyai?Kumbe una miaka 25?Hongera kijana
Hiyo haijalishi mkuu lakin ukweli mzee wenu ngoyai ni jiz kubwaThis is to say, wakati ule tunahangaika na mgao mkali Wa umeme uliozaa Richmond huyu dogo alikua na miaka 14.. Yaani ndio alikua darasa la 6/7..!! Leo kapata Smartphone anataka kumshtaki mzee Ngoyai?
Maisha niliyo nayo si ya mchezo mchezo watu kama nyie kwangu ni wasomba mabox ya video na dek dukan kwanguKijana Nitakupataje Nikupe Ulaji? Mana Kwa Akili Hizi Tz Kuendelea Ndoto, Kumbukeni Kuna Maisha Baada Ya Siasa. Unasema Fisadi? Mahakama Ndio Chombo Pekee Cha Kutoa Haki Na Si Vingnevyo. Wanadamu Tuishi Tukijua Pamoja Na Yote Ila Mwisho Hufanana.
Hao wanaume zako wameshindwa utawezaje wewe mtoto si rizikiAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
ok kijana mimi nitakusaidia kurekebisha mashitaka,mimi kitaluma ni wakili ntakusaidia hii case kwa gharama ndogo sana,Maisha niliyo nayo si ya mchezo mchezo watu kama nyie kwangu ni wasomba mabox ya video na dek dukan kwangu
Acha kihere here.Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Andaa furushi la matusi,kejeli na mengineyo mengi kutoka kwa nyumbu wasioona,sikia juu ya malaika wao ambaye muda si mrefu alikuwa shetani waoAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Usisahau kumfungulia mashtaka na yule aliyehonga nyumba za serikali kwa hawara zake na kununua kivuko cha bagamoyo kibovu kwa ufisadi mkubwa sanaAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka