N'gwanantugwa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 347
- 345
Fukua MakaburiAman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Bora umweleze...maana huyo ngosha kapotea njia[emoji1]ww utakuwa msukuma, eti kumutupa,nitamufikisha ww lowasa ajahusika kwenye madini,richmond sio madini
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
hawezi kuwa sawa kaanza na richmond (umeme) kamalizia na madini. yaani hajui hata pa kuanzia. naona kama kakosa sifa za kuendelea na masomo.Uko sawa kweli wewe?
Sasa msaada unaotaka ni UPI au akili yako imejaa uji uji maana ushahidi unao Na we we ni mtanzania,go go to the court,ila angalia usije ishia hukohuko usirudi ten kitaa.Ushaid ninao ripot nzima ya makwembe nimeipitia
Haya ni mawazo ya chooni wakati unasukuma divi.Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka
Home kwangu ni igoma hapa ndama biashara ni mjin rwagasore mjin mwanzaok kijana mimi nitakusaidia kurekebisha mashitaka,mimi kitaluma ni wakili ntakusaidia hii case kwa gharama ndogo sana,
kwani uko wapi tukutane tupange mkuu..
Ila usimwambie mtu yeyote kuwa unaenda kukutana na mwanasheria,iwe siri yako
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwA katika bwana naomba msaada wa kisheria ni njia gan au jinsi gan nitamufikisha mahakama mwizi mkubwa wa richmond
Fisad huyo ambaye kwa namna.. moja ama nyingine ndo katufikisha hapa tulipo
Naomba wajuvi wa sheria mnisaidie niweze kumutupa lupango huyu jiz kubwa aliyesaini mirad ya wiz wa madin ambaye kwa sasa alikimbilia upande wa pili kisa na chanzo kikiwa ni uroho wa madaraka