Msaada wa kisheria namna ya kumfikisha mahakamani Waziri Mkuu mstaafu aliyekwapua pesa za Richmond

Mleta mada mbona umejaza nzi huko manyu vipi huna maji ya kutawadha? Usiwe unakurupuka choon na kuvamia smartphone paka shume weye
 
Alinunua meli mbovu akaikabidhi jeshi akaanza kututishia, (Eti mnaoendelea kuijadili hii meli jueni mnajadili manuari ya kijeshi na jeshi haijadiliwi)
 
Hivi kuna WAZIRI mkuu mstaafu nchi hii??!!!!
 
Jaribu kwanza Kumpeleka Baba yako na Mama yako Mahakamani kwanzaa kwa Kuzaa Kijana mpumbavu kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…