Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

chief_mtemi

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
529
Reaction score
121
Hivi kwa wale wenye browing 9mm kuna ili la tatizo la firing pin kushindwa kuchoma risasi ili ilipuke yani unavuta trigger na inakubari lakin hailipuki na ukiangalia risasi ni kama imeguswa kidogo sana kiasi cha kushindwa kulipuliwa coil zote zinavuta risasi vyema paka chemba lakin kwenye kulipua ndo shida na hili tatizo limeanzasi muda mrefu hasa nimegundua nilipokuwa shamba kwaajiri ya kupiga risasai kadhaa katika testing ya kawaida mwenye idea pls
 
Mura bastora wewe ya nini?marungu na mapanga mbona yanatutosha!kumbe hadi kikristo mnaweka r kwenye l nilidhani kiswahili tu
 
Hivi kwa wale wenye browing 9mm kuna ili la tatizo la firing pin kushindwa kuchoma risasi ili ilipuke yani unavuta trigger na inakubari lakin hailipuki na ukiangalia risasi ni kama imeguswa kidogo sana kiasi cha kushindwa kulipuliwa coil zote zinavuta risasi vyema paka chemba lakin kwenye kulipua ndo shida na hili tatizo limeanzasi muda mrefu hasa nimegundua nilipokuwa shamba kwaajiri ya kupiga risasai kadhaa katika testing ya kawaida mwenye idea pls
dah! mkuu unatutishia au?
 
tatizo sio firing pin hii kitu kitaam inaitwa misfire.Hili neno asili yake lipo katika Firearms Terminology ambayo kiualisia huwa hivi; A misfire occurs when a shooter attempts to fire a gun and is met with failure instead of a bang.
hapo ndipo tatizo ulipoliona, sasa hii usababishwa na nini hasa

sababu za misfire zipo nyingi mkuu na zinatatulika umesema kuwa gun performed its function properly sasa jaribu kuangalia vitu hivi; primer,rim na rimfire kama hakuna tatizo angali ammunition zako zitakua sio nzuri just change it.
 
tatizo sio firing pin hii kitu kitaam inaitwa misfire.Hili neno asili yake lipo katika Firearms Terminology ambayo kiualisia huwa hivi; A misfire occurs when a shooter attempts to fire a gun and is met with failure instead of a bang.
hapo ndipo tatizo ulipoliona, sasa hii usababishwa na nini hasa

sababu za misfire zipo nyingi mkuu na zinatatulika umesema kuwa gun performed its function properly sasa jaribu kuangalia vitu hivi; primer,rim na rimfire kama hakuna tatizo angali ammunition zako zitakua sio nzuri just change it.

chief_mtemi
Wakati mwingine misfire inatokea kama spring za magazine zimelegea hivyo risasi kushindwa kupanda na kuingia vizuri kwenye chamber. Vilevile angalia ushikaji wako wa hiyo bastola. Bastola nyingi usipoishika vizuri na kubonyeza guard iliyopo kwenye kitako, husababisha misfire au kutopiga kabisa. Sababu nyingine ya misfiring na jamming ni uchafu uliopo kwenye bastola. Ni muhimu kusafisha bastola yako mara baada ya kuitumia na kuweka mafuta ya bunduki kwa kiasi chake. Tatizo likizidi, peleka bastola hiyo kwa fundi wa bunduki aangalie hiyo firing pin kama ni nzima.
 
tatizo sio firing pin hii kitu kitaam inaitwa misfire.Hili neno asili yake lipo katika Firearms Terminology ambayo kiualisia huwa hivi; A misfire occurs when a shooter attempts to fire a gun and is met with failure instead of a bang.
hapo ndipo tatizo ulipoliona, sasa hii usababishwa na nini hasa

sababu za misfire zipo nyingi mkuu na zinatatulika umesema kuwa gun performed its function properly sasa jaribu kuangalia vitu hivi; primer,rim na rimfire kama hakuna tatizo angali ammunition zako zitakua sio nzuri just change it.

thnks mkuu.najua misfire nikitendo silaha kushindwa kushoot sasa yangu ile firing pin namaanisha ile pin inayochoma risasi ikifaile ukiangali risasi imegongwa kidogo sana utafikir imekwaruzwa tu na sindano na inatupa bullet kama kawa baada ya trigger comand sema ndo hai shoot
 
Mpe mtu yeyote ashike halafu wewe simama kwa mbele,mwambie atest kushoot huku ukimwangalia,ikilipuka mwambie akuelekeze amefanyaje!!!!
 
Mpe mtu yeyote ashike halafu wewe simama kwa mbele,mwambie atest kushoot huku ukimwangalia,ikilipuka mwambie akuelekeze amefanyaje!!!!

kwani milembe umetoroka au umeruhusiwa mbona unataka wafukizisha madaktari waliokuruhusu wafukuzwe kazi
 
Fuata wataalamu walipo na watakueleza kitu sahihi. shida moja sina uhakika kama unamiliki pistol hiyo kihalali kwani ukienda polisi watakusaidia vizuri sana hasa kipindi hiki cha kulipia leseni ni wakati muafaka kufanya hivyo
. La sivyo maneno mengine hapo hayakusaidii kitu zaidi ya kukutafutia hatari kubwa zaidi mbeleni, " Ole wako usije ukachungulia tundu la mtutu kama risasi inatoka"
 
mkuu amia kwenye Glog utasahau hayo mambo ya misFire. glock-17.jpg
 
Fuata wataalamu walipo na watakueleza kitu sahihi. shida moja sina uhakika kama unamiliki pistol hiyo kihalali kwani ukienda polisi watakusaidia vizuri sana hasa kipindi hiki cha kulipia leseni ni wakati muafaka kufanya hivyo
. La sivyo maneno mengine hapo hayakusaidii kitu zaidi ya kukutafutia hatari kubwa zaidi mbeleni, " Ole wako usije ukachungulia tundu la mtutu kama risasi inatoka"

mkuu namiliki kihalali if nt privacy ningeattach lesen polisi nilishawaona tatizo nao utaalamu wa haba wakaniambia niwapekee tool box wamekaa nayo wiki mwisho wakaniambia nirudi tanganyika ammy nilikonunua wao wanamfundi kwao wa kwao wanakuja kwa order maalumu ama waliniambia nisubiri paka dec sasa jf tuna wataalamu mbalimbali ndo maana nimeleta huu uzimwazoni waliniambia inaweza kuwa batch ya risasi nilizonunua utovu wake ndo kimeo nimebadili risasi bado tu
 
Kama huta maindi kiviiiile , ikate kitako uone mziki wake....yaaani ni mwendo wa :laser:😛ainkiller:
 
Bunduki yako itakuwa na mojawapo ya shida hizi:
1. Primer ( hope ni centrefire ammo) inaweza kuwa hai-ignite kwa kutoa sparks thru primer hole kwenda kuwasha gunpowder. Hii haina ujanja ikiwa primer ndio tatizo ni kununua ammo nyingine tu

2. Firing pin head imepungua urefu wake(tear and wear) labda kwa kutu, kugongwa kiasi kuwa hata hummer ikigonga msumari bado nguvu ya kugusa primer haitoshi (not at threshold)

3. Uchafu, jaribu kulainisha kwa kutumia gun oil ama kibongo bongo oil no 40. Hasa sehemu za firing pin hole, ejector n extractor!

4. Gunpowder kuwa expired, hata iweje haiwaki. Dawa ni kununua ammo mpya tu

Naimani tatizo lako litakuwa lmekwisha mkuu
 
chief_mtemi
Wakati mwingine misfire inatokea kama spring za magazine zimelegea hivyo risasi kushindwa kupanda na kuingia vizuri kwenye chamber. Vilevile angalia ushikaji wako wa hiyo bastola. Bastola nyingi usipoishika vizuri na kubonyeza guard iliyopo kwenye kitako, husababisha misfire au kutopiga kabisa. Sababu nyingine ya misfiring na jamming ni uchafu uliopo kwenye bastola. Ni muhimu kusafisha bastola yako mara baada ya kuitumia na kuweka mafuta ya bunduki kwa kiasi chake. Tatizo likizidi, peleka bastola hiyo kwa fundi wa bunduki aangalie hiyo firing pin kama ni nzima.

ok kuna fundi wamjua?spring ni nzima maana nikivuta risasi inapush vyema paka chemba na upande wa gaurd haina shida maana napo vuta trigger mkuu nahisi firing pin isingegonga risasi ingekuwa ngumu kinachotokea inagonga vyema na kutapika vizuri kama inatoa caliber kumbe risasi nzima na wakati inaruhusu risasi nyingine kupanda kama kawa yaani sina amani maana huyu ndo kijana wangu msaidizi mkuu kama unafundi nipe namba yake
 
Bunduki yako itakuwa na mojawapo ya shida hizi:
1. Primer ( hope ni centrefire ammo) inaweza kuwa hai-ignite kwa kutoa sparks thru primer hole kwenda kuwasha gunpowder. Hii haina ujanja ikiwa primer ndio tatizo ni kununua ammo nyingine tu

2. Firing pin head imepungua urefu wake(tear and wear) labda kwa kutu, kugongwa kiasi kuwa hata hummer ikigonga msumari bado nguvu ya kugusa primer haitoshi (not at threshold)

3. Uchafu, jaribu kulainisha kwa kutumia gun oil ama kibongo bongo oil no 40. Hasa sehemu za firing pin hole, ejector n extractor!

Naimani tatizo lako litakuwa lmekwisha mkuu

nashukuru mkuu gun oil ninayo ngoja nijaribu then nikishindwa basi niwacheki wataalamu wanichekie hizo troubleshooter zingine kam ulivyonielekeza
 
Back
Top Bottom