Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

Hongera mkuu, hayo mambo huwa yanatokea mda mwingine hata hujatarajia. Pia unapoitunza hakikisha
1. Hufungi ktk nylon(zero ventilation)
2. Weka ktk diary yako siku za kuifungua na kuisafisha mfano kila juma2 ya kwanza ya mwezi
3. Chek ikiwa expiry date zinakaribia ili upate kujua lini unatakiwa kutotumia tena
4. Kwa sheria ya Tz unaruhusiwa kuwa mpk silaha 3 tofauti, kama waweza tafuta pump-action shotgun nzuri sana kwa self defence ikiwa uko home tu. So ukiwa na s/gun 1, pistol na moja kati ya .458, .30-06 au .375 tosha sana.

Kila la kheri mkuu

thanks mkuu pia nilianza na shortgun kabla ya huku ukweli naikubali sana shortgan japo sio semi autokama unaspeed nzuri ya pumping adui ngumu kujua shortgun na haijawai nizingua hata siku moja na jana nimeosha zote leo shamba nimejaribu zote shwari kabisa sema sikuona digidigi tu
 
Pole mkuu
Zingatia sana usafi na.kama hivyo hukuwepo muda mrefu then it was a must kuisafisha kwa kutoa slide kabisa!!!!!!

Avoid pia dry fires unapotoa risasi baada ya kuwa hauko katika aura unaposqueeze trigger zuia hammer ili isipige firing pin,hii sio nzuri kwa maisha ya pin husika!!!!

thanks mkuu nitakuwa nayazingatia sana hayo maana hili limenittoa jasho sana
 
Waheshimiwa naomba kujuzwa taratibu za kumiliki Pistol kihalali, na aina nzuri ya pistol. CC Jerrymsigwa, chief_mtemi, saragossa, Dingswayo, na wajuzi wengine.

mkuu kwanza kabla ya yote inabidsi uwe na sababu ya msing kwann unataka kumiliki silaha una nn hasa cha kuishawishi kamati ya ulinzi na usalama kuanzia ya wilaya mkoa paka taifa ukiwana iyo sababu jenga mausiano mazuri sana na hiyo serikali ya mitaa maana unaanzia huko nao huwa wanafuatwa kisiri kabla ya wewe kuitwa na kuhojiwa ukiwa poa unaweza ni pm nikupe proceedures japo kuna wanaosema kuna short cuts kwangu sipendi maana mambo yenyewe ya sasa yamechafuka unaweza fumua ubongo wa mtu then mwishowe nawe unakuwa mtuhumiwa
 
Last edited by a moderator:
Naomba kujua madhara ya kuhufadhi gun kwenye nylon?na risasi je Jerrymsigwa

Kiufupi ni kuwa katika hewa kuna unyevunyevu ambao ni mchanganyiko wa mvuke na hew=HUMIDITY. Unapofunga mfuko tight na ukaweka katika eneo ambalo kuna factor ya kubadili temp kati ya ndani na nje ya mfuko kuna uwezekano mkubwa ndani ya mfuko kukatokea condensation(unyevunyevu) hivyo, Oxygen + Iron(Ferrum II)=Rust na kuharibu kabisa ufanyaj kazi wa bunduki

Kuhusu risasi kuna tofauti kdg. Maganda mengi yanatengenezwa kwa iron, lakini inakuwa galvanised ila vichwa huwa tofauti tofauti kwa mfano za kuuwa watui.e pistols, semi and fully automatic rifles(Millitary ammo) huwa ni lead(Pb) ama kwa kiswahili huitwa risasi hizi hazipati kutu kutokana na madini husika ingwa huenda kuna mtu ana elimu zaidi anaweza eleza zaidi.

Vile vile risasi za kuuwa wanyama waharibifu na uwindaji huwa na vichwa mchanganyiko madini ya risasi na copper nazo sina hakika kama zinapata kutu kwa kutunza katika plastic.


Matunzo ya hizi vitu zinataka pasiwe na unyevu ama joto kali, tunza katika mazingira salama na safi. CHA MSINGI KAMA UNA BUNDUKI AINA YEYOTE KUMBUKA AMRI 10 za bunduki utaitumia vyema kwa ulinzi wako na watu wengine
 
thanks mkuu pia nilianza na shortgun kabla ya huku ukweli naikubali sana shortgan japo sio semi autokama unaspeed nzuri ya pumping adui ngumu kujua shortgun na haijawai nizingua hata siku moja na jana nimeosha zote leo shamba nimejaribu zote shwari kabisa sema sikuona digidigi tu

Sawa mtemi, vizuri ukapata double barrel kwa vile ina trigger mbili so unakuwa na guarantee. Nikusahihishe kidogo mkuu, sio shortgun ni shotgun ikiwa na maana ni muunganiko wa neno shot+ gun. Shot ikimaanisha zile goroli(marisaa) ambazo hutumika kama risasi, gun=bunduki. Asante mkuu
 
Waheshimiwa naomba kujuzwa taratibu za kumiliki Pistol kihalali, na aina nzuri ya pistol. CC Jerrymsigwa, chief_mtemi, saragossa, Dingswayo, na wajuzi wengine.

Mkuu sina kumbukumbu sana na procedure za kumiliki dah ninasahau siku nyng nimesoma kipindi nikiwa chuo-it was just for exam!
Lakini kuna mlolongo mrefu kuanzia mtaani kwako baraza la usalama la mtaa,kitongoji,kata,wilaya,mkoa/jiji na mwisho huwa ni baraza la usalama la taifa ndipo unaweza pewa go ahead kununua.

Aina za Bunduki nzuri una maanisha nini? uzuri wa shabaha ama portability?Kiufupi tu unaposikia Browning 9mm ina maanisha kuwa hiyo ni bunduki yenye brand ya Browning na ukubwa wa kipenyo cha mtutu (kwa ndani) au kwa kizungu wanaita bore ni milimita 9. Hiyo ni kubwa sana tu navyojua hiyo haipit kwa bore ya SMG,AK47,LMG ambazo hizi zote zinatumia risasi yenye upenyo wa 7.62mm so unaweza ukacompare ukaona jinsi risasi ya hiyo pistol ina kipenyo kikubwa. Ingwa haimaanishi kipenyo pekee ndio factor ya muhimu ama kusema inaizid SMG et al, noooo!! isipokuwa inakuwa na mshindo mkubwa pia impact to the target inakuwa kubwa kulinganisha na shorter diameter pistol.

Specifications ziko nyingi isipokuwa nimekupa hiyo ambayo huenda wengi ndio wanaangalia, kwani kuna pistol za 6mm pia nk
Soma kwanza AMRI 10 za bunduki na uelewa kabla hujafikiria kuwa na bunduki
 
Mkuu Beretta hazina matatizo kabisa ya kumisfire you should try to check it.
 
Ni tatizo la kawaida kwa hizo bastola. Nenda Tanganyika arms watakuchongea nyingine au pale karakana ya polisi kilwa road. Pia epuka tabia ya kuvuta trigger wakati chamber iko empty. Tabia ya namna hiyo ikirudiwa mara kwa mara huwa inaharibu firing pin.

ok ok ok mkuu nimekupata kumbe kuvuta trigger while the chamber is empty nayo ni tatizo sikupata fahamu hii kitu
 
Sawa mtemi, vizuri ukapata double barrel kwa vile ina trigger mbili so unakuwa na guarantee. Nikusahihishe kidogo mkuu, sio shortgun ni shotgun ikiwa na maana ni muunganiko wa neno shot+ gun. Shot ikimaanisha zile goroli(marisaa) ambazo hutumika kama risasi, gun=bunduki. Asante mkuu

oooh thanks msigwa.hivi hizi double barrel ni za kuvunja takosina idea nazo sana kama sio zinachukua risasi ngapi
 
Hongera mkuu, hayo mambo huwa yanatokea mda mwingine hata hujatarajia. Pia unapoitunza hakikisha
1. Hufungi ktk nylon(zero ventilation)
2. Weka ktk diary yako siku za kuifungua na kuisafisha mfano kila juma2 ya kwanza ya mwezi
3. Chek ikiwa expiry date zinakaribia ili upate kujua lini unatakiwa kutotumia tena
4. Kwa sheria ya Tz unaruhusiwa kuwa mpk silaha 3 tofauti, kama waweza tafuta pump-action shotgun nzuri sana kwa self defence ikiwa uko home tu. So ukiwa na s/gun 1, pistol na moja kati ya .458, .30-06 au .375 tosha sana.

Kila la kheri mkuu

samahani mkuu . hii expiry date ni ya bastola au ni risasi?
asante
 
Mkuu HPI kwanza fanya research ya silaha hizo kwa internet halafu kama alivyosema mkuu Jerrymsigwa tambua miiko ya bunduki na usalama wa mmiliki na wanaomzunguka ukishajua yote haya jiulize kama kweli uko tayari kubeba hatari na usalama unaoambatana na umiliki wa silaha ya moto.

Utaratibu upo na hauna shida kama una vigezo..achana na vishoka juu ya hili fuata utaratibu mkuu
 
Mkuu sina kumbukumbu sana na procedure za kumiliki dah ninasahau siku nyng nimesoma kipindi nikiwa chuo-it was just for exam!
Lakini kuna mlolongo mrefu kuanzia mtaani kwako baraza la usalama la mtaa,kitongoji,kata,wilaya,mkoa/jiji na mwisho huwa ni baraza la usalama la taifa ndipo unaweza pewa go ahead kununua.

Aina za Bunduki nzuri una maanisha nini? uzuri wa shabaha ama portability?Kiufupi tu unaposikia Browning 9mm ina maanisha kuwa hiyo ni bunduki yenye brand ya Browning na ukubwa wa kipenyo cha mtutu (kwa ndani) au kwa kizungu wanaita bore ni milimita 9. Hiyo ni kubwa sana tu navyojua hiyo haipit kwa bore ya SMG,AK47,LMG ambazo hizi zote zinatumia risasi yenye upenyo wa 7.62mm so unaweza ukacompare ukaona jinsi risasi ya hiyo pistol ina kipenyo kikubwa. Ingwa haimaanishi kipenyo pekee ndio factor ya muhimu ama kusema inaizid SMG et al, noooo!! isipokuwa inakuwa na mshindo mkubwa pia impact to the target inakuwa kubwa kulinganisha na shorter diameter pistol.

Specifications ziko nyingi isipokuwa nimekupa hiyo ambayo huenda wengi ndio wanaangalia, kwani kuna pistol za 6mm pia nk
Soma kwanza AMRI 10 za bunduki na uelewa kabla hujafikiria kuwa na bunduki

Asante mkuu nimekupata. Uzuri nilikuwa namaanisha portability, capacity ya magazini, missfiring, nasikia zingine ikiingia maji haipigi wakati zingine zinaendelea kupiga, pia uwezo wa kupiga bust na moja moja. Asante mkuu once again
 
mkuu kwanza kabla ya yote inabidsi uwe na sababu ya msing kwann unataka kumiliki silaha una nn hasa cha kuishawishi kamati ya ulinzi na usalama kuanzia ya wilaya mkoa paka taifa ukiwana iyo sababu jenga mausiano mazuri sana na hiyo serikali ya mitaa maana unaanzia huko nao huwa wanafuatwa kisiri kabla ya wewe kuitwa na kuhojiwa ukiwa poa unaweza ni pm nikupe proceedures japo kuna wanaosema kuna short cuts kwangu sipendi maana mambo yenyewe ya sasa yamechafuka unaweza fumua ubongo wa mtu then mwishowe nawe unakuwa mtuhumiwa

Asante mkuu. Sababu ni za kiusalama. Ninamiliki nyumba, vigari vichache na vimiradi. Vibaka huwa wanajaribu kutembelea hizo sehemu kwa hiyo sio mbaya kuwa na kimguu cha kuku walau kuwakimbiza kwa kupiga hewani
 
Asante mkuu. Sababu ni za kiusalama. Ninamiliki nyumba, vigari vichache na vimiradi. Vibaka huwa wanajaribu kutembelea hizo sehemu kwa hiyo sio mbaya kuwa na kimguu cha kuku walau kuwakimbiza kwa kupiga hewani

ok basi kwa maelezo yako yanatosha sana ila sasa kwa ushauri wangu kama hunaharaka sana anza na shotgun huwa haisumbui kabisa then kwakuwa utakapo omba pistol watachukua kwamba una experience ya kumiliki silaha na hauna tatizo.short mjadala wake unaishia baraza la ulinzi na usalama mkoa tu
 
Asante mkuu. Sababu ni za kiusalama. Ninamiliki nyumba, vigari vichache na vimiradi. Vibaka huwa wanajaribu kutembelea hizo sehemu kwa hiyo sio mbaya kuwa na kimguu cha kuku walau kuwakimbiza kwa kupiga hewani

ok mm nakushauri anza na shotgun maana haisumbui na wala mjadala hauendi taifa unaishia mkoani tu pia kupata pistol haitakusumbua maana utakuwa na record ya kumiliki silaha
 
  • Thanks
Reactions: HP1
Hivi kwa wale wenye browing 9mm kuna ili la tatizo la firing pin kushindwa kuchoma risasi ili ilipuke yani unavuta trigger na inakubari lakin hailipuki na ukiangalia risasi ni kama imeguswa kidogo sana kiasi cha kushindwa kulipuliwa coil zote zinavuta risasi vyema paka chemba lakin kwenye kulipua ndo shida na hili tatizo limeanzasi muda mrefu hasa nimegundua nilipokuwa shamba kwaajiri ya kupiga risasai kadhaa katika testing ya kawaida mwenye idea pls
Basi bhana demu wako simtaki tena!kumbe unamiliki mtambo kurushia vitu vyenye ncha kali!
 
Back
Top Bottom