Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

Msaada wa kitaalamu kwa bastola ya Browning 9mm

ipeleke tanganyika army mkuu watakutatulia tatizo lake me mwenyewe yangu ilikuwa hata ukipiga mtu haiuwi mtu wakanipa sumu ya kuulia:smile-big:
 
ipeleke tanganyika army mkuu watakutatulia tatizo lake me mwenyewe yangu ilikuwa hata ukipiga mtu haiuwi mtu wakanipa sumu ya kuulia:smile-big:

umeanza vyema lakini ulivyomalizia mmmmmhhhhhh haya bwana
 
mkuu namiliki kihalali if nt privacy ningeattach lesen polisi nilishawaona tatizo nao utaalamu wa haba wakaniambia niwapekee tool box wamekaa nayo wiki mwisho wakaniambia nirudi tanganyika ammy nilikonunua wao wanamfundi kwao wa kwao wanakuja kwa order maalumu ama waliniambia nisubiri paka dec sasa jf tuna wataalamu mbalimbali ndo maana nimeleta huu uzimwazoni waliniambia inaweza kuwa batch ya risasi nilizonunua utovu wake ndo kimeo nimebadili risasi bado tu

Mkuu kama Tanganyika Army wanakosa fundi mpaka Dec basi inatisha. Nadhani wengi wameshatoa ushauri wa kupeleka kwa fundi, sina la kuongeza. Pole mkuu, natumaini suluhisho litapatikana haraka... 🙂
 
Chukua pensil yenye kifuto. Tumbukiza upande wa kifutio kwenye mtutu huku ukiangaliza pistol kwa juu. Piga uangalie kama kalamu inaruka juu na uangalie mark inayobaki kwenye raba utapata jibu
 
Mkuu kama Tanganyika Army wanakosa fundi mpaka Dec basi inatisha. Nadhani wengi wameshatoa ushauri wa kupeleka kwa fundi, sina la kuongeza. Pole mkuu, natumaini suluhisho litapatikana haraka... 🙂

mkuu nafikiri hujanielewa tanganyika army sikupeleka niliwacheki tu askari ndo wakaniambia ivyonajaribu kuisafisha kama nilivyoelekezwa na wadau then ikiwa sio basi next week lazima niende tanganyika army
 
Chukua pensil yenye kifuto. Tumbukiza upande wa kifutio kwenye mtutu huku ukiangaliza pistol kwa juu. Piga uangalie kama kalamu inaruka juu na uangalie mark inayobaki kwenye raba utapata jibu

ila mku diamiter ya pensil na risasi ni tofauti sana so waweza zamisha hafu ikaenda angle nyingine hujafikiria ilo
 
Daaaaah nimegundua huku JF kuna watu multi-professions, yaani hapa nimetoka mwepeee! Nimebakia tu kusoma comments na kukenua.
 
Chukua risasi unazohis ni misfire na ujaribu kwa bastola nyingine uangalie matokeo. Je, bastola yako imeshapiga risasi hata moja? Kama ndio basi ni industrial problem. Inaweza kuwa na firing pin fupi au soft inayoisha mapema. Pia test double reconnection. Kama haifanyi ni tatizo la kiwandani.
 
thnks mkuu.najua misfire nikitendo silaha kushindwa kushoot sasa yangu ile firing pin namaanisha ile pin inayochoma risasi ikifaile ukiangali risasi imegongwa kidogo sana utafikir imekwaruzwa tu na sindano na inatupa bullet kama kawa baada ya trigger comand sema ndo hai shoot

Ni vizuri umeng'amua hilo mapema.....maanake ingekutia aibu mbele ya mke na watoto siku majambazi wangekuvamia...!

Nakumbuka miaka mitatu au minne iliyopita kule Mbagala kuna mwanajeshi mstaafu yalimfika mauti baada ya kutoa bastola na kuwaweka majambazi chini ya ulinzi......lakini kwa mbwembwe zake alitaka kum-shoot mmoja kama demo....sasa badala ya kutoka risasi kwa kishindo.....likatoka vumbi.......duh walimgawana kama mbwamwitu.....!
 
Chukua risasi unazohis ni misfire na ujaribu kwa bastola nyingine uangalie matokeo. Je, bastola yako imeshapiga risasi hata moja? Kama ndio basi ni industrial problem. Inaweza kuwa na firing pin fupi au soft inayoisha mapema. Pia test double reconnection. Kama haifanyi ni tatizo la kiwandani.

mkuu nilijaribu ilipiga lakin nashukuru siui nimefanyaje wakati napitia uzi wa jellymsigwa nikaamua kuisafisha kwa umakini huku napress trigger baada ya happo nikajaribu imejibu sasa kihomhom siwez endelea jaribu mapema kesho nitaenda shamba nikafanye fujo huko
 
Ni vizuri umeng'amua hilo mapema.....maanake ingekutia aibu mbele ya mke na watoto siku majambazi wangekuvamia...!

Nakumbuka miaka mitatu au minne iliyopita kule Mbagala kuna mwanajeshi mstaafu yalimfika mauti baada ya kutoa bastola na kuwaweka majambazi chini ya ulinzi......lakini kwa mbwembwe zake alitaka kum-shoot mmoja kama demo....sasa badala ya kutoka risasi kwa kishindo.....likatoka vumbi.......duh walimgawana kama mbwamwitu.....!

aaaahaa ndugu usiombe ya kukute ndo maana unashauriwa atleast ndan ya miezi miwili basi silaha yako lazima uijaribu
 
Bunduki yako itakuwa na mojawapo ya shida hizi:
1. Primer ( hope ni centrefire ammo) inaweza kuwa hai-ignite kwa kutoa sparks thru primer hole kwenda kuwasha gunpowder. Hii haina ujanja ikiwa primer ndio tatizo ni kununua ammo nyingine tu

2. Firing pin head imepungua urefu wake(tear and wear) labda kwa kutu, kugongwa kiasi kuwa hata hummer ikigonga msumari bado nguvu ya kugusa primer haitoshi (not at threshold)

3. Uchafu, jaribu kulainisha kwa kutumia gun oil ama kibongo bongo oil no 40. Hasa sehemu za firing pin hole, ejector n extractor!

4. Gunpowder kuwa expired, hata iweje haiwaki. Dawa ni kununua ammo mpya tu

Naimani tatizo lako litakuwa lmekwisha mkuu

daa mkuu nashukuru nimesafisha sana yani tena kwa hasir sijui nikagusa wap nikasikia kama coil ama sping zimeachia na nilipojaribu imekubali sasa kesho nitaenda shamba nijaribu kadhaa then nitwaajuza hapa kihomehome siwezi piga kadhaawasije wakajaa raia ila nashukuru sana ndo raha ya jf wakati askari wamekaa nayo wiki nzima hakuna kitu
 
Kamuulize kova kama hujaitwa gaidi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
umeisafisha lini mara ya mwisho? angalia usije ukafyatua huku unachungulia mtutu
 
MWENYEWE HAPA NIME NUNUA BOMU SASA KILA NIKIJARIBU KULIRIPUA HALI RIPKI ...NI AINA YA grunet....msaada plz
 
Back
Top Bottom