Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Commissioner General Of ImmigrationMama makakala ni nani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Commissioner General Of ImmigrationMama makakala ni nani??
Ok mkuu Ahsante kwa muongozo. Sasa ningependa nijibiwe hayo maswali hapo.Usitoe kitu wewe ni Mtanzania passport yako utapata sasa hivi unajaza Online harafu unapeleka viambatanisho vyako uhamiaji baada ya kulipia huko 30,000 kwa Control Number kiasi kingine utalipia baada ya ofisa uhamiaji kuzipitisha mimi sijawahi kufikiri kutoa Rushwa kwa mkwaju wa Nchi yangu na mkwaju napata tuu hapa nina fomu za watoto ntazipeleka wiki ijayo...
Sasa hivi maombi ya passport unajaza online, ukishakamilisha kujaza, utapata control number then unalipia elfu 20, then utapakua form yako unaipeleka uhamiaji na document ulizozitaja hapo juu. Nakushauri leta dar, in two weeks unapata passport yakoWakuu naombeni mwongozo wenu tafadhali, nilikua nafatilia pasi ya kusafiria (International Passport) kidogo nimekumbsna na vikwazo. Mimi niko mkoani huku (Chuganian)
Nimejaribu kuulizia uhamiaji wa hapa nimeelezwa niwe na..
Wamesema pia Nikishakamilisha vitu vitatumwa Dar ambapo itachukua kama mwezi hivi hadi kupata passport sasa naomba kuuliza kwq mliofuatilia passport kipindi cha hivi karibuni.
- Cheti cha kuzaliwa (Ninacho)
- Namba za Nida (ninazo)
- Cheti cha kuzaliwa mzazi (Ninacho cha baba)
- Barua ya Serikali ya mtaa
- Barua mimi ya maombi ya Passport kwenda kwa afisa uhamiaji mkoa
[emoji117]Barua ya Serikali za mtaa na baraua yangu ya kuomba passport ni Muhimu au ni huku tu wa mkoani ndio tunaambiwa hivo????
Kama ni lazima niandike barua ya kuomba he inakua katika lugha gani??? Na mfumo wa uandishi wake upoje????
Kwenye site ya uhamiaji wanasema uwe na ushahidi wa safari au ushahidi wa Shughuli anayofanya mwombaji. Je ushahidi huo ni upi?? Na unapatikanaje???
Kama kuna waliowahi kupata passport kutokea huku mkoani nilipo basi naombeni uzoefu wenu tafadhali.
Nawasilisha
Sina mwenyeji dar.. naomba uwe host wangu tafadhali.Sasa hivi maombi ya passport unajaza online, ukishakamilisha kujaza, utapata control number then unalipia elfu 20, then utapakua form yako unaipeleka uhamiaji na document ulizozitaja hapo juu. Nakushauri leta dar, in two weeks unapata passport yako
Ahsante sana mkuu. Naomba kuuliza hizo process ni kwa watu waliopo mkoani tu?? Je nikienda dar hivyo vitu vyote vinatakiwa pia au ni mkoani pekeeIli kupata passport,unatakiwa uwe na.
1.cheti cha kuzaliwa.
2.cheti cha kuzaliwa cha mzazi mojawapo.
3.Kitambulisho cha Taifa.
4.kitambulisho cha Kazi Kwa watumishi wa umma.au barua ya utambulisho KUTOKA serekali za mitaa Kama hujaajiriwa.
5.barua ya maombi ya passport kama uko mkoani anapitisha kwa kamishna WA mkoa kwenda Kwa kamishna mkuu,anwani zao za posta unaweza kuzipata ofisini kwao.
6.uthibitisho wa safari ukionyesha nchi unauokwenda.
7.baada ya kuwa na vielelezo vyote utaanza kujaza form ya maombi online kupitia uhamiaji portal.kuna sehemu uta upload barua ya utambulisho na Cheti cha kuzaliwa.
Kama ombi limekamilika utapewa contral namba ya kulipia 20,000 ili uweze Ku print form.
Ukishaprint form utatafuta mashaidi waijaze na pia mwanasheria.
8.baada ya hapo utaenda ofisi za uhamiaji ukiwa na hiyo form na vielelezo nilivyotaja hapo juu,
9.Ombi litapitiwa kama hakuna dosari,litapitishwa,utalipia 130,000 Kwa kutumia control namba,alafu utakamilisha ombi Kwa kupiga picha pamoja na kuchukuliwa alama za vidole.
10.Baada ya hapo utasubiri Kwa mwezi mmoja passport kuwa tayari.
11.kama unaihitaji Kwa haraka na hauna baadhi ya vielelezo unaweza watumia vishoka,Ila utawalipa gharama za ziada.almost 100-200k.
Mbona parefu hivo mkuu... Nikajua hata 30K fresh
Process ndo hizo hizo,tofauti ta DAR na mikoani ni kwamba Kwa DAR unaweza pata passport Ndani ya siku 2,tofauti na mkoani,sababu passport zote zinatengenezwa darAhsante sana mkuu. Naomba kuuliza hizo process ni kwa watu waliopo mkoani tu?? Je nikienda dar hivyo vitu vyote vinatakiwa pia au ni mkoani pekee
Je ukiwa dar unatakiwa hizo barua utume kwa anuani au unazipeleka wewe mwenyewe pale makao makuu.Process ndo hizo hizo,tofauti ta DAR na mikoani ni kwamba Kwa DAR unaweza pata passport Ndani ya siku 2,tofauti na mkoani,sababu passport zote zinatengenezwa dar
Je ukiwa dar unatakiwa hizo barua utume kwa anuani au unazipeleka wewe mwenyewe pale makao makuu.
Je itahitajika pia kuandika barua ya mkono kwamba unaomba passport??
Kwa DAR uko ofisi ya kamishna Kwa hiyo ni Moja Kwa Moja,barua ya maombi unaandika kivyovyote,Ila kama unataka shortcut,ukienda ofisi za uhamiaji,kurasini DAR,apo nje ya ofisi wapo watu maalum Kwa hizo Kazi,wewe na uwezo wako WA kubargain.Je ukiwa dar unatakiwa hizo barua utume kwa anuani au unazipeleka wewe mwenyewe pale makao makuu.
Je itahitajika pia kuandika barua ya mkono kwamba unaomba passport???
Ahsante sana Mkuu maelezo yako yamenifungua vya kutoshaKwa DAR uko ofisi ya kamishna Kwa hiyo ni Moja Kwa Moja,barua ya maombi unaandika kivyovyote,Ila kama unataka shortcut,ukienda ofisi za uhamiaji,kurasini DAR,apo nje ya ofisi wapo watu maalum Kwa hizo Kazi,wewe na uwezo wako WA kubargain.
Mkuu sasa hivi tunajaza kwenye mtandao jaza huko uki print ndio unapeleka hivyo vitu Uhamiaji kwani wana maswali ukishajaza na kulipia ni kusubiri passport yako hata wiki au wiki mbili mtu anakwambia nimetoa leo leo kwa laki tatu na safari sio ya leo maana yake nini sasa...Ok mkuu Ahsante kwa muongozo. Sasa ningependa nijibiwe hayo maswali hapo.
Je ni lazima niandike Barua na kupeleka barua ya utambulisho wa Serikali za mtaa??
Hata mikoani zinatoka haraka tuu Mkuu mbona mnatishana wakati uhamiaji wapo mikoa yote na hiyo ndio kazi yao kila kukicha...Sasa hivi maombi ya passport unajaza online, ukishakamilisha kujaza, utapata control number then unalipia elfu 20, then utapakua form yako unaipeleka uhamiaji na document ulizozitaja hapo juu. Nakushauri leta dar, in two weeks unapata passport yako
Hio kiasi sio kweli yani hata bei ya serikali haijafika bado afu useme laki bro kweli??? Kama anataka express aende na 300k siku 2 chap anachukua mkobaAhaaa nenda na 100000 mkononi siku hiyohiyo unapewa kadi ya ccm
Wakuu Kwenye cheti cha kuzaliwa mzazi Ninacho cha baba tu. Mama hana nida wala Cheti je haitaleta shida??