Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazao gani? Sio kila mazao unaweza kuuza nje, na pia huwezi pata soko kabla hujazalisha, make huwa zinahitajika sample.Habari wanandugu, mimi ni kijana ninamiliki shamba lenye ekari 25, nimeplan kulima kilimo cha .
Anapima upepo huyu,Mazao ya bustani kama vile nini orodhesha kwanza
Sina hakika hata kama anauelewa mziki wa hekari 25 za bustani.Anapima upepo huyu,
Anadhan ni mchezoSina hakika hata kama anauelewa mziki wa hekari 25 za bustani.
Hingera mkuu kwa kupata shamba kubwa namna hiyo.Habari wanandugu, mimi ni kijana ninamiliki shamba lenye ekari 25, nimeplan kulima kilimo cha umwagiliaji na nina tamani kusafirisha mazao yangu nje, hivyo nilikua naomba kama kuna mwenye ABC za namna ya kupata markets nchi za nje anisaidie.
Uko mkoa gani? Anza na soko la Tanzania kuna foregners wengi sanamazao kama sweat peppers(hoho), chillis, marage mabichi etc, pia kama kuna mwenye recommendation ya mazao yenye soko itakua vyema zaidi
Mazo gani? Sio kila mazao unaweza kuuza nje, na pia huwezi pata soko kabla hujazalisha, make huwa zinahitajika sample.
Umenena vemaKama uko Arusha watafute TAHA wakuunganishe na masoko(watafute kabla hajaanza kulima ili wakupe specification za products zinahitajika kwenye masoko ya nje)