Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

Kuna msanii mmoja sikumbuki jina aliwai kuimba na mnukuu "HII DUNIA INA MAMBO KAMA WASEMAVYO WATU PORI" Mwisho wa kunukuu
 
Pambana na hali yako umri wako wa 37 bado unataka kukaa kwa Baba
Naona apo wewe ndo mwenye tatizo wala sio Baba yako
 
Mimi ni mmoja kati ya watumiaji walionufaika na jf.
 
Mtoto wa miaka 37 unachokosea ni mambo ya kifamilia kuyapeleka serikalini. Familia ina watu wengi na wenye uwezo zaidi kutatua matatizo ya kifamilia kuliko hao unaowakimbilia kila mara. Anza upya tafuta wazee wakuambie namna ya kufanya kumrudia Baba yako akusamehe.
 
Reactions: amu
Mkuu unamdai mzazi wako hela kiasi hicho ??????Tena unamuendea kwa mwenyekiti????? serious??????
Tafuta pa kwenda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…