Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

😂😂nilihisi mimi tu ndo naona huu uzi kama mzaa!

Uwezo wa kupangilia matukio na uandishi unaonesha wazi mleta mada yuko timamu na hana shida na mzazi wake na sio mwanachama wa ccm, zaidi ni mwanachama cha CDM.
eti zaidi atakuwa CDM
😂😂😂😂
 
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila uyu jamaa anaeza akawa anajaribu kupima jf ni wangap wanaish kwa kujtgmea pia anatak kupima y watu wanasaport lockdown hum je wanaish kwa kujtgmea?
 
Imenichukua Muda mrefu sana kuelewa ni kwanini huwa wengi JamiiForums wanaamua kujibu comments za ajabu. Ila kwa sasa nimesha anza kuelewa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
KWa akili hizi za wanaccm mzee anahaki yakuwa dictator maana ukisikili ushauri wa akili hizi unauza nchi!
 
Huyu inaelekea angepata Mali angemnyanyasa sana Baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwezi amini nimeandika comments na kufuta zaidi ya mara 20 kisha mwisho kabisa nikajiuliza.
ikiwa mimi ambae nilioteza wazazi ote nikiwa na 16 years tu na urihi ulibakia ni kitanda na kijakabati cha mlango mmoja,nimefikaje hapa nilipo at 27 years bila ya msaada wa wazazi wala support,nikiwazaga hivi huwa nainua mikono juu na kusema alhadulilah rabil alamin.

Sijui unayoyapitia but kwa umri wako wew siyo wa kuyandika haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WE PUMBV SAAAANA, iaka 37 unang, ang, ania kukaa kwa baba yako, miaka 37 bado unavizia ulithi. Si utafute vyako. Amekizaa, bado amekusomesha, na laki saba amekupa, bdo unataka ukae bure. Tubu kwa huyo babako pmbv wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…