Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

Unautoa mkoa gani na kuuzia wapi kaka?
 

Looh sasa hapa mpaka kuiyona pesa bora uwe na tani kuanzi 5 chini ya hapo naona kama mahangaiko tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…