Isakwisa Emanuel
Member
- Feb 14, 2021
- 6
- 0
Unautoa mkoa gani na kuuzia wapi kaka?Mkuu ndo khali khalisi ilivyo ..ila inategemea na location ilipo pia. Ili upate faida uza kwa bei tofauti hakikisha una mchele wa 2k 1.8k, 1.5k had buku uko...ule chenga wa vitumbua. Hapo itategemea kama utapata mchele mzuri ili uki grade upate super, grade II, na kuendelea...ni hayo tu mzeebaba[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nachukua kahama sana japo mbeya huwa naenda mara moj moja..Unautoa mkoa gani na kuuzia wapi kaka?
Ok na unauzia wapi??Nachukua kahama sana japo mbeya huwa naenda mara moj moja..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Dah kweli mwanangu ..mchele unazungusha sana mfano mimi naweza kuuza hata tani mbili ndani ya mwezi ukaisha ..ila nafanyaje nauza bei ya chini tofauti na wengine wameshikilia bei unakuta wanauza hadi 1800 mimi nakimbiza 1600 hadi 1500 ..so unakuta unatisha fastaaa..naenda chukua mwingine ..iyo nimepata wateja wengi sana ila faida dah ..apo ndo mtiti ulipo kwenye tani moja naweza pata hata 150k au ikizid sana 200k ..sasa kuna mutu hapa eti anakwambia 600k[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hehehe aise ...uzuri hii biashara inatakiwa iwe na roho ngumu halafu usiwe mvivu maana ni balaa na nusu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huku Arusha mkuu ..karibu sanaOk na unauzia wapi??
Bei ya mchele tangu mwaka jana imeshuka..ila ni biashara nzuri ukiwa na mzunguko mkubwaLooh sasa hapa mpaka kuiyona pesa bora uwe na tani kuanzi 5 chini ya hapo naona kama mahangaiko tu
Ahsante sana Kaka.
Weka hapa, huko ndio hawa watu wanalizwaga. Lete ubobezi hapa sebuleni.Ikikupendeza njoo PM, nina ubobezi kwenye biashara hiyo kwa zaidi ya miaka 15.