Msaada wa mawazo yenu nipo katika harakati za kupambania maisha yangu

Msaada wa mawazo yenu nipo katika harakati za kupambania maisha yangu

Mnajua msiwe mnaongea tu kijijin kwa mtu Kama mimi naweza sema ni changamoto Sana imagine unaamka asubuh unakutan na nyumba za nyasi ukiangalia huku miembe hiki kitu kinadumaza Sana akili afu pia watu wanoish huku asilimia 90 wanategemea kilimo wew unauza biashara ya nguo Kijiji Wana Sana moja hawavai mpka wawe na safari au msimu ko mzunguko wa biashara ni mdogo sana.tofaut na ukiwa mjin. Afu kingine Mimi sio mtu wabush Sana huku nimerud mwaka huu tu miaka yote nilikuwa mbeya na sumbawang huko so naconnection ya nafaka ndo maana nawaza nije town nianzishe biashara ya nafaka coz naweza kopeshwa mpka gari zima kutokana biashara nilizokuwa nfanya kule sumbawang Ila shida ni wazazi dar Sina shida sbb hata nikifika sehem ya kula IPO na kulala ipo hapo ni buzzness tu ndo itakuwa changamoto kwang
 
Hello wana JF,

Mimi ni kijana wa miaka 21 naish kijijin kwa sas Mimi bhan katika maisha yangu Kuna ndoto kubwa Sana nawza ambayo natamani sana kuitimiza Ila nashindwa kwa sababu kwa sasa nipo kijijin na huku kijijin wazazi Wangu wamenipa duka nirithi la nguo.

Hili duka cha kwanz siipendi hii biahsra pili mazingira niliyopo hayanipi vision yeyote ya kimaisha pia watu wanaonizunguka huku kijijni ni watu negative Sana kitu amabcho wanweza nifanya.

Mimi kuwaza vitu vinyu Sana na sio vitu vipya kiufup nahitaji kutoka huku kijijin na kuja Dar kuanzisha biashara nyingine ambayo Nina vision nayo na naamin ni sahihi kwang Ila sas shida jinsi ya kutoka hapa na kuliacha duka kiufupi wazazi wangu na watu kwa ujumla hawatanielewa.

Je nikaja Dar na nikafeli itakuwaje nyumbani huku sura yangu nitaiweka wapi naomba ushauri nifanyaje? Wana jf
Wewe bado mtoto kaa hapo dukani ukikua utaondoka hata bila kuaga...!
 
Sio hapn wajenz biashara kijijin ni NGUMU saana haswa ulipozaliwa kuna changamoto nyingi sana
Penye miti hapana wajenzi, uza duka kimya kimya kisha toroka uende mjini ukakae na watu wenye mawazo mapana.
 
Wewe bado mtoto kaa hapo dukani ukikua utaondoka hata bila kuaga...!
Dunia ya asaiv bro hkuna mtoto inahitaj kukimbizana nayo. Duka halinipi vision yeyote Yan nafanya tu hii kitu inanipa changamoto haswa pia mzunguko ni mdgo sana
 
Mnajua msiwe mnaongea tu kijijin kwa mtu Kama mimi naweza sema ni changamoto Sana imagine unaamka asubuh unakutan na nyumba za nyasi ukiangalia huku miembe hiki kitu kinadumaza Sana akili afu pia watu wanoish huku asilimia 90 wanategemea kilimo wew unauza biashara ya nguo Kijiji Wana Sana moja hawavai mpka wawe na safari au msimu ko mzunguko wa biashara ni mdogo sana.tofaut na ukiwa mjin. Afu kingine Mimi sio mtu wabush Sana huku nimerud mwaka huu tu miaka yote nilikuwa mbeya na sumbawang huko so naconnection ya nafaka ndo maana nawaza nije town nianzishe biashara ya nafaka coz naweza kopeshwa mpka gari zima kutokana biashara nilizokuwa nfanya kule sumbawang Ila shida ni wazazi dar Sina shida sbb hata nikifika sehem ya kula IPO na kulala ipo hapo ni buzzness tu ndo itakuwa changamoto kwang
Dar ukitaka chumba hata kesho unakipata. Hela yako tu, siyo kama unaenda Europe au US.
Madalali kibao wapo Dar, kama una hela kidogo hukosi sehemu ya kukaa kwa miezi angalau 6, na sehemu za kula bei rahisi zipo kibao.

Kwa ufupi, mimi najua Dar es salaam ni mji rahisi sana kuhamia tena sana. Mimi mungu kanipa bahati ya kuishi miji mingi mikubwa tena peke yangu nikiwa sina kitu na kupata tabu hadi kujiweka sawa. Kwa hiyo najua kabisa Dar es salaam ni mji mwepesi sana hasa kwa kijana asiyetaka makuu na mwenye nia ya kujitafuta.

Nakushauri timiza ndoto zako kwa sababu maisha ni yako na yanaenda kasi sana utakuwa mtu mzima muda si mrefu na utaanza kuitwa uncle. Tembelea Dar kwanza uchukue chumba cha bei rahisi uanze kuangalia wapi utafanya biashara yako na uanze taratibu huna haja ya kuchukua Fuso zima unaweza ukafanywa kitu kibaya.

Mimi nakushauri uondoke hapo kijijini kwa sababu tayari hupapendi na huna haja ya kupapenda, siyo lazima utimize ndoto za Baba yako, muombe radhi na mwambie mimi kuna kitu kinaniambia niende dar, nikishindwa nitarudi home usijali.
 
Kukurupuka na inshu za tamaa kwa sas naweza sema nishavuka hizo level coz kitu kilichonirudisha huku kijijin ni hivo vitu ko nimejifunza Sana Mambo ya wanawake kwenda club awap! Kwa sas No
Vizuri kama hilo umelitambua ila bado umakini unahitajika sana.

Ukishakuwa una ofisi mjini unatakiwa uwe makini mno.
 
Dar ukitaka chumba hata kesho unakipata. Hela yako tu, siyo kama unaenda Europe au US.
Madalali kibao wapo Dar, kama una hela kidogo hukosi sehemu ya kukaa kwa miezi angalau 6, na sehemu za kula bei rahisi zipo kibao.

Kwa ufupi, mimi najua Dar es salaam ni mji rahisi sana kuhamia tena sana. Mimi mungu kanipa bahati ya kuishi miji mingi mikubwa tena peke yangu nikiwa sina kitu na kupata tabu hadi kujiweka sawa. Kwa hiyo najua kabisa Dar es salaam ni mji mwepesi sana hasa kwa kijana asiyetaka makuu na mwenye nia ya kujitafuta.

Nakushauri timiza ndoto zako kwa sababu maisha ni yako na yanaenda kasi sana utakuwa mtu mzima muda si mrefu na utaanza kuitwa uncle. Tembelea Dar kwanza uchukue chumba cha bei rahisi uanze kuangalia wapi utafanya biashara yako na uanze taratibu huna haja ya kuchukua Fuso zima unaweza ukafanywa kitu kibaya.

Mimi nakushauri uondoke hapo kijijini kwa sababu tayari hupapendi na huna haja ya kupapenda, siyo lazima utimize ndoto za Baba yako, muombe radhi na mwambie mimi kuna kitu kinaniambia niende dar, nikishindwa nitarudi home usijali.
Sure bro umeongea🙏
 
Back
Top Bottom