Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Mtaji ni shiling ngapi mpaka kufunga limashine lile kama ukitaka kuanzisha sheli ya mafuta ya taa tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwanza kabisa kupata kibali kutoka ofisi ya arithi kuwa eneo husika linakubalika kwa kituo cha mafuta halafu watu wa mazingira huwa wanakuja kuwahoji majirani km wamerithika na kuwa tayari kwa kitakachotokea halafu kuna watu wa fire ewura takataka kibao aisee
 
naomba kufahamu kama nshajenga kituo changu cha kuuzia mafuta, je natakiwa kuwa na vitu gani kabla ya kwenda ewura kupata leseni....cjui pa kuanzia jamani...msaada..munitajie vitu ntakavyokwenda navyo ewura....


Msaada jamani naona kama muda unakimbia napoteza muda.....
Unatakiwa uwe na(1) certificate from nemc (2) title deed with petrol staton purpose (3) building permit (4) layout plan for petrol station (5) tin number (6) business licence (7) osha certificate (8) fire certificate (9) certificate of incorporation but if its a limited company ..
 
Mie nafanya hiyo biashara .. kma utahitaji maelezo zaid nitafute .. na nina kampuni yang kabsa ya mafuta
 
Nipe kazi ya kuplan na kukuandikia Business plan ya huo mradi wako
 
Wanajamvi, heshima kwenu!

Naomba kujuzwa jinsi ya kuwekeza katika biashara ya kituo cha mafuta (filling station) mkoani.

Eneo lipo barabarani, njiani kuu kati ya Kahama na Bukoba.

Ni mtaji kiasi gani ninatakiwa kuwa nao kwa kituo chenye pampu tatu na matenki yenye uwezo wa kuhifadhi lita kama 30,000 za mafuta.

Fursa gani naweza kuzipata kutoka kwa wauzaji wakubwa mafuta ya jumla.

Nawasilisha hoja, wadau!
 
Mkuu kupata majibu yako yote ya namna ya uwekezaji wa kituo cha mafuta Tanzania,
Mtaji unaohitajika, na breakdown ( mchanganuoa wa mtaji huo)

Sababu zinazopelekea kushuka au kupanda kwa faida ya kituo cha mafuta.

Pia utajua faida kwa kila kita moja ya mafuta

Leseni unazohitaji kuzipata ili kufungua kituo cha mafuta
Namna ya kuendesha kituo cha mafuata

Nicheki kwa namba hii WhatsApp. 0655376543.

Huwezi pata majibu mazuri ya biashara hii hapa , kwani wafanyaji wengi wa bisharaa hii huwezi kuwakuta hapa
 
Mkuu kupata majibu yako yote ya namna ya uwekezaji wa kituo cha mafuta Tanzania,
Mtaji unaohitajika, na breakdown ( mchanganuoa wa mtaji huo)

Sababu zinazopelekea kushuka au kupanda kwa faida ya kituo cha mafuta.

Pia utajua faida kwa kila kita moja ya mafuta

Leseni unazohitaji kuzipata ili kufungua kituo cha mafuta
Namna ya kuendesha kituo cha mafuata



Nicheki kwa namba hii WhatsApp. 0655376543.

Huwezi pata majibu mazuri ya biashara hii hapa , kwani wafanyaji wengi wa bisharaa hii huwezi kuwakuta hapa
Toa majibu acha upigaji kwani ye aliweka namba ya simu apate majibu via simu si ameomba kwwenye public kwa nn we utoe majibu Private,

Otherwise am sorry ni mtazamo wangu tuu
 
Mkuu kupata majibu yako yote ya namna ya uwekezaji wa kituo cha mafuta Tanzania,
Mtaji unaohitajika, na breakdown ( mchanganuoa wa mtaji huo)

Sababu zinazopelekea kushuka au kupanda kwa faida ya kituo cha mafuta.

Pia utajua faida kwa kila kita moja ya mafuta

Leseni unazohitaji kuzipata ili kufungua kituo cha mafuta
Namna ya kuendesha kituo cha mafuata



Nicheki kwa namba hii WhatsApp. 0655376543.

Huwezi pata majibu mazuri ya biashara hii hapa , kwani wafanyaji wengi wa bisharaa hii huwezi kuwakuta hapa
Brother sema hapa hapa
 
Wanajamvi, heshima kwenu!

Naomba kujuzwa jinsi ya kuwekeza katika biashara ya kituo cha mafuta (filling station) mkoani.

Eneo lipo barabarani, njiani kuu kati ya Kahama na Bukoba.

Ni mtaji kiasi gani ninatakiwa kuwa nao kwa kituo chenye pampu tatu na matenki yenye uwezo wa kuhifadhi lita kama 30,000 za mafuta.

Fursa gani naweza kuzipata kutoka kwa wauzaji wakubwa mafuta ya jumla.

Nawasilisha hoja, wadau!

Niliwahi sikia kampuni kama Total na Gapco kama una eneo hot Cake mnaweza ingia Ubia. But am not sure

Pumpu nne na every thing kwa bei ya chini kabisa ni 400 Milioni. ni kwa standard kama zile anazojenga Lake oil

Haya majibu niliyapata kutoka kwa mdogo wangu anafanya kazi kwenye kampuni ya kujenga sheli. Nilishawahi kumuliza
 
Kuna aina mbili za hivyo vituo!aina kwanza jenga cha kwako....kwa standard ya (seek ushauri kwa Oilcom,Gapco,Total etc) ambao watakuuzia hayo mafuta!unakuwa unatumia logo yao .....ukishajenga kituo,unaweka deposit kwao mnaanza biashara!unaletewa mzigo ukiuza unapeleka hela yao ww unabakia faida....wanaleta tena!ila lazima uweke deposit kama 150m hivi!ama la uwe unanunua cash bin cash...hakuna kuchagua kampuni ya kukuuzia!unaenda popote na kununua mzigo unamwaga na kuuza!wajuzi zaidi wakiamka watakumwagia zaidi!subiri
Mkuu mfano ukaenda pale kisarawe kuna kijituo cha mafuta kidg sana kina pump moja tu na eneo n dogo sana na nn gharama hasa Ktk bsness hii ..mfano mm nakusudia kuuza mtaani kwetu huku na nataka nianze na lita maybe 250 tu za petrol na diesel .....ili niangalie soko linaendaje ...je kwamtindo huu nikiwa na milion saba au 8 swez anzsha ....kmbk s za kisasa km bigbon au kwngne ..mfn hio ya kisarawe n pamp moja tna chakavu na inajaza gar moja hain uwezo wa kuhudumia gar 2 pmoja coz space n ndg sana ......na juu wamezba na bati chakavu hii nayo nahtaj mamilion au hta milion kumi kwa pampu na kias kidg cha mafuta naeeza kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wadau ..

Naomba mwanga juu ya biashara ya kuuza mafuta ya taa ...
WapI yanaptkn na vp kuweka kisima cha angalau lita 500 gharama zake na bei ya jumla nI kias gn kwasasa

Pia huwa napita huku uswaz au vijij8n nakuta filling stations ambazo sio kama za mjin huwa na pampu moja tu na kijisehemu kidogo sana kiasi gari mbili haziwez kuingia kwa pamoja mfano ile ya kisarawe pale ....

Je, gharama zake nikiwa na milion saba sIwez kuanzisha sheli kama hii nikianza na lita ht 500 tu ....maana nimepit sehem nyng nakuta filling station inapump moja na eneo dogo tu ....

Naomba uzoefu na maelekezo yenu ...


Pia kuhusu biashara ya mafuta ya taa ..thanks in advance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom