Msaada wa namna ya kukabiliana na ugumu wa maisha.

Msaada wa namna ya kukabiliana na ugumu wa maisha.

Habari za leo wanajukwaa, poleni na majukumu...
Twende kwenye mada..
Maisha siku za karibuni yameniwia magumu, tafadhali mwenye mbinu za kukabili hali hii anisaidie...biashara ndogo ninayfanya ambayo siku za nyuma ilikuwa ikinitunza sasa imeyumba.. kuna muda naishiwa nguvu nakata tamaa.. naona msongo wa mawazo unaninyemelea, tafadhal mbnu zinahtajka kwa hali na mali..
Natanguliza shukrani..
NB: si mwandish mzur saana.
Vijana wengi sikuhizi tunakosa mbinu za kibiashara, unaweza kuwa na mtaji na huna pa kuanzia, mm nadhani hatujajua jamii inahitaji nini.
 
Kaka ni vile tu biashara haiendi.. nazungusha maziwa mtaani sku za nyuma mambo yalikuwa yanaenda kiasi lakini sasa... unazungusha lakin wapi... kaz mtaani hakuna... ukifanya wanadhulumu... nipo bukoba.
Nyie ndo wale mnaye tuuzia maziwa yenye maji??MUNGU amekulaani piga goti chini muombe msamaha
 
Hauko peke yako mkuu,hali ya uchumi imebadilika sana,hapo kwenye nini cha kufanya nadhani ni kuangalia tu vipaumbele na kuishi kutokana na kipato ulichonacho...lakini ngoja kwanza mwenza uliyenae sio kichomi?
Nchi imefunguliwa pesa zipo mtaani nashangaa bado mnasema maisha magumu?
 
Nyie ndo wale mnaye tuuzia maziwa yenye maji??MUNGU amekulaani piga goti chini muombe msamaha
ndivyo Mungu amekwambia... maziwa nauza yakiwa pure kabisa tena siku za nyuma mpaka wateja wakimiss wanalalamika......
 
Back
Top Bottom