Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Niliwahi kuwana boss anaependa kuagwa basi me hata nikitaka kwenda chooni naenda kwake. Boss naingia uwani kidogo, boss nipo hapo nje napunga upepo kidogo, boss nipo kula. Hadi akasema sio kila kitu lazima niage nikarudisha gia yangu ya zamani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7]
 
Na mimi nilikuwa na mkuu wangu kiazi kama supervisor wako.

Siku moja alipeleka kesi kwa CEO kuwa Ngariba anaacha kazi nilizompa.
CEO akaniuliza "ni kweli Ngariba?" nikamjibu kwa swali boss je, huyu jamaa anaponambia fanya kazi hii wakati anajua nilichokuwa nafanya automatically si anamaanisha niachane na ile ya mwanzo?
Kesi iliishia hapo
 
Wewe ndiyo una matatizo unatakiwa umwambie ili awe na uhakika kwamba umetekeleza majukumu uliyo pangiwa, kumbuka hata yeye kuna watu wapo juu yake ana weza kuulizwa akakosa majibu kwa sababu hana uhakika hilo lina weza kupelekea kuhalibu kazi yake wewe mpe ushirikiano na umusome anavyo taka.
 
Rule no 1 never outshine your master.
 
Usipoteze muda kuandika Referee sijui nani na nani,andika watu watatu ambao hata hawa-exist,kisha tengeneza Email zao mfano darmbeya@yahoo.com na mwingine kulwadoto@gmail.com nk kisha ziweke pale ndio referee wako,mwajiri akituma Email means Email unaipata mwenyewe na kujijazia Kisha unawarudishia,simple tu
 
Ulizaliwa lini kaka hadi unashindwa kujiongeza, yaani hujui kabisa hiyo manzi inataka nini kwako, dah!!!
 
Amekuona bado wewe ni mtoto unahitaji kuchungwachungwa.Ila ambavyo unamkosea adabu unamuita kilaza.Kwa ufupi anakufundisha nidhamu ya kazi na kufuata utaratibu.Utajua tu kwamba hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…