Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Niliwahi kuwana boss anaependa kuagwa basi me hata nikitaka kwenda chooni naenda kwake. Boss naingia uwani kidogo, boss nipo hapo nje napunga upepo kidogo, boss nipo kula. Hadi akasema sio kila kitu lazima niage nikarudisha gia yangu ya zamani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7]
 
Na mimi nilikuwa na mkuu wangu kiazi kama supervisor wako.

Siku moja alipeleka kesi kwa CEO kuwa Ngariba anaacha kazi nilizompa.
CEO akaniuliza "ni kweli Ngariba?" nikamjibu kwa swali boss je, huyu jamaa anaponambia fanya kazi hii wakati anajua nilichokuwa nafanya automatically si anamaanisha niachane na ile ya mwanzo?
Kesi iliishia hapo
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Wewe ndiyo una matatizo unatakiwa umwambie ili awe na uhakika kwamba umetekeleza majukumu uliyo pangiwa, kumbuka hata yeye kuna watu wapo juu yake ana weza kuulizwa akakosa majibu kwa sababu hana uhakika hilo lina weza kupelekea kuhalibu kazi yake wewe mpe ushirikiano na umusome anavyo taka.
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Rule no 1 never outshine your master.
 
Nje ya mada: kwa wale walioko katika lane ya kutafuta ajira, hakiki mara tatu tatu referee unaemuandika. Budda kama unasoma hapa nisamehe;

Kuna jamaa mmoja ameomba kazi shirika la watu wa nchi flani. Sasa interview process ikaenda kama miezi 3. Baadae akaja kupewa feedback amekosa wameamua kuproceed na a better option. Sasa akapata courage ya kuuliza kwanini ili ajirekebishe labda. Akajibiwa, shida imekuja kwenye recommendation letters. Mbili kati ya tatu zimempondea. Lakin kwa madai yake ni watu ambao alikua na ujamaa nao mzuri tu. Na aliwapa taarifa kuwa watatafutwa wakamwambia hata usijali, ondoa shaka!! Lakin ndo akatumiwa barua na yule HR, waliyokuwa wameyaandika ni disaster. Akasema acha aprove tena, akampanga mtu kwamba ajifanye recruiter, apige simu kwa mmoja wa hao referee. Akapondwa vibaya mno. Sisemi hakuwa at fault, nasema mjue referee wako vizuri....ni hilo tu!!!
Usipoteze muda kuandika Referee sijui nani na nani,andika watu watatu ambao hata hawa-exist,kisha tengeneza Email zao mfano darmbeya@yahoo.com na mwingine kulwadoto@gmail.com nk kisha ziweke pale ndio referee wako,mwajiri akituma Email means Email unaipata mwenyewe na kujijazia Kisha unawarudishia,simple tu
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Ulizaliwa lini kaka hadi unashindwa kujiongeza, yaani hujui kabisa hiyo manzi inataka nini kwako, dah!!!
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Amekuona bado wewe ni mtoto unahitaji kuchungwachungwa.Ila ambavyo unamkosea adabu unamuita kilaza.Kwa ufupi anakufundisha nidhamu ya kazi na kufuata utaratibu.Utajua tu kwamba hujui.
 
Back
Top Bottom