Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult!
Sijui kwa undani kuhusu huyu Boss wako, ila haya maelezo yake yapo sahihi kwa asilimia kubwa.

Sawa amekupa Task ila pia lazima pawepo na utaratibu wa kuondoka ofisini na kuwa nje ya kituo cha kazi.

Mara nyingi wasimamizi ndio wanatoa go ahead ya jambo lililo kwenye himaya zao, unaweza kukuta kakupa task, ghafla mambo yakaingiliana na akabadili hiyo Task. Je kama ndio umeondoka kama unavyodai hapa bila yeye kujua na hayo mabadiliko ndio yametokea, itakuwaje?
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.

Mtie Vocal
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.

Mbona kama vile wewe ndo kilaza?
 
Mwanamke yeyote akiwa boss wako usijaribu kumuunderfear hata kidogo ukiweza mjibu kibabe na ukiona vipi siku mtongoze lengo akose confidence kwako .

Nilikuwa na mmama incharge alikuwa ana tuendesha sana kwenye kile kidepartment hasa kwa maneno ya ukali na amri zisizo na staha .

Basi siku moja nikaa bar nikawa na kikao na halmashauri ya kichwa changu juu yake , basi jibu likaja kuwa nikiendelea kumchekea kwa ukali mshenzi wake atanitesa sana , nikaamua kumuonesha kuwa simuogopi alafu sipendi kupelekeshwa kijinga .

Siku moja naingia job namalizia kusaini , naye ndiyo anafika eti ananiuliza kwahiyo siku hizi tunafika muda sawa ?

Nakumbuka nilimwambia wewe ulitakaje mrembo ? Kwanza akastuka mimi kumuita mrembo ilihali kwangu ni mmama , akasema unasemaje wewe mtoto nikasema una shida gani asubuhi hii yote mrembo ?

Nikaona walinzi na wafanyakazi wengine waliosikia majibizano yetu wakahamaki na yeye akakosa confidence akavunga akaenda ofisini kwake .

By saa nne kaniita ofisini kwake akiwa na Mfawidhi alafu akaanza kunichana kuwa pombe itaniharibia kazi , nikaona nimtolee uchovu nikamchana kipo napenda na kipi sipendi na pia nikahitaji awe na heshima kwa kauli zake ila kumalizia nikasema mimi nampenda sana na sitaacha kumtongoza .

Muda huo mfawidhi kakaa tu kimya anatusikiliza nacho kumbuka sikumaliza hata mwezi nikala uhamisho niko zangu huku na wanakijiji tunaenjoy pombe ya kienyeji ila yule bi mdashi hata tukutane wapi ananiheshimu sana .

Na hapendi hata tukae meza moja hata dakika kumi maana anahisi nitaanzisha ujinga.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kubabake

Nouma sana

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
fuata maelekezo ya boss, njaa ndo ilikupeleka hapo
 
Ukiajiriwa fata masharti unataka kumletea kiburi wakati huna hela? Au unataka akuchabange makofi na ukienda kushtaki polisi lockup uwekwe mwenyewe?
Ukiwa na njaa wewe hata ukionewa unatakiwa ukae kimya ukiongea tu unaonekana mkorofi ni wewe, umekubali kuwa mtumwa ishi kama watumwa wanavyotakiwa kuishi na usuvute mdomo
Umezingua, ungempa ushauri afanye kama vile ulivyomfanyia boss wako akikuonaga na mademu wakali baada ya kuwa too much

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.

Kua na msimamizi mwanamke ni changamoto!!
Ni wachache sana wako vizuri
 
Hahaha,Neema Nassary
Mimi niliyetaka kumtwanga makofi mbele ya MD Mugambi ni Head wa HR Veronika Kahama
Wow! Veronica Kahama yupo wapi kwa sasa? Warembo wa enzi zetu. Namkumbuka wakati anasoma Jangwani kama sikosei 88 au 89 ile akichukua mchepuo wa PCM.
Mara ya mwisho namuona alikua Standard Chartered.
Miaka inakimbia! Huzuni.
 
Huyu mwanamke ni kituko kweli. Ana zaidi ya miaka 10 kwenye hii taasisi na amekuwa akipandishwa vyeo lakini kwa ufupi ni kilaza/kiazi na mwenye majivuno yasiyo na maana yoyote.

Anaweza akakupa tasks za field halafu ukienda field anakupigia simu anakuuliza upo wapi mbona haupo ofisini! Ukimuambia nipo field anakuuliza wakati wa kwenda umemuaga nani! Ukimuambia ulini assign tasks mwenyewe anakuambia ndiyo najua ila wakati unatoka ofisini ulipaswa uni consult! Mtu unabaki unajiuliza anamaanisha nini! Matukio ya kukwaza na kushangaza ni mengi.

Nimemvumilia sana, sasa natamani nimjibujibu ili aache kunihangaisha ila nawaza anaweza kuniharibia CV yangu. Naomba ushauri wakuu.
Vilaza wa hivyo wapo wengi sana
 
Nilikuwa na supervisor alikuwa ananiheshimu sana na siku Moja akanambia kama sintojali siku Moja tukatembee mahala mbali na chuo nikamwambia sawa, siku ya siku tukaenda tulipiga stori nyingi za maisha.

Nikamtongoza akagoma siku ya graduation akanambia ana jambo nikamwona akanambia yupo tayari kunipa ninachohitaji basi tukaenda sehem tukajificha siku 2 Kisha akanambia wakati ule alikataa kwakuwa alikuwa na mahusiano na head of dpt hivyo angegundua nisingegraduate basi NAMI nikajiondokea zangu bila mbambamba.
 
Back
Top Bottom