Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Bora wewe una nafuu Mimi baba yangu mzazi aliniambia hawezi kunisomesha Wala hategemei Mimi kuja kumsaidia ,Kwanza ana watoto wengi.Nanikifanikiwa Sana ntakuwa kuli stendi ya mabasi.Bado najikongoja na hatuna stori mpaka kufa.
Baba yeye alirithi kwa nani. Mwambie mama yako akurithishe mali zake. Baba alikusa sahihi kukunyima,inaonekana huna adabu
nipo bc iyo kaz yoyote mkuu maana mpaka now nimepamban kusaka Mishe bado sion ndio maana nimeonanimgeukia mzee anipe hata laki 8 ninunue boda used ndio ivyo nae kazinguaKama umzima wa afya na viungo vyote vya mwili unavyo, kasoro yako naamini imo kichwani tu, pa1 na kuwa we ni zao la zinaa acha kuitafuta laana kwa kulazimisha baba'ako akupe mtaji au ukamshtaki .
Hata kama hali yako kimaisha kwa sasa si nzuri nikuhakikishie tu lo lote utakaloliamua juu ya baba'ako likiwa la kumfehesha au achukie jiandae kutaabika zaidi ya sasa.
Fanya kazi yo yote iliyo halali kwa bidii huku ukimuomba Mungu utafanikiwa kuliko waliopewa urithi.
UNA UHAKIKA GANI KAMA WEWE NI MTOTO WAKEacha kukalili nani kasema Mimi ninduguyake? Mimi nimtoto ake sio ndugu yake soma vizur. Nina haki ya kulisi kama hao watoto wengine alio walisisha
nanzia wp mkuu akat sina sehem yoyote yakwanziaUNA UHAKIKA GANI KAMA WEWE NI MTOTO WAKE
rudi kwa Mama yako mwambie akueleze ukweli hata Kadi ya Kliniki akuoneshe maana inaonekana wewe ni miaka ya 1990 kuja 2000, na DNA siku hizi hifiki laki moja
sheria zipo ukipata vitu hivyo fika POLISI kweny Desk la Jinsia watakuelekeza na wazazi wako wataitwa hata km kuna Baba mwingine utaoneshwa
Mm yamenikuta kuna Mama mmoja kanichanganyia mtoto na jirani wamenitonya sio wangu, kuomba tupime DNA ya kwangu, Mama na Mtoto huyo kakataa
nakushauri tafuta mali kwa njia nyingine huyo mzee msamehe kwa faida ya mama
Ila kabla hajaamua kumnyima huo urithi, NI LAZIMA AHALIKISHE WAJIBU WAKE KWA HUYO MTOTO ALIUTIMIZA KISAWASAWA???? JE MTOTO ALUPATA HAKI ZAKE ZOTE ZA MSINGI?Hivi unadhani kila mwanachuo anategemea wazazi?
Afu ujue kutofautisha mwanafunzi na mwanakijiji.
Nakuuliza swali. Hivi mzazi kumpa mtoto urithi ni lazima?
Tena wanafikaga mbali balaa..huyu amuulize fresh maza...neno urithi mie nakerekaga sanaRecord ya watoto wa nje asilimia nyingi huwa wana akili huyu sijui vp?
Duh🤨24 yrs, kwa hapa bongo? Asikudanganye mtu ..km ungekua unasoma maana yake ungekua Chuo au ndo unamaliza .
Mtu akikuambia Muache tu mpotezee.. Maana yake ni uwe na uhakika wa unachokifanya sasa, na kwauo umri ni changamoto .
Labda km utaamua kujitosa..lkn swali ni ujitose wapi????.
Wee komaa na huyo mzee, Tena Mama Yako mpole sana ,komaa na uyo mzee, kwa sasa usimfate kwa maneno ya busara busara, kwasasa fata msaada wa sheria basi.
Komaaa upate kitu chakuanzia maisha, kama alikunyima Elimu, asikunyime Mtaji.
KOMAA MDOGO WANGU ... Huyo mama wakambo ,asikuzengue wala nn. Wee komaa, Hawezi kukufanya kitu.
Urisi au ulisi
Mkuu wwe huna Shea hapo kwani menye mali ana haki ya kumpa na kumnyima yeyote urisi wake
Kwa akili hiibwewe jihesabu tu utakua ombaomba..pole .byewanafikambali kama upande wamamaunauwezo kama upande wa mama hamna nako sapot yoyoyote njaa Kali uko mbal unafikaje kimiujiza?
Inaonekana mama ndo anakupum ujinga huu...jamani waelimishen watoto wenu...! Tafuta chako umtunze mama fulstop.ndio mkuu nimekubal kuwa Mimi sina shea lakin nihak kwel Mimi ninyiwe hata mtaji wa boda bod kwel akat naona watoto wengine wanapewa nyumba wengine magar
Wajuvi wa Sheria, msaidieni huyu kijana sawasawa na mahitaji yake.
Wajuvi wa Sheria, msaidieni huyu kijana sawasawa na mahitaji yake.
Fika Kituo chochote cha POLISI hasa wilaya kuna Kitengo cha DAWATI LA JINSIAnanzia wp mkuu akat sina sehem yoyote yakwanzia
Sasa ndio naelewa kwanini mtoto wako ana tabia mbaya kwa wageni