Msaada wajumbe: Nataka nimshitaki Baba yangu mzazi, sheria ipi nitumie?

Msaada wajumbe: Nataka nimshitaki Baba yangu mzazi, sheria ipi nitumie?

Ukiwa na mfumo huo wa kulaumu watu kwa kila kitu unachokutana nacho utapata tabu sana
 
Urithi wa baba yako ni halali yako! Achana na wanaokuambia uachane nao! Mali za wazazi/mzazi ni urithi wa mtoto! Kikubwa anakutambua na familia yake inakutambua! Unacho cha kwako hapo kwa baba yako!
 
nimesamehe mkuu ndio maana niliamua kuwachia hao alio wandikisha kwenye ulisi Mali zote ila Mimi nilimuomba mtaji kidogo2 hata wa boda used maana saiz nipo2 sina kaz yoyote napo kagoma
Endelea na maisha ,Ni ngumu kumlazimsha itakuumiza Bure!
Kuna wengine ktk Hali Kama yako ....hawajui baba zao,au baba zao wamefatiriki...simama nenda mbele!
 
Urithi wa baba yako ni halali yako! Achana na wanaokuambia uachane nao! Mali za wazazi/mzazi ni urithi wa mtoto! Kikubwa anakutambua na familia yake inakutambua! Unacho cha kwako hapo kwa baba yako!
Hapo ndiyo kwenye kazi,labda Baba alisha sanuka kua hapo kaingizwa chaka! DNA muhimu kwanza na mengine ndiyo yafuate!!
 
Mimi sio tegemez nilicho kuwa naomba kwake nikidogo2 chakwanzia maana now cna chochote cha kuanzia
Hawezi kukupa, wababa wa hivyo nawajua akili ilishatekwa na mkewe huyo hata ukishitaki utapoteza muda mwingi sana kwa sababu hauna ushahidi kuwa ana kipato cha kukusaidia
 
24 yrs, kwa hapa bongo? Asikudanganye mtu ..km ungekua unasoma maana yake ungekua Chuo au ndo unamaliza .


Mtu akikuambia Muache tu mpotezee.. Maana yake ni uwe na uhakika wa unachokifanya sasa, na kwauo umri ni changamoto .

Labda km utaamua kujitosa..lkn swali ni ujitose wapi????.


Wee komaa na huyo mzee, Tena Mama Yako mpole sana ,komaa na uyo mzee, kwa sasa usimfate kwa maneno ya busara busara, kwasasa fata msaada wa sheria basi.

Komaaa upate kitu chakuanzia maisha, kama alikunyima Elimu, asikunyime Mtaji.


KOMAA MDOGO WANGU ... Huyo mama wakambo ,asikuzengue wala nn. Wee komaa, Hawezi kukufanya kitu.
Kesi hiyo ilitokea hapa kwetu. Ni ya namna sawa na hii. Hazina tofauti sana. Mama alishirikiana na wanae wakamshtaki mume atoe Urithi/mgao kutokana na pesa ya kustaafu.
Waligonga mwamba baada ya mahakama kutupilia mbali madai yao kwa kigezo kuwa; Mosi, kiinua mgongo ni mali binafsi ya mstaafu. Hakiingiliwi isipokuwa kwa matakwa ya mstaafu mwenyewe. Pili, watoto walikuwa wamekwisha vuka umri wa kuwa wategemezi kwa wazazi, hivyo, wazazi hawawajibiki tena kwao. Walikuwa na umri wa zaidi ya miaka 18.
Ushauri wangu: Kwanza, pole sana kijana kwa unayopitia. Ni vigumu kidogo kwamba unaweza kupata haki unayotafuta kwa kupitia mahakamani. Labda Mahakama ya Mwanzo au Baraza la Kata ambayo huweza kuhukumu kwa kuzingatia hali halisi ya mazingira kuhusiana na shauri husika. Pili, mshukuru Mungu amekulinda, sasa unaelekea utu uzima na una afya na nguvu. Achana na baba yako huyo ambaye nahisi ukimpeleka kwenye vyombo vya sheria anaweza hata kukukana kuwa wewe siyo mwanae. Utaaibika. Tatu, Dunia ya sasa fursa ni nyingi sana za maendeleo. Baini fursa na kisha fanya kazi kwa juhudi na maarifa; Utatoka bila shaka. Mali za Urithi huenda na marehemu. Usibweteke kijana.
Pole sana.
 
Vijan wa sikuhiz
Mara nying watoto wa nje hawajumuishi kwenye urithi kama watoto ndoa.
Hapo hakuna hoja ya mashiko kuw umshitak Baba ako,
Pesa za ustaafu huna haki nazo komaaa na maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cjamzuiya kuwapa izo Mali ila Mimi kinacho nikitisha mpaka nataka kwenda mahakaman nikuninyima hata kidogo nilicho muomba akat anajua mwanae ninashida now sina kaz yoyote ninayo ifanya lait mkuu ungejua shida nliyo nayo nayeye baba maisha anayo ishi usinge zubutu hata kumtetea
Hukatazwi kusikitika, we sikitika weeeeee, ila usimlazimishe akupe (kumpeleka mahakamani) sababu huna haki hiyo, mali ni zake na ana uamuzi wa nani ampe na nani amnyime
 
acha kulopoka nani kakwambia Mimi sio mwanae? Nisingekewa mwanae cangenikana kabla hata cjazaliwa
Haya maisha, watoto wa mjini, wanakuambia, huu mchezo, hauhitaji hasira...

Babako yupo sahihi, kuwaandikishia mali hao watoto wake na mkewe wa ndoa.

Kajiridhisha, utawasumbua akifa..

Kila la heri, nenda huko mahakamani. Huko story ya kutoka kila upande itakuwa wazi, siyo humu jukwaani, story iko upande mmoja.

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Hapo ndiyo kwenye kazi,labda Baba alisha sanuka kua hapo kaingizwa chaka! DNA muhimu kwanza na mengine ndiyo yafuate!!
haina haja hata DNA yan hata nikiweka picha hapa yakwangu na yababa huwez kutofautisha jins alivyo nilandisha
 
Hukatazwi kusikitika, we sikitika weeeeee, ila usimlazimishe akupe (kumpeleka mahakamani) sababu huna haki hiyo, mali ni zake na ana uamuzi wa nani ampe na nani amnyime
sawa ngoja niende bas mahakaman ili akanipe sababu za kutokunipa nawengine kuwapa
 
kwani hao alio walisisha alitafuta nao au umeandika2 ilimlad nawewe uonekane umechangia
pambana mkuu ndoa zina siri nyingi si ajabu huyo sio baba yako sema anatumia busara hataki kukwambia ukweli alafu respect is earned pambana tafuta mali zako watakutafuta kama kweli wanataka undugu na wewe alafu kuna msemo unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini
 
kinacho nifanya nishitak sio kunyima nihak mkuu watoto wengine kawapa magar wengine nyumba lakin Mimi kaninyima hata mtaji wa boda boda akat anajua mwanae sina kaz yoyote ya kufanya
wewe inaonekana hata shule ulikua unakataa hutaki kusoma unategemea kutusua kupitia urithi which is wrong ungezingatia shule usingekua na mawazo ya kijinga namna hii
 
pambana mkuu ndoa zina siri nyingi si ajabu huyo sio baba yako sema anatumia busara hataki kukwambia ukweli alafu respect is earned pambana tafuta mali zako watakutafuta kama kweli wanataka undugu na wewe alafu kuna msemo unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini
mkuu Mimi sio ndugu yake nimtoto ake.nanisingekuwa mtoto wake baba ngenikana kabla hata cjazaliwa na kipindi mama anaujauzoto wng baba na mama walitengwa had kanisan kwao waliko kuwa wanasali.
 
mkuu Mimi sio ndugu yake nimtoto ake.nanisingekuwa mtoto wake baba ngenikana kabla hata cjazaliwa na kipindi mama anaujauzoto wng baba na mama walitengwa had kanisan kwao waliko kuwa wanasali.
mkuu ukimchokonoa sana atakuja kukwambia sababu ya kukupotezea ndio utaumia zaidi we achana nae tafuta zako mbona michongo mingi tu mjini kwa elimu yako inaonekana ya magumashi tafuta kazi hata ya udereva utatoboa
 
wewe inaonekana hata shule ulikua unakataa hutaki kusoma unategemea kutusua kupitia urithi which is wrong ungezingatia shule usingekua na mawazo ya kijinga namna hii
nani kakwambia shule nilikataa acha kuongea kwa kukalili pumbav. Ipo sababu ambayo ilifanya nisiendelee na shule na chazo ni baba ila stak kuizungumzia
 
Back
Top Bottom