Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

Jengeni muhamie kwenu ila wewe mke jiandae kuona joto la jiwe toka kwa mama mkwe. Ataamini wewe ndie uliemwondoa mwanae kwake bila hiyari yake.
 
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.

Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
aina ya wanawake wa namna yako ni vigumu kudumu kwenye ndoa. Wewe ni sehemu ya familia ya mumeo, na kama nyumba ni yake wewe ndio mama mwenye nyumba. Zaa watoto wa kutosha usimike utawala wako. Nyumba si nyumba kama sio familia, weka watoto watano uone utakavojinafasi. Ila mpaka umekuja humu inaonekana wewe ni mbishi sana na unamuumiza jamaa kichwa. Maisha ni magumu sana sasa hivi, kama unacomfort zone usiiache kwasababu ya fantasies. Acha ubishi, muamini mumeo na angalia mazuri ya upande wa mumeo.
 
Unafikiri kwanini ndoa ya Alikiba na Diamond zimishindwa kuendelea? Kwasbb ya kuishi nyumba moja na ndgu pamoja na wazazi. Unatakiwa ukae mbali na ndugu pamoja na wazazi yaani unatakiwa ujenge nyumba mbali na nyumbani na uishi wewe na watoto wako. Ndugu zako pamoja na wazazi wako wanapaswa wawe wanakuja kukusalimia na kuondoka. Mimi kwao na mke wangu tukitaka kwenda kusalimia huwa siwezi kukaa siku 3. Ni 2 tu nakuondoka. Hii ya kurundikana nyumba moja ni kutafutiana lawama
Basi mama mkwe ana upendo wa hali ya juu.
Hataki wanao mhangaike wala muumize kichwa. Akiamua unakula nini wewe unapata shida gani? Si ule alicho amua yeye??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri kwanini ndoa ya Alikiba na Diamond zimishindwa kuendelea? Kwasbb ya kuishi nyumba moja na ndgu pamoja na wazazi. Unatakiwa ukae mbali na ndugu pamoja na wazazi yaani unatakiwa ujenge nyumba mbali na nyumbani na uishi wewe na watoto wako. Ndugu zako pamoja na wazazi wako wanapaswa wawe wanakuja kukusalimia na kuondoka. Mimi kwao na mke wangu tukitaka kwenda kusalimia huwa siwezi kukaa siku 3. Ni 2 tu nakuondoka. Hii ya kurundikana nyumba moja ni kutafutiana lawama
Hayaoni haya Raha yake akiamka asubuhi familia yake imemzunguks
 
Hapo unjupachika msumar na ukimtoa huyo bwana hapo jua umejitia kwenye vita kubwa na familia yake ...simple tu achana nae kama sio mpambanaji
 
Hapo unjupachika msumar na ukimtoa huyo bwana hapo jua umejitia kwenye vita kubwa na familia yake ...simple tu achana nae kama sio mpambanaji
Ni mpambanaji sana tu ila maisha kwake awe na baba, mama na ndugu wake wa kuzaliwa
 
Mama mkwe kuamua mtakula nini leo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ninavyopenda uhuru siwezi kuoa halafu nibakie nyumbani kwa sababu sitaki kumuuzi Mama yangu! Nakumbuka nilivyokuwa kijana mdogo nilikuwa napenda sana ugali ila Mama anasema anataka ndizi, basi nilikuwa nanuna sana!
 
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba.

Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue kiwanja tujenge nyumba ya pamoja lakini mwenzangu haoni umuhimu huo.
Najua hapo mnakosa uhuru kweli ila kuwa mvumilivu huku ukiendelea kumshawishi mume wako kidogo kidogo tu. Mwisho ipo siku atakuelewa.
Uelewe kuwa kabla sijaolewa nilikuwa na maisha yangu, sasa ghafla ninaanza maisha ya mama mkwe kuamua mtakula nini leo.
Haijalishi hata kama ungekuwa umeshajenga ghorofa ila inabidi ukubaliane na mumewe anavyodai.

Na usije ukamshawishi eti mhamie kwenye nyumba yako hata siku moja! Utakuwa unamdharaulisha kwako na wanaume hatupendi hii dharau labda huko kwenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga nyumba sio kazi ndogo bibie. kipato chenu kinaruhusu? Je unaona hicho ndicho kipaumbele chenu? Je unakosa usingizi ukiwa kwa mme wako?
Mkiwa kwa wakwe, hata kwenye kugegedana inabidi mjizibe midomo ili sauti zisitoke...
Uhuru unapungua sana kiukweli. Hata siku mkigongana kwa maugwadu sana, asubuhi mnakua na wasiwasi, "sijui walitusikia"
 
Ni kweli maana kuishi na mke na watoto ina raha yake. Kuishi na ndugu ni kutafuta lawama sababu unaweza kukuta nguo umeipenda ukamnunulia mkeo, mama au wote lakini mwingine atasema umpendelea au asiseme akaweka duku duku moyoni. Unatakiwa uishi na mama akiwa mzee na siyo rika la kina mama diamond.
Hayaoni haya Raha yake akiamka asubuhi familia yake imemzunguks
 
Binafsi nashukuru sana mila za kwetu.

1. Kwa Namna Yoyote Ile Mwanamume Unatakiwa Kuishi Mbali Na Mama Mkwe.

2. Mwanamume Hupaswi Kuishi Kwa Mkeo.

3. Baba Yako Akikutolea Mahari Ya Kuoa ( Huyo Ni Mke Wa Baba Yako, Siyo Wako )

4. Ukimaliza Shule, Let's Say Una Miaka 25 Unafanya Nini Nyumbani ?

( Hiyo Nyumba ya mumeo hapo kwao ilitakiwa iwe ni nyumba ya kufikia amma yeye au ninyi kama familia mnapokuwa mmeenda kutembelea wazazi. Siyo Ninyi kuishi hapo )
 
Hizi Mila za kizungu zinatuharibia familia
Hivi viwanawake tunavyovioa vinafikia mahali vinataka kuanza kukupangia
Ona kanapeleka hoja ya kujenga nyumba Bora hata kangekuja na hoja ya kufanya biashara kangeeleweka
Hivi wanawake huwa wanaboa sana, hivi nyumba nyumba nyumbaaaa nyumba ukikauliza hivi kwani wewe unalala nje?, hata majibu unakuta hakana kapo kapo tu.
Vinaacha kufikiria biashara vinabaki kusigana na mama mkwe
Piga business hata mama mke atakuheshimu sio kuwaza project za walemavu za kujenga nyumba
Wewe na wewe mjinga tu Yaani unaoa Mke alafu unaenda kuishi naye kwenu

Maandiko yanasema Mwanaume atamuacha baba yake na Mama yake naye atambatana na Mke nahao watukiwa mwili mmoja

Unaenda kukaa nyumbani kwenu na Mke unaakili kweli nenda kaanze makazi yako mapya ukifa watoto watalisi nini hapo sasa huku mwanaume aliyeoa anawodogo zake hapo anamama

Rafiki zako wakija nyumbani wakakikuuliza mjini wako ukuwapi utaowaonesha nyumbani kwa baba yako na mama yako

Are you serious acha ujinga wako aseh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uelewe kuwa kabla sijaolewa nilikuwa na maisha yangu, sasa ghafla ninaanza maisha ya mama mkwe kuamua mtakula nini leo.
Haki inahitaji moyo kwanza unahisi umebanwa unajua kuna raha ya kuwa na kwenu wewe mumeo watoto kama umejaaliwa full kujiachia wewe nenda nae taraatibu tu ataingia king nunueni kiwanja kingine unaweza mshauri labla mna watoto wawili au watatu jaribu kumwambia maisha kuna leo na lesho hii nyumba tunayokaa itakuwa labda ya mtoto wa kwanza ile yangu ya huyu wapili tujenge basi na nyingine kwa huyu wa tatu anaweza kukuelewa yaani Sky elcat una Moyo bado mawifi na ma shem sijui wajukuu hawakauki hapo waja kusalimia kwa Bibi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom